Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
nadhani ndio polisi wenye mshahara duni kuliko nchi yoyote africaMapolisi ya Tanzania yamebebelea makamasi kichwani yanafikri yana ubongo! Pumbavu kabisa ,
Na yalivyo na maisha magumu sasa!
Hawa madogo wa Lumumba wakipewa buku 7 akili zinawatoka wanakua matahila kabisa.[emoji38][emoji38][emoji38]
Sijui ni kwa vile hayana elimu? Yaani hayawezi kupima upepo!!nadhani ndio polisi wenye mshahara duni kuliko nchi yoyote africa
Kuna uhusiano gani wa real id na ukombozi????Sasa kama tu kuweka real id unaogopa, huo ukombozi utauleta vipi??
Wee punga wa Lumumba unaanzaje kua Kiringo. Kashikishwe ukuta na Bashiru upate buku 7.View attachment 1550210View attachment 1550211
Kuna uhusiano gani wa real id na ukombozi????
Anankosa gani mwanamke mwenzio huyo?Mumewe yuko bize kuimba mapambio wacha wamsaidie
Unawaza uzinzi siukabandue vichaa upate gono fala weeWasije kumbandua tu humo
Una maswali ya kijinger Sana.akili zako zipo sawa?
Anankosa gani mwanamke mwenzio huyo?
Kwako Nini afanyiwe ukatili huo.
Naumia Sana,najiuliza vp angekua Dada yangu,mama yangu, mdogo wangu,shangazi yangu,mke wangu ndugu yangu,jirani yangu.
Aaah inauma Sana,
Naomba wasimguse Wala wasimdhuru.
Cha ajabu mumewe Yuko anakula kiyoyozi kwenye STK, ndoa zingine mh!Wasije kumbandua tu humo
Halafu mnasema mtawaongeza mshahara marambili, shenzi zenuSijui ni kwa vile hayana elimu? Yaani hayawezi kupima upepo!!
Mabom hayajawahi kuwa suluhu ya aman, bali haki ndio nguzo kuu ya Iman, ccm wanaotetea amani hawatetei haki, sisi tunaotetea haki tunambiwa tunafanya uchochezi wa kuvuruga amani, msingi au ngozo ya amani ni haki nasivinginevyo.
Kuna Polisi wengi tuu wa ziada, ambao hawana kazi ya kufanya kutokana na utilivu wa hiari hasa katika mikoa zaidi ya saba katika kipindi hichi cha Uchaguzi, Mikoa yenyewe ni mkoa wa Simiyu, Shinyanga, Geita, Tabora, Katavi, Mwanza, Rukwa, Dodoma, Iringa na Mkoa wa Singida.
Unataka uolewe wewe?Cha ajabu mumewe Yuko anakula kiyoyozi kwenye STK, ndoa zingine mh!
Walipumbazwa na madaraja,reli na makanikiaCcm wamechoka kushindana, wamefanya siasa peke yao miaka mitano lakini bado watu wana imani na upinzani, wameona isiwe tabu bora wavuruge mechi.
Duh! Kiongozi ccm nchi imeshawashinda wamebaki kulazimisha, hali inayopelekea amani ya nchi kuvurugika kwa kasi ya ajabu. Halafu wewe bado unawaza ngono?Endeleeni tu kuelewana, mi naingia kulala na mchepuko wangu. Asubuhi tutawaletea chai hospitali kama si kituo cha polisi. Kazi njema
Vurugu zinaletwa na Tume sio Chadema kuwa muelewa,,,WANAKATWA BILA ISSUE ZA MSINGI,,,UNATAKA WAKUBALI HUJUMA KAMA KONDOO MKUU KAMA WEWE NI MWOGA WAOMBE TUME WATENDE HAKI NDO SULUHISHO WANAVYO IFANYIA CCM WAIFANYIE NA CHADEMA HIVYO HIVYO,,,VINGINEVYO AWAMU HII KINANUKA NA HUTA AMINI UVUMILIVU SASA BASIIChadema uzeni sera jamani na sio vurugu.
Au vurugu ndio sera yenu.
DuuuhVurugu zinaletwa na Tume sio Chadema kuwa muelewa,,,WANAKATWA BILA ISSUE ZA MSINGI,,,UNATAKA WAKUBALI HUJUMA KAMA KONDOO MKUU KAMA WEWE NI MWOGA WAOMBE TUME WATENDE HAKI NDO SULUHISHO WANAVYO IFANYIA CCM WAIFANYIE NA CHADEMA HIVYO HIVYO,,,VINGINEVYO AWAMU HII KINANUKA NA HUTA AMINI UVUMILIVU SASA BASII