Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
CCM uzeni sera jamani na siyo dhuluma.Chadema uzeni sera jamani na sio vurugu.
Au vurugu ndio sera yenu.
Au dhuluma ndio sera yenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM uzeni sera jamani na siyo dhuluma.Chadema uzeni sera jamani na sio vurugu.
Au vurugu ndio sera yenu.
Unafikiri kuwa na smartphone ni utajiri!Mwanaume yoyote huwaza. Mm ni tajiri ila huwa nawaza tena sana
akili zako zipo sawa?Chadema uzeni sera jamani na sio vurugu.
Au vurugu ndio sera yenu.
Siunapenda kufungiwa ndani, nenda kafungiwe na Kiringo akushugulikie vizuri.Natamani ningefungiwa naye humo ndani
Hoja yako ni id yangu au ukombozi????We una kelele tu nyuma ya keyboard. Kama kweli unataka ukombozi njoo na id yako real
kuweza kununua chips kavu ni utajiri wa wapi ?Mwanaume yoyote huwaza. Mm ni tajiri ila huwa nawaza tena sana
Kwa jinsi nchi hii ilivyo kubwa,sidhani kama kuna Polisi wa kutosha kudhibiti maelfu ya wapinzani wa nchi hii.
Wacheni tufike wanakotaka kutufikisha labda ndio heshima itafuata.
Bwani fulani Jumapili huyo kanisani anasahau Mungu hadhihakiwi.
Mnatanguliza nyumbu ili waliwe mamba halafu nyie mko nyuma ya keyboard.Wananchi wakiji-organise usiku huu, tunaweza ongea mengine.
Mumewe yuko bize kuimba mapambio wacha wamsaidieWasije kumbandua tu humo
Una utani na KafulilaNatamani ningefungiwa naye humo ndani
Siunapenda kufungiwa ndani, nenda kafungiwe na Kiringo akushugulikie vizuri.
Hoja yako ni id yangu au ukombozi????
Id yangu inahusiana nini na ukombozi???! Pumbavu kabisa
kuweza kununua chips kavu ni utajiri wa wapi ?
Onyesha njia tukupe support.Mbona Kuna watu Wanakuwa waoga Kuingia kwenye mtandange.....
Ova
Wee punga wa Lumumba unaanzaje kua Kiringo. Kashikishwe ukuta na Bashiru upate buku 7.Mm ndio kiringo, nimo ndani tayari njoo
Mapolisi ya Tanzania yamebebelea makamasi kichwani yanafikri yana ubongo! Pumbavu kabisa ,
😆😆😆Wee punga wa Lumumba unaanzaje kua Kiringo. Kashikishwe ukuta na Bashiru upate buku 7.View attachment 1550210View attachment 1550211