Uchaguzi 2020 Mabomu ya machozi yarindima Iramba Magharibi

Uchaguzi 2020 Mabomu ya machozi yarindima Iramba Magharibi

Kwa jinsi nchi hii ilivyo kubwa,sidhani kama kuna Polisi wa kutosha kudhibiti maelfu ya wapinzani wa nchi hii.

Wacheni tufike wanakotaka kutufikisha labda ndio heshima itafuata.

Bwani fulani Jumapili huyo kanisani anasahau Mungu hadhihakiwi.
Ndugu yangu, nimefanya utafiti mdogo na kugundua kuwa Magufuli na ccm wametambua hawashindi Uchaguzi huu hivyo bora hata machafuko yatokee na hali ya hatari itangazwe wabakie madarakani.
Na hii inatokana na Lissu alivyo wabana bila woga katika kila kona huku akiapa kuwa hata kubali ujinga wowote.

Evidence! https://t.co/psD6wF9nHo
 
Jeaca anaigiza tu ili iwe rahis kupata viti maalum kwenye chao...
Nakumbuka uchaguzi ulopita pia mwigulu alimsaidia jesca pesa za kampen kwasabu walifunga dili kuwa jesca anataka viti maalum lakn ni ngumu kupata kutokana na wingi wa vichwa vinavyoahindana huko kwahiyo njia rahis ni yeye kuonekana anapigania jimbo ili akikosa apewe viti maalumu..
Simwamin hata kidogo huyo na hasa ukizingatia mume wake ni kafulila ccm mwenzangu..ambaye wakat kafulila anahamia ccm walijifanya wameachana na jesca akafuta picha zote za kafulila kwense insta yake...baadae heehee jesca ana mtoto wa pili na kafulila..chadema wakabak mdomo wazi...
Jesca ni bonge moja la msaniii chadema hawajui tu..
Ila polen wanasingida kwa mabum..
 
Sababu ya madaraka ndio maana unaombea nchi yako mabaya? Ndio ulafi wa wapi huo??
Madai ya mtu wako au mapenzi wako , haimaanishi kama ni kweli, hivyo vita subiri tusikie taarifa za pande zote.
Au as mtu wa Kati
Acha ubwege wewe Yaani Nchi nzima CCM wanafanya hujuma wewe unataka upate taarifa za pande mbili? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Umejificha kwenye fake id alafu unalialia ukombozi. Kama kweli ww sio muoga weka jina lako sahihi kwenye id
Swala la kua na utambulisho bandia ni swala lililowekwa na Jamii forum wenyewe sasa usidhani watu wanaogopa kuweka majina yao.au unadhani uko kwenye mitandao mingine ni wote wanamajina bandia?,au unadhani uko kwenye hiyo mitandao watu hawajadili kuhusu ubabaishaji unaoendelea.Na sidhani kama kua na utambulisho bandia ni sababu ya mtu kutotambulika endapo atakua kaharibu,swala hapa ni wenye wajibu wakutoa haki nakuilinda amani wafanye wajibu wao kwaweledi.
 
Kwa jinsi nchi hii ilivyo kubwa,sidhani kama kuna Polisi wa kutosha kudhibiti maelfu ya wapinzani wa nchi hii.

Wacheni tufike wanakotaka kutufikisha labda ndio heshima itafuata.

Bwani fulani Jumapili huyo kanisani anasahau Mungu hadhihakiwi.
Labda maelfu ya wapinzani kwenye mitandao..ila kitaa weupe kabisa mgambo tu wanatosha
 
Mwingulu Nchemba mwenyewe anatumia jina Bandia, hilo jina analotamba nalo siyo jina lake halisi ni jina la kununua vyeti ni jina la Msukuma mmoja wa huko shinyanga, wapinzani wamuwekee pingamizi na yeye kudai jina alilojaza kwenye form siyo jina lake asilia ni jina feki ili na yeye aonje uchungu wa pingamizi ingawa pingamizi lake litakuwa la ukweli na haki.
 
Hahahaaaa....... anaogopa " mdada"!
Aibu sana kwa Mwanaume kumuogopa mwanamke, kama kuna mwenye namba yake huyo dada na yeye mwambieni aweke pingamizi kwa mwingulu Nchemba kuwa hilo jina siyo lake mmiliki wa jina yupo shinyanga.
 
Majina anayotumia mwingulu Nchemba siyo yake hana tofauti na Daud Bashite wote ni CCM ile ile Ukoo wa panya.
 
Sheria zipo kama aliona hakuridhishwa angefata taratibu zilivyo na sio kujichukulia sheria mkononi hizo hasira zake ndio zinamgharimu sasa.




MAGUFULI4LIFE.
 
Ndugu yangu, nimefanya utafiti mdogo na kugundua kuwa Magufuli na ccm wametambua hawashindi Uchaguzi huu hivyo bora hata machafuko yatokee na hali ya hatari itangazwe wabakie madarakani.
Na hii inatokana na Lissu alivyo wabana bila woga katika kila kona huku akiapa kuwa hata kubali ujinga wowote.

Evidence! https://t.co/psD6wF9nHo
Mwingulu Nchemba jina siyo lake anatumia vyeti vya kununua toka Huko shinyanga
 
Serikali ya Ccm na vyombo vyake haijui inatengeneza "Mohamed Bouazizi" wengi kipindi hiki kwa haya wanayo yafanya.
Mbuyu ulikuwa kama mchicha.
 
Hakuna mabaya yasiyo na mwisho, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, chiluba, Elbashiri, Iddy Amin dada, Abacha, mabutu na wenzao makaburu wa Africa kusini leo hii wapo wapi? ipo siku Udikiteta huu utajutia wanayoyafanya sasa.
 
Rais mpya malawi kawaondolea kinga wote waliokuwa watesi katika utawala uliopita hakuna mabaya yasiyo na mwisho wake
 
Wa
Mabom hayajawahi kuwa suluhu ya aman, bali haki ndio nguzo kuu ya Iman, ccm wanaotetea amani hawatetei haki, sisi tunaotetea haki tunambiwa tunafanya uchochezi wa kuvuruga amani, msingi au ngozo ya amani ni haki nasivinginevyo.
Wao wanaamini katika mabomu na nguvu za dola!!! Wanaamini katika maguvu na udhalimu kuwa ndio suluhisho na kukubalika.
Walikuwako kina Shah Reza wa Iran, ElBashir wa Sudan na maguvu yao wako wapi hii leo?
HATUJIFUNZI?
 
Back
Top Bottom