Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Hata ningekuwa Mimi ningekasirika,
Ukiangalia timu ya Taifa ya mpira,wamejaa wa bara,timu ya Taifa ya riadha,imejaa wa bara,ya uogeleaji,wabara watupu,viongozi wote wa vyama vya michezo,ni wabara!Zenj hawasikiki kabisa!!
Kipindi kile Cha big brother Africa,wazenj hio fulsa huwa hawapati!!!
Huu Muungano umekaa vibaya sana
 
Muungano unasaidia kuongeza idadi ya watu. Watu ni soko. Watu wengi maana yake soko kubwa la bidhaa
nina haja kweli ya kujibu hiki ki hoja?

vita vyetu si dhidi ya damu na nyama... let me move on
 
Wanzanzibar ni watu wabaguzi sana nimeishi NAo mazingira ya Bata huku kwanza ata ki.mahusiano wabaguzi utasikia uyu mbara kumbe hawajui nature Yao nikutoka huku Bara slave trade wanyamwezi wengi asili Yao na wasukuma wanzanzibar weusi ma waliozaliana na waarabu Cha ajabu awajui nature Yao ni wapi kumbe vizazi vyao vilianzia huku vikasafirishwa na mwarabau utasikia.mi mpemba ....nature yake hajui KWAIYO sio watu wakiwashangaa sana
 
Msimu wa sikukuu huu Zanzibar wageni kama wote so mwakinyo akaona aitumie Fursa ila sasa ndo hivyoo Wazanzibar choyooo imewakabaaa...!! Aje tu kupigania Daslaaaa.
 
Hapa wa kwanza kuona aibu ni waziri wa michezo zanzibar na ilitakiwa baada ya kuipokea hiyo barua hata asiijibu
Ngoja nimtafute huyo muhusika na watu wa baraza la sanaa niwape neno la kuwqfungua akili
 
Unaweza kuwa na hoja lakini ni nyepesi. Huko visiwani kuna matatizo mengi na la msingi ni uislam wa kimya kimya ni mwingi. Kama Mwalimu Nyerere asingeitumia nguvu kuikataa hoja ya OIC ya kuigeuza Zanzibar kuwa nchi ya kiislam leo hii Nchi nzima ingekuwa imetumbukia katika matatizo yale yale yanayoitesa Nigeria.

Kuna mbegu ya kibaguzi huwa inapandwa na kusimamiwa na wanasiasa na inasumbua sana wananchi. Suala la michezo kudumaa ni hayo hayo masuala ya kukataa udhamini wa kampuni za pombe (kigezo ni kile kile cha uislam uliojificha), vipaji vipo vingi sana mfano Fei Toto na yule kiungo mmoja alicheza timu ya vijana ya Unguja miaka ile ya copa coca cola lakini pesa za udhamini ndio hizi zinasusiwa.

Mkwamo wa visiwa hivyo unaanzia huko huko.
 
Kuna mambo yanachekesha sana...wazanzibar sidhani kama wengi wanajitambua
 
Nyie huku mnazaaana kama nguruwe na mnamiliki Hadi aridhi na mashamba.

Watanganyika wangapi wanaomiliki aridhi Zanzibar . ?

Acheni roho mbaya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar hiyo michezo ya kitwana haikuwahi kuwepo na ilikatazwa na serikali. Niliwahi kusema na ntaendelea kusema Watanganyika msiokua na kazi maalumu kule Zanzibar mtaendelea kunyooshwa mpaka museme nini hiki. Na kama huamini nenda kule Zanzibar alafu angalia mtanganyika akifanya kosa hata kwa bahati mbaya wanavyomfakamia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna siku naisubiria kwa hamu kama siku ya kuvunjika kwa huo upumbavu na hawa wapuuzi warudishwe kwao kwa lazima 😑😑😑😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…