mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kama wapemba asili yao omanwanajiona wa oman na waarabu kumbe asili yao ni congo,kigoma au kiujumla bara hapa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wapemba asili yao omanwanajiona wa oman na waarabu kumbe asili yao ni congo,kigoma au kiujumla bara hapa
Wadanganyika wanadai eti Zanzibar ikijitenga Tanganyika itakuwa hatarini kiusalama. Kivipi? (Hata mm sijawahi kuwaelewa)
Unajua hii ni mara ya kwanza ngumi zinapigwa huko,zanzibar walisitishaga mambo ya ngumi hukoMbona huwa hawalalamiki kombe la mapinduzi
kuchezwa visiwani na timu za bara.
Huyo mdigo isijekuwa kaharibu kwa nyodo zake kwa wenye nchi halafu anatafuta huruma.
Si hata huku huwa anaongea shombo!
Bidhaa zipi labda? Huo Mchelle wa aftatuMuungano unasaidia kuongeza idadi ya watu. Watu ni soko. Watu wengi maana yake soko kubwa la bidhaa
Nadhani wewe peke yako ndo hujafika sisi tunaoishi na kufanya kazi unguja tunayajua hayo siku nyingi. Kama huamini basi ila ukweli ndo huo. Nikupe mfano mmoja Zanzibar nzima mtu anayeruhusiwa kuingiza vinywaji vikali ni mmoja tu. Zanzibar uruhusiwi kuingia hata na ndizi mbivu kutoka bara, mbara ukifungua grocery utaambiwa ni nchi ya kiislam lakini pembeni yako kuna mzanzibar au mzungu anafanya biashara hiyo. Kila siku wanawaza fursa tuuu, wanzazibar walimu wanafundisha bara, wako wizara mbalimbali, wamenunua na kujenga kigamboni huko kama kwao. Mbara ukinunua kiwanja hapa unguja ujiandae kusumbuliwa kila uchao.Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?
Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
Ni kweli unauosema. Niliwahi kufanya biashara ya kuuza matikiti 2017 hapo Mwanakwerekwe (wenyewe huita Kwerekwe) nilikuwa nimepanga Fuoni (kuna vijana wa bara wengi sana.Kila siku wanawaza fursa tuuu, wanzazibar walimu wanafundisha bara, wako wizara mbalimbali, wamenunua na kujenga kigamboni huko kama kwao. Mbara ukinunua kiwanja hapa unguja ujiandae kusumbuliwa kila uchao.
Hahaha nilivyoona Avatar yako nikasema hapa Nyerere lazima atajwe na ndio mahali pake.Free Zanzibar. Hakuna muungano, kuna uvamizi.
wale jamaa wabaguzi sijapata kuonaMimi binafsi nikienda Zanzibar najiona nipo nchi ya ugenini ambayo mtanganyika hana thamani yeyote
Bora uende Kenya Congo Malawi Uganda Burundi Zambia kuna upendo kwa mtanganyika lakini huko Zanzibar unabaguliwa kwa kila kitu.
Katiba ya Zanzibar na KANUNI TARATIBU NA SHERIA ZA SMZ hakutambui lakini Mtaani unabaguliwa kila ukipita mbara huyo mchogo huyo kisha mtanganyika
Yaani Mwakinyo kwenda kucheza tu pambano moja na kujiondokea washajaa choyo HUSUDA NONGWA na kila kitu
Wakati wao wamejaa huku bara wanahamia kila kukicha wanachezq hadi Ndondo huko mitaani bila kubaguliwa na yeyote