Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Inasikitisha sana, ka mkoa kanataka kuota mapembe na kutawala tanganyika. Huu muungano hauna faida yoyote kwa wa tanganyika..
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Uwe unajifunza ktk muundo wa NDOA .

Mwanamke akiwa na cheti Cha NDOA, yote anavyoniliki mwanaume ni vya wote .

Lakini, anavyo miliki mwanamke vinabaki vyake binafsi.

NDOA ilishafungwa, na mbaya zaidi tumekwisha zaa na watoto😃😃😃
 
Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?

Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
Wazanzibar wako sahihi. Sisi Watanganyika ndio Wapumbavu na tumezubaa. Hututhamini Utanganyika wetu. Muungano gani huu ambao upande mmoja una haki zaidi na Rasilimali zake kuliko mwingine???
 
Wazanzibar wako sahihi. Sisi Watanganyika ndio Wapumbavu na tumezubaa. Hututhamini Utanganyika wetu. Muungano gani huu ambao upande mmoja una haki zaidi na Rasilimali zake kuliko mwingine???
Kuna haja ya kuuvunja huu muungano uliyopo tuunde upya kwa vigezo na masharti mapya
 
Kwa nini asitumie Uwanja wa Tanga?Akaitangaza Tanga?Na kupata watu wa Tanga,fursa za kibiashara?
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Hao Mabondia wa Zanzibar ni WA kuelimishwa tuu, hawajui.

Fursa hupewi, fursa inakuja kutokana na umahiri wako. Mwakinyo anapigania mkanda wa. WBC Super Wetler. Mkanda hautolelwi na Serikali, Wala hauji kwa kupewa, ni kwa kufuzu na kufikia kiwango Cha kimataifa. Haiwezi kuwa fursa Yao WaZanzibari kama hawajafikia viwango vya Kimataifa.

Mwenye akili atampongeza Mwakinyo kwa kuwaletea pambano la kimataifa ambalo linaitangaza Zanzibar kama Boxing destination. Pia linaleta uchumi. Wageni wengi, matangazo ya Zanzibar, utalii, na wao kama wenyeji kujifunza namna ya kutayarisha mapambano ya Kimataifa.

Nadhani tatizo kubwa ni uelewa tu wa mambo.
 
Nyerere alifanya mengi mazuri ila kweny hili la zanzibar kuwa nchi ni uongo.Ilitakiwa iwe mkoa kama katavi n.k au kisiwa kama ukerewe. Sijui wazanzibar wana akili ipi
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Wanajikuta wamoroco au kwani tulio wafungia ni sie si baba Yao karume
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Ka nchi sijui kisiwa kana laana kale watu hawataki fanya kazi
 
Huu muungano ni wa kuwasaidia watu wa Zanzibar kupata 30% ya ajira zote za serikali ya JMT na kununua ardhi bara kadri watakavyo.
Wananunua ardhi bara na wakati huo huo wanataka kuuvunja Muungano? Huo Muungano ukivunjika si itakula kwao, hiyo ardhi wataihamishaje kwenda kwao?
 
Wananunua ardhi bara na wakati huo huo wanataka kuuvunja Muungano? Huo Muungano ukivunjika si itakula kwao, hiyo ardhi wataihamishaje kwenda kwao?
Itabaki kuwa yao. Kwani yule mwekezaji ameshikilia ndege yetu huko Uholanzi kwa mashamba ya miwa Bagamoyo amewezaje? Hii nchi ukiwa na hela kila kitu kinawezekana
 
Kuna haja ya kuuvunja huu muungano uliyopo tuunde upya kwa vigezo na masharti mapya
Tukishauvunja tuunde upya KWA LIPI ?

Watanganyika hamjifunzi ?????

Zanzibar kuna nini cha kuinufaisha Tanganyika kwa akili zako wewe ?????

KWA NINI tujiingize tena kwenye li complication la Muungano mpya ?????

Think !
 
Tukishauvunja tuunde upya KWA LIPI ?

Watanganyika hamjifunzi ?????

Zanzibar kuna nini cha kuinufaisha Tanganyika kwa akili zako wewe ?????

KWA NINI tujiingize tena kwenye li complication la Muungano mpya ?????

Think !
Muungano unasaidia kuongeza idadi ya watu. Watu ni soko. Watu wengi maana yake soko kubwa la bidhaa
 
Back
Top Bottom