Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Umaskini wa mawazo ni mbaya kuliko wowote ule - Julius Nyerere.Mwakinyo ni mvaa kobazi mwezao lakini wapi hawa jamaa wabaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini wa mawazo ni mbaya kuliko wowote ule - Julius Nyerere.Mwakinyo ni mvaa kobazi mwezao lakini wapi hawa jamaa wabaguzi
Biashara na Muungano ni vitu viwili tofauti, kwani Bidhaa zinazo toka China na ulaya kwani tume ungana nazo hizo nchi zinazo leta bidhaa Tanzania?dawa tuwakatie umeme na kuacha kupeleka mchele ndio watajua nini maana ya mungano
Umaskini wa mawazo ni mbaya kuliko wowote ule - Julius Nyerere.
Biashara na Muungano ni vitu viwili tofauti, kwani Bidhaa zinazo toka China na ulaya kwani tume ungana nazo hizo nchi zinazo leta bidhaa Tanzania?
Watatumia vibatari badala ya umemeDawa tuwakatie umeme na kuacha kupeleka mchele ndio watajua nini maana ya Muungano
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Zanzibar .Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!
Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali
Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.
Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Siku mzanzibari akinasuka kwenye muungano atawasanua wadanganyika nao kujinasua kutoka CCM. Au kujitenga kikanda.Kuna faida gani ya huu muungano yaani sielewi
Zanzibar na ndondi wapi na wapi? Soka tu shida. Mgosi Mwaki peleka pambano Mkwakwani. Pumbavu zao.Vizenji ni vi mtu vya hovyo sana..no wonder kila uchaguzi lazima vipate kisago cha maana ili akili zao zikae sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Elimu ndugu yangu ww huwa hufatilii hats matokeo yao?Cha ajabu wahusika ni boxers unashangaa hawajui faida ya pambano kufanyika zanzibar.
1. Kuitangaza zanzibar
2. Kuifungua zanzibar boxing
3. Kiuchumi-wageni watashuka zenj kushuhudia pambano.
4. Ongea mengine
Mwakinyo asipopigana hiyo nafasi haiendi kwa mwingine itapotea.
Mola alijalie pambano hilo wajifinze kutafuta fursa.
Tena ipo siku tutawatia bakora mpaka bandarini waende kwao we ngoja na hii Vita inakuja Kama viongozi hawajafanya kitu au kusema chochote.Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?
Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
Tena ipo siku tutawatia bakora mpaka bandarini waende kwao we ngoja na hii Vita inakuja Kama viongozi hawajafanya kitu au kusema chochote.