Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Aiseee, jamaa wabaguzi sana wakati wao wapo huku bara. Kuna dogo mmoja wa kipemba kaja kupanga karibu na kwangu huku Rungwe anapambana kutafuta ardhi anunue ila apande parachichi. Jamaa ananipita tu hapa kwangu wala hanisalimii wala hasalimii mke wangu na watoto kwani ninafuga Nguruwe ila mimi ni mtaalamu wa ardhi so akikwama ananipigia simu.
 
Biashara na Muungano ni vitu viwili tofauti, kwani Bidhaa zinazo toka China na ulaya kwani tume ungana nazo hizo nchi zinazo leta bidhaa Tanzania?

china tumeungana nayo ndio maana unapata vitu kwa kodi ya kawaida.ushawai kuagiza vitu ulaya usikie ushuru wake
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Zanzibar .

Huu ndio msimamo unaotakiwa
 
Mbona huwa hawalalamiki kombe la mapinduzi
kuchezwa visiwani na timu za bara.

Huyo mdigo isijekuwa kaharibu kwa nyodo zake kwa wenye nchi halafu anatafuta huruma.

Si hata huku huwa anaongea shombo!
 
Cha ajabu wahusika ni boxers unashangaa hawajui faida ya pambano kufanyika zanzibar.
1. Kuitangaza zanzibar
2. Kuifungua zanzibar boxing
3. Kiuchumi-wageni watashuka zenj kushuhudia pambano.
4. Ongea mengine
Mwakinyo asipopigana hiyo nafasi haiendi kwa mwingine itapotea.
Mola alijalie pambano hilo wajifinze kutafuta fursa.
Elimu ndugu yangu ww huwa hufatilii hats matokeo yao?
 
Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?

Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
Tena ipo siku tutawatia bakora mpaka bandarini waende kwao we ngoja na hii Vita inakuja Kama viongozi hawajafanya kitu au kusema chochote.
 
Back
Top Bottom