Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Wa kulaumiwa ni CCM kwani ndiyo wanang'ang'ania huu Muungano kwa mfumo huu uliopo
 
Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?

Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
Inapofikia hatua watu wanakosa adabu wazi wazi ni vema kuaddress hiyo changamoto wazi wazi.
 
Achana nae huyo ubaguzi huko uko juu sana harafu na sisi wabara ni nn kinatufanya tuwaone wanamuhimu watu wenye dharau km hao
 
Tusifike huko tutakuwa tunakosea sana. Maana tunaweza kuanza kuuliza maswali ya hovyo kama:- huyu mama ni wa wapi vile?

Halafu tutaanza kusema urais wa Tanzania ni fursa ya watanganyika tutakuwa tunakosea Sana.
...Hatukosei Chochote
Kwani Muungano una Faida Gani?... Tuache Unafiki...
 
Nataka twende Kama kumi tuvae tishet zinapicha ya nguruwe
 
....Elimu...Elimu....Elimu...Elimu!!!
 
Huna akili
 
Hao mbwa wajinga sana uwezo wenyewe hawana chuki zikizidi unakua pumbavu ndio hali waliyonayo hao kenge

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nyie huku mnazaaana kama nguruwe na mnamiliki Hadi aridhi na mashamba.

Watanganyika wangapi wanaomiliki aridhi Zanzibar . ?

Acheni roho mbaya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
1. Kwanza nani kakwambia kama mimi ni Mzanzibari?

2 Ndio maana nikakwam ia uwende Zanzibar ndio utaujuwa ukweli. Nani kakwambia Watanganyila hawamiliki ardhi Zanzibar? Wewe kaa tu kwenu mwituni huko uone Zanzibar ni karibu na Uarabuni!
 
Huna point yoyote, naona unabweka tu kwa chuki zako dhidi ya Watanganyika.
Chuki za Watanganyika baina ya wao kwa wao (si kikabila) na kutokuwa na huruma kwa mwenzake ndio zinazofanya Watanganyika wengi wanyonge wakimbilie.Zanzibar kujitafutia riziki zao.
 

Sasa hapo shida sio Mpemba, shida ni hao Vitimoto
 
Kwahiyo unafurahia..hivi kipi kinaujaza moyo wenu dhidi ya chuki mliyo nayo kwa watanganyika.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Sheikh Hassan punguza shobo na Zanzibar, Rudi kwenu Bara Kwa machogo wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…