Hongera sana kijana.Mkuu, mimi kunyanyasa mtu (generally speaking) huwa sipendi. Ninapenda sana mdogo wangu ajisikie huru kuniuliza maswali yoyote (ya kikazi au maisha) kama hana Pesa aseme, tunaenda wote lunch, Nikiwa na Pesa Nampa na kama sina nitamwambia tu ukweli kuwa leo sina mdogo wangu.
Siwezi kumchezea mtu faulo ya makusudi ili afukuzwe kazi au field yake. HAPANA. NEVER EVER.
Hata mimi nilimuuliza swali kama hili lako mkuu. Jamaa anapenda sana ubabe wa kijinga kwa vijana wadogo badala ya kuwafundisha na kuwatelekeza kwa upendo.Kwa nini usiongee nae kistaarabu na kumwelewesha mavazi anayo takiwa kuvaa?
Thanks. Sipendi kumuharibia kitu mtu mwema ambaye hajanikosea kwa lolote lile baya.Hongera sana kijana.
Una roho mbaya. Hata wanao watafika hukoGen Z wanajua kuwahi kazini mpaka boss awepo. Pumbavu, kama unaweza kuepuka kuajiri hawa watu usiwape kazi
Toa mfano wa maneno ya kistarabu ya mtu wa dizaini iyo.Kwa nini usiongee nae kistaarabu na kumwelewesha mavazi anayo takiwa kuvaa?
Maboss, viongozi( HR, Accountant,Managers) sawa mna vipato vikubwa kuliko sisi lakin sometime inatokea tu wadada hawapo interest na nyie kazeni kiume sio kila mwanamke mlale nae, mnatuchukia na katuchafua hadi kutufukuza kazi zenu kisa tu mdada fulan kakukataa kaja kudate na staff wenu wadogo.
Mimi ni Gen Z limenitokea ilo suala juu apo bila ya hatia nikatimuliwa shukran kwa meneja wangu wa kike kunipambania nirudishwe kazin lakini nguvu yake ilikuwa ndogo dhidi ya washika mpini. Sababu boss mkuu na baadhi ya watu wa chini yake kumtaka yule mdada na akawakataa mkanibwaga na mdada alipozidi kuwakataa mkamuhamishia mbali kabisa vijijini nae namshukuru alijiongeza akatafuta kazi yenye malipo ya juu kuwaliko miaka miwili sasa nipo nae (Mungu akipenda siku moja nitamuita mke wangu) mmemsumbua sana lakin hakubadili msimamo wake juu yangu mkamwambia kabisa mimi nitampa nini? Lakin ndo ivyo bahati haikuwa kwenu ikawa kwangu.
Uyo boss kaoa lakini iyo ndo tabia yake kuwalala wadada wote wazuri akisafiri mikoani anafanya kurequest mdada fulan njoo hotel fulan yeye pia watu wake wachini. Hivi navyoandika inaenda mwaka wa pili napigiwa simu na wateja niwasaidie shida zao wakati nipo nje ya ajira na hata nikiwaambia hawaamini.
Sina kinyongo na yeyote hapo juu lakin walichonifanyia sio fair kabisa kunichafua wengine malezi tuliolelewa ni ya heshima ya hali ya juu na pia mahusiano ya staff kwa staff hayakatazwi najua nyie mnawachezea lakin sie wengine tuna malengo nao, mwisho wa siku kila mtu anaplay part yake majukumu yenu yote tunatimiza tunawazalishia faida mnatupatia pesa kwa tulichofanya sometimes mnakuja mikoani usiku kumshtukiza tukiwa makwetu tunafanya stocktaking hamkuti loss hata moja lakini daaaah sio fair...
NB:Ushahidi wa chart nilikuwa nao aliscreenshot mdada akanitumia alivyoachana na hio kampuni tukaona tufute tu haina maana tena.
Kizazi lia lia...Kazi ipoMaboss, viongozi( HR, Accountant,Managers) sawa mna vipato vikubwa kuliko sisi lakin sometime inatokea tu wadada hawapo interest na nyie kazeni kiume sio kila mwanamke mlale nae, mnatuchukia na katuchafua hadi kutufukuza kazi zenu kisa tu mdada fulan kakukataa kaja kudate na staff wenu wadogo.
Mimi ni Gen Z limenitokea ilo suala juu apo bila ya hatia nikatimuliwa shukran kwa meneja wangu wa kike kunipambania nirudishwe kazin lakini nguvu yake ilikuwa ndogo dhidi ya washika mpini. Sababu boss mkuu na baadhi ya watu wa chini yake kumtaka yule mdada na akawakataa mkanibwaga na mdada alipozidi kuwakataa mkamuhamishia mbali kabisa vijijini nae namshukuru alijiongeza akatafuta kazi yenye malipo ya juu kuwaliko miaka miwili sasa nipo nae (Mungu akipenda siku moja nitamuita mke wangu) mmemsumbua sana lakin hakubadili msimamo wake juu yangu mkamwambia kabisa mimi nitampa nini? Lakin ndo ivyo bahati haikuwa kwenu ikawa kwangu.
Uyo boss kaoa lakini iyo ndo tabia yake kuwalala wadada wote wazuri akisafiri mikoani anafanya kurequest mdada fulan njoo hotel fulan yeye pia watu wake wachini. Hivi navyoandika inaenda mwaka wa pili napigiwa simu na wateja niwasaidie shida zao wakati nipo nje ya ajira na hata nikiwaambia hawaamini.
Sina kinyongo na yeyote hapo juu lakin walichonifanyia sio fair kabisa kunichafua wengine malezi tuliolelewa ni ya heshima ya hali ya juu na pia mahusiano ya staff kwa staff hayakatazwi najua nyie mnawachezea lakin sie wengine tuna malengo nao, mwisho wa siku kila mtu anaplay part yake majukumu yenu yote tunatimiza tunawazalishia faida mnatupatia pesa kwa tulichofanya sometimes mnakuja mikoani usiku kumshtukiza tukiwa makwetu tunafanya stocktaking hamkuti loss hata moja lakini daaaah sio fair...
NB:Ushahidi wa chart nilikuwa nao aliscreenshot mdada akanitumia alivyoachana na hio kampuni tukaona tufute tu haina maana tena.
Hamna iyo sio kuna watu wanashida sana mkuu we ukipata nafasi ya kumsaidia mtu we msaidie tu, kuna mdada ni barmed aliwahi kunipa story yake daaah kateseka sana yule mwanamke nilikuwa nampampa sana hela hela za kula kipindi iko mpaka anarudi mkoani kwao tunawasilana ila sahiv sijui yupo wapi Mungu amsaidie yule dadaPole kwa yaliyokusibu [emoji28]Ila ikifika wakati wako ukawa na uwezo wa kuhonga iPhone kama pipi nawewe wamegee madogo wa 2010 mademu zao, ndio hivo ilivo
Asante mkuu.Pole sana mdogo wangu. Ulikutana na miungu watu, wapenda kuabudiwa
Hapo sina kusema Ila kizazi cha 2000 wengi. HawajitambuiHamna iyo sio kuna watu wanashida sana mkuu we ukipata nafasi ya kumsaidia mtu we msaidie tu, kuna mdada ni barmed aliwahi kunipa story yake daaah kateseka sana yule mwanamke nilikuwa nampampa sana hela hela za kula kipindi iko mpaka anarudi mkoani kwao tunawasilana ila sahiv sijui yupo wapi Mungu amsaidie yule dada
Mungu akuweke mkuu, Mara nyingi mazingira yanachangia sana mabadiliko ya mwenendo wa mtu. Tupo tayari kujifunza, tunawategemea mlio mbele yetu on our achievements and improvements.Ninapenda sana kufanya kazi na watu niliowazidi umri. I love teaching my young brothers and sisters ways of life..
Umegeneralize mkuu kuna walio smart na wasiojitsmbua pia kikubwa wewe kama mkubwa wao ulipaswa uwe part ya mabadiliko, nyakati mbaya uwa hazidumu.Hapo sina kusema Ila kizazi cha 2000 wengi. Hawajitambui
Hivi ndo inatakiwa me nimeishi na uyo meneja wangu kanifundisha vitu nilielewa vizuri hadi staff wapya alinipa kazi ya kuwafundisha na pia nilienda extra nikawa namuelekeza pale akisahau baadhi ya vitu.Ninapenda sana kufanya kazi na watu niliowazidi umri. I love teaching my young brothers and sisters ways of life..
Nikutolee mfano kuna dogo nimempa bajaji wewe ananiletea hela ndogo 15k just imagine hela anapata anaenda kucheza kamari na ni 24 years, ana mtoto wa miaka 8 hvi mtu kama huyu unaweza kumsaidiaje?Umegeneralize mkuu kuna walio smart na wasiojitsmbua pia kikubwa wewe kama mkubwa wao ulipaswa uwe part ya mabadiliko, nyakati mbaya uwa hazidumu.
Kuna jamaa kasema tatizo Gen Z hawako serious, unakuta mtu anamuita Boss - Bro😂😂
=====
Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Intelligent, 1 kati ya mabosi 6 wana wasiwasi kuhusu kuajiri Gen Z tena, na 1 kati ya 7 huenda wakakwepa kabisa kufanya hivyo mwakani. Hizi ndiyo sababu:
Kutokujiongeza
Asilimia 50 ya viongozi walioulizwa wanahisi kuwa wahitimu wapya hawaonyeshi juhudi zinazotarajiwa na waajiri.
Kutokuwa na maadili ya kazi (unprofessionalism)
Hii inajumuisha kutofuata taratibu za sehemu ya kazi kama vile kuheshimu muda, matumizi sahihi ya lugha, na mavazi yanayoendana na mazingira ya kazi.
Kuchelewa mara kwa mara
Kuwasili kazini au kwenye mikutano kwa kuchelewa kumeleta usumbufu kwa mabosi na wafanyakazi wenzao.
Kutokuwa na Mpangilio
Waajiri wana wasiwasi juu ya uwezo wa Gen Z wa kudhibiti majukumu yao na kupanga kazi kwa ufanisi.
Mawasiliano Duni
Viongozi wanataja changamoto katika jinsi waajiriwa wapya wanavyowasilisha taarifa, iwe kwa maandishi au kwa mazungumzo.
Changamoto ya kushindwa kumudu majukumu ya kila siku kazini
Zaidi ya asilimia 20 ya mabosi wanasema wahitimu wapya wanashindwa kumudu mahitaji ya kila siku ya kazi.
Soma: Bosses are firing Gen Z grads just months after hiring them
Kwa jinsi unavyo jibu inaonekana kuna kitu hakipo sawa kwako,Toa mfano wa maneno ya kistarabu ya mtu wa dizaini iyo.