Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mbona kama unanichanganya?
Story ya mabraza wa k.koo haijaisha tushahamia Congo?

#YNWA
 
NILICHUKUA HELA NDOGO KWA SABABU SIPENDI.....KUKAAA NA HELA NYINGI ZA WATU NI HATARI.....
MATAJIRI WATU WAZURI ILA SIO KWENYE HELA ZAO ZA BIASHARA......MNAWEZA KUUANA KISA HELA.
Nitakuchek DM sista usijali nikupe michongo.......
Bro wako nilikua chimbomoja linaitwa KAZIMBE......🀣🀣🀣🀣nimefirisika now.....dili zimekataa
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ mzee wa keko kama nakuona........nikitoka huku niliko nakuja kukupa dili.......mjanja mwezangu......HALINA HELA NYINGI ILA TUTASUKUMIZIA SIKU....
STAY LOW KEY.......
 
AU WEWE NDIO YULE DADA WA KITANZANIA NILIYEKUTANA NAE BEIRUT AKANISAIDIA NISIDAKWE NCHI YA WATU MAANA NILITELEKEZWA BAADA YA KUKUTANA NA WATU WENYE ROHO MBAYA SANA 2007.......ANA DILI ZA KUUZA SILAHA.....YAANI NI AGENT AFU KAPINDA BALAAA...
WATANZANIA WAMEPINDA SANA ILA WAPO LOW KEY......TOFAUTI NA WAKENYA KELELE NYINGI...!!
 
🀣🀣🀣🀣🀣 bas sista....nilidhani ww ndio yule dada wa kitanzania 2006 niliekutana nae Beirut.....nimevurugwa afu nina pasi ya kusafiria ya Burundi......wajanja wamenitapeli......Alinisaidia sana yule sista.....mpaka nafika nililotakiwa kufika.
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚Mm nishawahi kukaa na madini ya tanzanite ya thamani ya 460 Tz shilling ila sikua najua miaka mitatu na nusu wakati mwenye nayo yupo kifungoni.....baada ya yeye kupata msala huko singida.
Mpaka leo wale mabroo,,,,,huwambiii kitu kuhusu mm.
 
Fanya hivyo mwanangu , mie nakusubiria , japo kwasasa niko huku kwa akina mwaisa napambanisha
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ mzee wa keko kama nakuona........nikitoka huku niliko nakuja kukupa dili.......mjanja mwezangu......HALINA HELA NYINGI ILA TUTASUKUMIZIA SIKU....
STAY LOW KEY.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…