Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mabraza wa Kariakoo na dili zao

:EXTRA EPISODE:
HARAKATI ZA ULANGUZI WA MADINI KISANGANI NA BASOKO...!!!!
Mwaka 1997 mpaka mwishoni mwa mwaka 2003 kulikua na ulanguzi mkubwa mno wa dhahabu katika DRC......makundi mengi ya waasi kuanzia ndani ya DRC mpaka nje ya DRC yalikua yanajichukulia madini jinsi yanavyotaka......nawakongomani wengi na wanyarwanda wengi na waganda wengi na warundi wengi walinufaika sana mwaka huo.
Nitaadithia tukio moja kuhusu hayo mambo ya kulangua madini mjini Kisangani.
Maisha bhana watu tunatafuta popote pale....na kwa njia ngumu ngumu kweli.
Braza MUBA MUBANDA aliambiwa kua hapo Kisangani,wanajeshi wa uganda na waasi wanauza madini kirahisi rahisi na kwa bei chee...!!!
Mwaka 2000-2003 nilikua kijana barubaru na kipindi hicho vita vya DRC vilikua vimepamba moto ile mbaya.
Braza akaniambia dogo sikia....pale Kisangani ni city center hakuna vita ila black market ipo.....ukiwa na mzigo wa kutosha utawauzia kwa dola...WALEBANON,WAKENYA NA WATANZANIA,WANYARWANDA,WARUNDI,WASOMALI,WAKONGOMANI NA WAANGOLA.....kipindi hicho wachina wachache DRC..!!!
Issue ikawa kufikaje........nitafupisha story......ni kweli kwa njia ambazo siwezi kuziweka adharani hapa kwa sababu za kiusalama na kulinda code za watu waliotuwezesha enzi hizo....tulifika kisangani.....na nilichotaka kuadithia ni hiki hapa...!!!
Tulifika kisangani tarehe 4 June 2000......wakati huo bado mji unashikiliwa na waganda na wanyarwanda,walioendelea kupambana kwa kuviziana hapo Kisangani mpaka mwaka 2003 baadae huko kama sikosei.Sisi tulikimbia kuokoa maisha yetu na ngoja niadithie kilichotukuta wakati huo mimi na braza yangu MUBA MUBANDA......achaneni na story za vijiweni au story za kwenye majarida..yote hayo yanaelezea nusu nusu......story inaanzia tarehe 4 june 2000 usiku wa saa tano tano hv kwa saa za DRC....Hapo tupo kwenye mtaa tuliofikia wa barabara inayoitwa avenue kinshasa kwa kumbukumbu zangu nyumba namba 102 ila ilibomolewa na maroketi usiku huo huo na walikufa waru wanane mule ndani....mengine naweka code.
Usiku ule tukiwa na mwenyeji wetu """""KWANZA ANATUSHANGAA YEYE ANADILI NA ALMASI AFU SISI TUNAMLETEA ISSUE ZA DHAHABU.....SASA AKAWA ANASEMA KUA PALE KISANGANI KUA ALMASI NI NYINGI KULIKO DHAHABU KWENYE BLACK MARKET"""""ANATUSANUA KWA MAPANA
Wakati tunaongea tukaanza mara kusikia piuuh puuuh.....mara sauti za maguruneti.......mara risasi.......mara watu wanaanza kukimbia hovyo kwa nje......jamaa akasema tutoke nje bita ishaanza tena.........hakuna usalama wa kukakaa pale.
Sasa kipindi kile Kisangani umeme ni tabu na kama haupo kabisa,kwahiyo mtaani ni giza tu.
Sio sisi au wafanyakazi wa UN wote kila mmoja anakimbia kutafuta sehemu salama.
Kumbe wanajeshi wa UPDF na RDF na washirika wao wanarushiana MASASI na MIZINGA kugombea njia ya kwenda airport....sikuwahi kufika huko.
Sasa base zao zipo mjini katikati ya raia.....hivyo wakawa wanarushiana risasi mtaani.....chocho kwa chocho.....na mbaya zaidi wanarushiana maroketi na maguruneti.....na wale wanajeshi wa UPDF waliokua nje ya mji wakawa wanarusha mzinga,ndani ya mji...hasa upande huu tuliokuwepo.
Mara Puh
Mara Pah....afu giza
Jamaa akasema tutoke nje ya nyumba.......barabarani raia kibao na wamevurugwa hawajui wakimbilie upande upi???
Tumetoka ndani ya ile nyumba ya mwenyeji wetu...haikupita hata saa...guruneti likaipiga na kuibomoa na ndani walikuemo watu wa familia nyingine.
Nje giza na hatujui pa kwenda mji mzima umechafuka,wanasema wanyarwanda na waganda wanapigana kugombea kudhibiti masoko ya black market na kukusanya ushuru.
Sasa ikatokea gari dogo.....jamaa akatuombea lift.....ili watutoe nje ya mji ili ikiwezekana tukatulie huko BASOKO kwanza.....maana huko kulikua na majeshi ya serikali kidogo kuna amani at least!!
Sasa dereva wa kile kigari nae kapagawa ajue aende njia ipi,na ni usiku akiwasha taa tu anakua tagert ya wale wanajeshi kule juu kilimani.
Ebwana vita isikie tu........wale asikari walivyokua wanarushiana mizinga....mpaka mji woote unawaka taa mwaaaaah kama radi za mvua.
Hapo changanya na mlio ya risasi na makelele ya raia wanaokimbia huku na kule kuepukwa kujeruhiwa.
Mm machale yakanicheza kichwani japo nilikua dogo........ile njia ya kutokea nje ya mji ndipo huko kulipokuwa na wanajeshi wanaopigana karibu na daraja la kutokea nje ya mji wa Kisangani.
Sasa tukaamua tuliunge na lile kundi la raia kuelekea ofisi ya UN tukae sawa mpaka asubuhi...!!!
...........KULIPOKUCHA...............
Ndipo nikapata wasaa mzuri wa kuangalia mji wa Kisangani......maana nilifika usiku pale mjini.
Asubuhi naona vikosi vya wanyarwanda vinapita mtaani......mara wanakimbia huku mara wanakimbia kule.......mara wanawabeba majeruhi wao kutoka kule nje ya mji.......huku wengine na magari yao wanakimbilia nje ya mji kupigana.
Hatujakaa sawa tunaanza kusikia tena mzinga na risasi kuja uelekeo wetu........na wale wanyarwanda wanakimbia kurudi huku nyuma walipotoka mwanzo.Na raia pale UN residence wakaanza kutimua mbio.....Na mji wa Kisangani umezungukwa na misitu.
Na huko msituni usalama sifuri......sasa mji wote kuanzia pale tulipokuwepo mpaka kule airport kulikua na mapigano ya kuviziana kati ya wakongomani wakisaidiwa na waganda na banyamulenge wakisaidiwa na wanyarwanda.
Kila mtaa unasikia puuuh puuuh,mara wanajeshi wanakimbia huku na kule......sema pale makazi ya UN wanapakwepa ila mji mzima mpaka saa tisa mchana risasi na mizinga vilikua vinalia tu.
Ghafla kukawa kimya......na hapo ndipo yule mwenyeji akaja na kusema haraka sana tuondoke.......maana mapigano yamesitishwa tuondoke haraka kuelekea BASOKO kule yalipokuwepo majeshi ya serikali na waangola...!!
Lakini sasa kutoka pale makazi ya UN mpaka kule stendi.......kote kumeharibiwa kuanzia nyumba mpaka barabara.......afu kote kumetapakaa maiti za raia na wanajeshi afu kuna harufu ya vitu vilivyounguzwa na mizinga.
Mpaka kufika stendi nako......kote kumeharibika na hakuna watu wala magari......na yaliyopo yameharibika mno....!!
Kwanza hata ukiwa na gari zuri nilikua nasikia waasi wananyanganya..
Braza Mubanda akaanza kujilaumu kwa kusema.......dogo kweli tuna gundu...........tumefika tu na hawa wajinga wanapigana....na hata biashara za ulanguzi hatujaanza kuziona.
Hatujakaa sawa mara tukasikia mlio ya risasi imeanza tena.......tukadema usitutanie.........na sisi tukaliunga mkono moja kwa moja kule mstuni walipokimbilia raia wengine nje ya mji.
Kumbe kule porini ndio kuna walanguzi kibao wa dhahabu na almasi afu kwa bei chee sababu watu wana shida wanataka dola.
Ukiwa na dola 1000 kipindi hicho unakusanya gramu za kutosha
Ina maana kwa mtaji wa dola 10000 basi ww ni tajiri wa madini.
Lakini sasa hiyo hela wasikujue kama unayo watakuua.
Hata ukiwa na dola 100 watu walikua wanaweza kukuua kipindi kile.
Mle porini au mstuni....ndio kina vibanda vibanda vya watu wanaokimbia kimbia kukepwa mapigano.Na walanguzi wengi wa madini ndio wapo mule......hali ikitulia watu wanarudi mjini.
Tulikaa mule msituni nje ya mji kwa siku tano......hakuna kuoga wala kujisaidia haja kubwa......Hizo mood utazitoa wapi???Ila kwa upande wa ulanguzi...,.niliona brother Mubanda na yule mkongo wakipiga hela sana.
Maisha hayakua mazuri nilihuzunishwa kuona watoto wadogo wakifa,maiti za watu,maiti za wanajeshi zilizoungua kwa risasi*******RISASI ZINAUNGUZA HASA ZIKITOKA KWENYE SUB MACHINE GUN KWA MPIGO KUMLENGA MTU NI KAMA UNAKUA UMEUNGUZA NYAMA KWENYE SUFURIA AU KIKAANGIO KIMAKUSUDI*******na nilihuzunika kuona nyumba za raia zikiharibiwa kimakusudi na wanajeshi wa pande zote mbili.
Niliona mengi ila baada ya siku tano tulifanikiwa kurudi tena mjini Kisangani......na kukuta mji hautamaniki.....na tukaanza kushirikiana na raia wa kawaida kutoa maiti barabarani na kuzizika.....ila za wanajeshi wanazichukua wafanyakazi wa UN waliosimamia cease fire kati ya hayo makundi ya waasi.Na kila kona ya mji tulikua tunakutana tu na waasi wa banyamulenge......wenyewe kama sikosei walikua wanajiita RDC ila kwa muonekano wanaonekana watusi tu kama wale wa vilima vya Mulenge...sasa unashindwa kuwaelewa yupi ni raia wa DRC na yupi ni raia wa Rwanda........na unakausha tu sababu sisi ni wafanya biashara na sio wanasiasa....LAKINI PASSPORT ZETU ZA MAGUMASHI ZINASOMA NCHI TOFAUTI NA TULIYOTOKEA.........ILA GAMBA LAZIMA LIWE LA MOJA YA NCHI ZA JUMUIYA YA COMMONWEALTH.
Vita ni vibaya sana na wakongomani wameteseka sana na wanyarwanda wameteseka sana linapokuja suala la vita....!!Na usisahau waganda nao waasi wa LRA wamewatesa sana.
Hiyo tarehe 10 na kuendelea almost wiki nzima.... kila sehemu pale Kisangani unakutana na uharibifu au watu wanaolia njaa au maiti......either za wanajeshi au raia au waasi.
Na bado mji ule ulikua chini ya udhibiti wa waasi wa kinyamulenge.
Na hata wakati hata tupo kule msituni tulikua tunasikia tu mlio ya risasi na mzinga...!!!
Lakini cha ajabu mapigano yakisimama,watu wanaendelea na maisha kama kawaida....hivyo hivyo kibishi.
NIKAJIKUTA NAJISHANGAA TU MIMI MWENYEWE.....MWAKA 1997 NIMESHUHUDIA VITA....MWAKA 1998 NIMESHUHUDIA VITA.....MWAKA 1999 NIMESHUHUDIA VITA......MWAKA 2000 NASHUHUDIA VITA*
Ni lini DRC kutakua na amani,ili watu waishi na kufanya biashara na kupata maendeleo......mbona tunaonufaika ni watu wa nje na sio wakongomani wazawa.........LEO NI MIAKA 24 NA BADO DRC HAKUNA AMANI YA KUAMINIKA NA UTULIVU.
Kwa kifupi mwaka 2000 biashara ya ulanguzi wa dhahabu na almasi watu walinufaika nayo hasa mjini KISANGANI....tukiwemo sisi,hasa kule mjini BASOKO tulipokimbilia KULINOGA SANA.Ambapo napo baada ya muda kulivamiwa na banyamulenge na tukakimbia baada ya kushuhudia vita vikali kati ya majeshi ya FARDC wakishirikiana na MPLA na ZDF na FDLR dhidi ya RDF na RCD na UPC na MLC.......moja ya matukio mabaya zaidi kwa binadamu kushuhudia.
Tuliamua kuondoka baada ya kuridhika na kile kidogo tulichopata ndani ya ile miezi mitatu...maana hali ya usalama iliendelea kuzorota mpaka 2003 mwishoni
Mengine nitasimulia siku nyingine na mengine nimeweka code hayana umuhimu sana.Kwa leo hii extra episode niishie hapa.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""'''''''''
TUTAENDELEA NA STORY YETU......NILIPOKUA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI NA DHAHABU ZETU ZA MAGENDO KIBINDONI.......!!!!
 
We jamaa umepambana sana
:EXTRA EPISODE:
HARAKATI ZA ULANGUZI WA MADINI KISANGANI NA BASOKO...!!!!
Mwaka 1997 mpaka mwishoni mwa mwaka 2003 kulikua na ulanguzi mkubwa mno wa dhahabu katika DRC......makundi mengi ya waasi kuanzia ndani ya DRC mpaka nje ya DRC yalikua yanajichukulia madini jinsi yanavyotaka......nawakongomani wengi na wanyarwanda wengi na waganda wengi na warundi wengi walinufaika sana mwaka huo.
Nitaadithia tukio moja kuhusu hayo mambo ya kulangua madini mjini Kisangani.
Maisha bhana watu tunatafuta popote pale....na kwa njia ngumu ngumu kweli.
Braza MUBA MUBANDA aliambiwa kua hapo Kisangani,wanajeshi wa uganda na waasi wanauza madini kirahisi rahisi na kwa bei chee...!!!
Mwaka 2000-2003 nilikua kijana barubaru na kipindi hicho vita vya DRC vilikua vimepamba moto ile mbaya.
Braza akaniambia dogo sikia....pale Kisangani ni city center hakuna vita ila black market ipo.....ukiwa na mzigo wa kutosha utawauzia kwa dola...WALEBANON,WAKENYA NA WATANZANIA,WANYARWANDA,WARUNDI,WASOMALI,WAKONGOMANI NA WAANGOLA.....kipindi hicho wachina wachache DRC..!!!
Issue ikawa kufikaje........nitafupisha story......ni kweli kwa njia ambazo siwezi kuziweka adharani hapa kwa sababu za kiusalama na kulinda code za watu waliotuwezesha enzi hizo....tulifika kisangani.....na nilichotaka kuadithia ni hiki hapa...!!!
Tulifika kisangani tarehe 4 June 2000......wakati huo bado mji unashikiliwa na waganda na wanyarwanda,walioendelea kupambana kwa kuviziana hapo Kisangani mpaka mwaka 2003 baadae huko kama sikosei.Sisi tulikimbia kuokoa maisha yetu na ngoja niadithie kilichotukuta wakati huo mimi na braza yangu MUBA MUBANDA......achaneni na story za vijiweni au story za kwenye majarida..yote hayo yanaelezea nusu nusu......story inaanzia tarehe 4 june 2000 usiku wa saa tano tano hv kwa saa za DRC....Hapo tupo kwenye mtaa tuliofikia wa barabara inayoitwa avenue kinshasa kwa kumbukumbu zangu nyumba namba 102 ila ilibomolewa na maroketi usiku huo huo na walikufa waru wanane mule ndani....mengine naweka code.
Usiku ule tukiwa na mwenyeji wetu """""KWANZA ANATUSHANGAA YEYE ANADILI NA ALMASI AFU SISI TUNAMLETEA ISSUE ZA DHAHABU.....SASA AKAWA ANASEMA KUA PALE KISANGANI KUA ALMASI NI NYINGI KULIKO DHAHABU KWENYE BLACK MARKET"""""ANATUSANUA KWA MAPANA
Wakati tunaongea tukaanza mara kusikia piuuh puuuh.....mara sauti za maguruneti.......mara risasi.......mara watu wanaanza kukimbia hovyo kwa nje......jamaa akasema tutoke nje bita ishaanza tena.........hakuna usalama wa kukakaa pale.
Sasa kipindi kile Kisangani umeme ni tabu na kama haupo kabisa,kwahiyo mtaani ni giza tu.
Sio sisi au wafanyakazi wa UN wote kila mmoja anakimbia kutafuta sehemu salama.
Kumbe wanajeshi wa UPDF na RDF na washirika wao wanarushiana MASASI na MIZINGA kugombea njia ya kwenda airport....sikuwahi kufika huko.
Sasa base zao zipo mjini katikati ya raia.....hivyo wakawa wanarushiana risasi mtaani.....chocho kwa chocho.....na mbaya zaidi wanarushiana maroketi na maguruneti.....na wale wanajeshi wa UPDF waliokua nje ya mji wakawa wanarusha mzinga,ndani ya mji...hasa upande huu tuliokuwepo.
Mara Puh
Mara Pah....afu giza
Jamaa akasema tutoke nje ya nyumba.......barabarani raia kibao na wamevurugwa hawajui wakimbilie upande upi???
Tumetoka ndani ya ile nyumba ya mwenyeji wetu...haikupita hata saa...guruneti likaipiga na kuibomoa na ndani walikuemo watu wa familia nyingine.
Nje giza na hatujui pa kwenda mji mzima umechafuka,wanasema wanyarwanda na waganda wanapigana kugombea kudhibiti masoko ya black market na kukusanya ushuru.
Sasa ikatokea gari dogo.....jamaa akatuombea lift.....ili watutoe nje ya mji ili ikiwezekana tukatulie huko BASOKO kwanza.....maana huko kulikua na majeshi ya serikali kidogo kuna amani at least!!
Sasa dereva wa kile kigari nae kapagawa ajue aende njia ipi,na ni usiku akiwasha taa tu anakua tagert ya wale wanajeshi kule juu kilimani.
Ebwana vita isikie tu........wale asikari walivyokua wanarushiana mizinga....mpaka mji woote unawaka taa mwaaaaah kama radi za mvua.
Hapo changanya na mlio ya risasi na makelele ya raia wanaokimbia huku na kule kuepukwa kujeruhiwa.
Mm machale yakanicheza kichwani japo nilikua dogo........ile njia ya kutokea nje ya mji ndipo huko kulipokuwa na wanajeshi wanaopigana karibu na daraja la kutokea nje ya mji wa Kisangani.
Sasa tukaamua tuliunge na lile kundi la raia kuelekea ofisi ya UN tukae sawa mpaka asubuhi...!!!
...........KULIPOKUCHA...............
Ndipo nikapata wasaa mzuri wa kuangalia mji wa Kisangani......maana nilifika usiku pale mjini.
Asubuhi naona vikosi vya wanyarwanda vinapita mtaani......mara wanakimbia huku mara wanakimbia kule.......mara wanawabeba majeruhi wao kutoka kule nje ya mji.......huku wengine na magari yao wanakimbilia nje ya mji kupigana.
Hatujakaa sawa tunaanza kusikia tena mzinga na risasi kuja uelekeo wetu........na wale wanyarwanda wanakimbia kurudi huku nyuma walipotoka mwanzo.Na raia pale UN residence wakaanza kutimua mbio.....Na mji wa Kisangani umezungukwa na misitu.
Na huko msituni usalama sifuri......sasa mji wote kuanzia pale tulipokuwepo mpaka kule airport kulikua na mapigano ya kuviziana kati ya wakongomani wakisaidiwa na waganda na banyamulenge wakisaidiwa na wanyarwanda.
Kila mtaa unasikia puuuh puuuh,mara wanajeshi wanakimbia huku na kule......sema pale makazi ya UN wanapakwepa ila mji mzima mpaka saa tisa mchana risasi na mizinga vilikua vinalia tu.
Ghafla kukawa kimya......na hapo ndipo yule mwenyeji akaja na kusema haraka sana tuondoke.......maana mapigano yamesitishwa tuondoke haraka kuelekea BASOKO kule yalipokuwepo majeshi ya serikali na waangola...!!
Lakini sasa kutoka pale makazi ya UN mpaka kule stendi.......kote kumeharibiwa kuanzia nyumba mpaka barabara.......afu kote kumetapakaa maiti za raia na wanajeshi afu kuna harufu ya vitu vilivyounguzwa na mizinga.
Mpaka kufika stendi nako......kote kumeharibika na hakuna watu wala magari......na yaliyopo yameharibika mno....!!
Kwanza hata ukiwa na gari zuri nilikua nasikia waasi wananyanganya..
Braza Mubanda akaanza kujilaumu kwa kusema.......dogo kweli tuna gundu...........tumefika tu na hawa wajinga wanapigana....na hata biashara za ulanguzi hatujaanza kuziona.
Hatujakaa sawa mara tukasikia mlio ya risasi imeanza tena.......tukadema usitutanie.........na sisi tukaliunga mkono moja kwa moja kule mstuni walipokimbilia raia wengine nje ya mji.
Kumbe kule porini ndio kuna walanguzi kibao wa dhahabu na almasi afu kwa bei chee sababu watu wana shida wanataka dola.
Ukiwa na dola 1000 kipindi hicho unakusanya gramu za kutosha
Ina maana kwa mtaji wa dola 10000 basi ww ni tajiri wa madini.
Lakini sasa hiyo hela wasikujue kama unayo watakuua.
Hata ukiwa na dola 100 watu walikua wanaweza kukuua kipindi kile.
Mle porini au mstuni....ndio kina vibanda vibanda vya watu wanaokimbia kimbia kukepwa mapigano.Na walanguzi wengi wa madini ndio wapo mule......hali ikitulia watu wanarudi mjini.
Tulikaa mule msituni nje ya mji kwa siku tano......hakuna kuoga wala kujisaidia haja kubwa......Hizo mood utazitoa wapi???Ila kwa upande wa ulanguzi...,.niliona brother Mubanda na yule mkongo wakipiga hela sana.
Maisha hayakua mazuri nilihuzunishwa kuona watoto wadogo wakifa,maiti za watu,maiti za wanajeshi zilizoungua kwa risasi*******RISASI ZINAUNGUZA HASA ZIKITOKA KWENYE SUB MACHINE GUN KWA MPIGO KUMLENGA MTU NI KAMA UNAKUA UMEUNGUZA NYAMA KWENYE SUFURIA AU KIKAANGIO KIMAKUSUDI*******na nilihuzunika kuona nyumba za raia zikiharibiwa kimakusudi na wanajeshi wa pande zote mbili.
Niliona mengi ila baada ya siku tano tulifanikiwa kurudi tena mjini Kisangani......na kukuta mji hautamaniki.....na tukaanza kushirikiana na raia wa kawaida kutoa maiti barabarani na kuzizika.....ila za wanajeshi wanazichukua wafanyakazi wa UN waliosimamia cease fire kati ya hayo makundi ya waasi.Na kila kona ya mji tulikua tunakutana tu na waasi wa banyamulenge......wenyewe kama sikosei walikua wanajiita RDC ila kwa muonekano wanaonekana watusi tu kama wale wa vilima vya Mulenge...sasa unashindwa kuwaelewa yupi ni raia wa DRC na yupi ni raia wa Rwanda........na unakausha tu sababu sisi ni wafanya biashara na sio wanasiasa....LAKINI PASSPORT ZETU ZA MAGUMASHI ZINASOMA NCHI TOFAUTI NA TULIYOTOKEA.........ILA GAMBA LAZIMA LIWE LA MOJA YA NCHI ZA JUMUIYA YA COMMONWEALTH.
Vita ni vibaya sana na wakongomani wameteseka sana na wanyarwanda wameteseka sana linapokuja suala la vita....!!Na usisahau waganda nao waasi wa LRA wamewatesa sana.
Hiyo tarehe 10 na kuendelea almost wiki nzima.... kila sehemu pale Kisangani unakutana na uharibifu au watu wanaolia njaa au maiti......either za wanajeshi au raia au waasi.
Na bado mji ule ulikua chini ya udhibiti wa waasi wa kinyamulenge.
Na hata wakati hata tupo kule msituni tulikua tunasikia tu mlio ya risasi na mzinga...!!!
Lakini cha ajabu mapigano yakisimama,watu wanaendelea na maisha kama kawaida....hivyo hivyo kibishi.
NIKAJIKUTA NAJISHANGAA TU MIMI MWENYEWE.....MWAKA 1997 NIMESHUHUDIA VITA....MWAKA 1998 NIMESHUHUDIA VITA.....MWAKA 1999 NIMESHUHUDIA VITA......MWAKA 2000 NASHUHUDIA VITA*
Ni lini DRC kutakua na amani,ili watu waishi na kufanya biashara na kupata maendeleo......mbona tunaonufaika ni watu wa nje na sio wakongomani wazawa.........LEO NI MIAKA 24 NA BADO DRC HAKUNA AMANI YA KUAMINIKA NA UTULIVU.
Kwa kifupi mwaka 2000 biashara ya ulanguzi wa dhahabu na almasi watu walinufaika nayo hasa mjini KISANGANI....tukiwemo sisi,hasa kule mjini BASOKO tulipokimbilia KULINOGA SANA.Ambapo napo baada ya muda kulivamiwa na banyamulenge na tukakimbia baada ya kushuhudia vita vikali kati ya majeshi ya FARDC wakishirikiana na MPLA na ZDF na FDLR dhidi ya RDF na RCD na UPC na MLC.......moja ya matukio mabaya zaidi kwa binadamu kushuhudia.
Tuliamua kuondoka baada ya kuridhika na kile kidogo tulichopata ndani ya ile miezi mitatu...maana hali ya usalama iliendelea kuzorota mpaka 2003 mwishoni
Mengine nitasimulia siku nyingine na mengine nimeweka code hayana umuhimu sana.Kwa leo hii extra episode niishie hapa.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""'''''''''
TUTAENDELEA NA STORY YETU......NILIPOKUA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI NA DHAHABU ZETU ZA MAGENDO KIBINDONI.......!!!
 
INAENDELEA......!!!!
MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI:
Tulikua tumechoka kweli ila yule jamaa yetu alikua anatusisitiza mda woote tusisahau yale masharti ya zile dawa tulizozioga.
Lakini kiukweli nilikua mimi binafsi naona yale mambo ya madawa miyeyusho....ila wakongo na warundi wanaendekeza sana mambo ya ushirikina.
Ila huwezi amini hatukugeuka nyuma,hatukuoga,hatukutazama jua na wala hatukuamsha hisia zetu za kimwili toka tupakwe zile dawa.
ILA MIYEYUSHO ILIKUA NI KUDANGANYANA ETI ZILE DAWA ZINAZUIA RISASI🤣🤣🤣 NA WALE JAMAA ZETU WAKATUAMBIA KAMA HATUAMINI BASI WATUJARIBU KWA KUTUPIGA RISASI VIFUANI🤣🤣🤣MIMI NA NDAGARA TUKAKATAA WAZIWAZI,JAMAA ZETU WAKAWA WANATUCHEKA🤣🤣🤣 BATANZANIA BAOGA*****
Tatizo lilikua ule upande wa mpaka kulikua na majeshi ya DRC na majeshi ya Burundi kwa pamoja yanawasaka waasi wa pande zote mbili waliojificha mpakani.
Kwahiyo ili uweze kuvuka upande wa pili wa burundi lazima uwe makini.Na pia hali tata zaidi ilizidishwa na waasi wa kirundi ambao walikua wanapora na wakati mwingine kuua yoyote wanaekutana nae.
Na wakikujua kua una madini,ndio kabisa unakua mali yao.
Sasa tukawa tunaenda pori kwa pori ili kukwepa wanajeshi wa pande zote mbili na kukwepa waasi pia.
Tulikua tukifikiria kua tumebeba utajiri ila one mistake tutakosa kila kitu mpaka percent zetu kama tukifikisha mzigo salama mjini miduha.
Wale waongozaji wetu wakatushauri kua ni vyema tukatembea usiku kwa usiku....hivyo tutulie tusubiri jua litue.
Ikumbukwe tupo vichakani na hakuna kelele wala kukohoa kohoa ovyo.
Tumechoka kweli na hatuna mda wa kupumzika wa kutosha toka tuianze safari yetu ya kurudi burundi.
Ila wale jamaa zetu nikaona wanaitana pembeni na kuanza kuongea kwa kilugha.....walipomaliza wakatufuata na kutuambia kua usiku huo tutavuka na kuingia burundi mida ya saa nane usiku...,na ilikua tupo kilimani na burundi unaiona kwa mbali kunawaka taa moja moja
Unajua uchumi wa kongo ni wa kusuasua hasa katika mambo ya huduma za kijamii kama maji,afya na upatikanaji wa umeme wa uhakika nchi nzima.....usisahau miundombinu mibovu kabisa ya barabarani.
Rwanda na Burundi ni nchi ndogo,hivyo kidogo zina afadhali hasa katika masuala ya miundombinu na huduma za kijamii kulinganisha na kongo.....Zaire ya zamani.
KUHUSU TAA KUWAKA USIKU NIWACHEKESHE KITU.UKIWA ZIWA KIVU USIKU UTAONA TAA ZA UPANDE WA RWANDA ZINAWAKA ILA UPANDE WA KONGO HAKUNA KITU 🤣🤣😂😂 INA MAANA RWANDA KUNA UMEME WA UHAKIKA KULIKO DRC,BASI WANYARWANDA WAGA WANAWATAMBIA SANA WAKONGOMANI KUHUSU HILO****
Basi na sisi tukawa tunaona taa moja moja upande wa burundi,ila kongo giza tororo.
Tumekaa pale msituni huku tukivua nguo zetu na kuangalia madini yetu kama yapo salama na baada ya kuona kila kitu kipo salama.....nikamuuliza braza Ndagara. kua hv thamani ya huu unga wote wa dhahabu na haya mawe ya ruby ni sh ngapi......tukifanyia udalali......akanijibu kua kwa haraka haraka haiwezi kua chini ya dola 75 elfu na hapo hakuna kodi iliyokatwa........ila akasema inaweza kua juu ya hapo kwa kutegemeana na uhitaji katika masoko ya magendo nchini burundi na rwanda na uganda.
Na braza Ndagara akaanza tamaa akawa ananiambia kama vp tukifika miduha tuwazunguke hawa BANA BUKENE 🤣🤣🤣🤣
Alikua anadai kua haina haja ya sisi kurudi tena kongo na kurisk maisha yetu,wakati hali ya usalama kule kongo ni ya kutia maji maji.
Mm nikamuambia ndugu yangu kua
"""WEWE TUMETOKA WOTE KKOO NA UNAJUA CODE ZETU ZA KITAA KUHUSU USALITI.USIJE UKANIPONZA SABABU HUKU BURUNDI NI KWENU AFU MIMI NIINGIE KWENYE MATATA NA HAWA WENYEJI WANGU,KUNA LEO NA KESHO NA MIMI LAZIMA NITARUDI KONGO KUCHUKUA MAWE""""
Nikamwambia kua tusijifanye wajanja kwa wadau wa BUKENE watatuua.......cha msingi tuwin faith yao afu tuanze kufanya nao biashara ya madini.......kwanza mitaji yetu midogo na isitoshe tumekopa hela......tusijifanye wajuaji na tumeingia kule kwa njia za panya na mfukoni tuna miliono 6 cash...,TUTATAABIKA HUKU.
Sisi watu wa kuwapiga tukishavuka mpaka kuingia burundi ni wale wakenya madalali.....ambao hawavuki kuingia kongo.
Bas ilipofika usiku wa saa saba tukiwa tayari tumeshafunga funga mzigo yetu ili tuvuke mpaka.......mara kwa mbali tunasikia milio ya risasi paah paah mara pruuh puuh.
Jamaa zetu wakatuambia hao ni wanajeshi wa Burundi wanapiga risasi kuwatisha waasi waliojificha misituni na pia kuonyesha presence yao mpakani.
Sasa tukiwa tunavuka upande wa pili wa mpaka lazima tuwe makini na lazima tukumbuke masharti ya zile dawa ili tuvuke salama.
TUNAVUKA
Bas usiku wa saa nane hao tunafanikiwa kuvuka salama na kuingia Burundi........na hapo hakuna kupumzika ni chaka kwa chaka mpaka asubuhi tunatokea mjini Miduha tukiwa tumechoka balaaa.
Wenyeji wetu tuliowaacha wakaja kutupokea na kutupeleka kwenye nyumba moja mitaa ya sokoni kwenda kupumzika.
Kwanini walitupeleka sokoni.......walitupeleka sokoni sababu ni nadra sana wanajeshi kuja kupekua nyumba ambazo zipo pembezoni mwa soko.
Tulipumzika mpaka saa nne.....au sita hv sikumbuki afu tukaanza kucheki mzigo yetu na kuwapa story wale wenyeji wetu.Nilipowaambia nilijifanya KIZIWI WALICHEKA BALAA 🤣🤣🤣🤣 na full kunisifia.
Tulipoanza kutoa vile vifurushi vya madini ndio kabisa wakapagawa.
Wale jamaa zetu wakaleta mizani waakanza kupima kila kifurushi.
Lile dumu likachanwa na ule unga ukawekwa kwenye mfuko wa nyloni afu nao ukapimwa.
Nikawauliza jamaa zangu....vp kuhusu hela mtakazopata baada ya kuuza......wakasema watanunua silaha.
😂🤣🤣🤣
Ila wakasema sisi ndio tutakua madalali wao kwa kipindi chote ambacho tutakua tunakuja Burundi,sababu hawawaaminj tena wanyarwanda na waganda.
Wakadai madalali wakenya wana bei nzuri katika kulangua madini..!.......kuliko madalali wa kikongo au kiganda au kinyarwanda.
Nikawauliza kwa jinsi walivyopima wanadhani mzigo mzima watauza kwa bei ya magendo sh ngapi????
Wakanijibu dola 120,000 kama mambo yakienda vizuri.
Na wakasema kua percent yetu ni dola 26,000 sababu tumeenda kule kambini kwao na tutakua madalali wa kamisheni tu.....na kazi yetu kwao ni kuchukua madini tu na kuwatafutia wateja na madalali wa uhakika.
Mm nikawa nawaza.......sijatoa hata mia zaidi ya kucheki mazingira na ninapata dola 26000 pasu kwa pasu na mwanangu Ndagara.
Kumbe bhana kisicho ridhiki hakiliki......nitaelezea dhahama zilizotukuta mjini Miduha nchini Burundi.
Mipango sio matumizi maana pamoja na kubeba madini yenye thamani ila tuliambulia patupu sababu ya ubishi wa wale jamaa zetu.......ambao ulisababishwa na tamaa zao za kutaka dau kubwa kutoka kwa madalali wengine....tofauti na wale wakenya ambao walikua wanatusubiri wakusanye mzigo wa kutosha.
Kuna jamaa aliwadanganya kua kuna madalali wengine kutoka Bujumbura wananunua mzigo kwa bei nzuri sana.....tofauti na wale wakenya.
Na jamaa zetu wakaingia tamaa,wakatuambia tuachane na wale wakenya,na tukadili na wale watu wa kutoka Bujumbura.
Tukawaambia kwakua sisi ndio tulibeba mzigo na makubaliano yetu ilikua percent flani haizidi 20% basi watupatie hela na watuuzie baadhi ya madini kwa kutumia faranga za burundi.
Wakatusisitiza kwa kusema kua....sisi ni ndugu zao wala tusiwe na shaka.....watatupa percent zetu na watatuletea mzigo mingi tu ya kununua.......sababu wametupeleka kwao kongo na tumejionea kabisa kua wao wana uhakika wa kuleta mzigo wa madini.........TUWAAMNI TU WAWAUZIE WATU WA BUJUMBURA HUU MZIGO ILI WANUNUE SILAHA ZA KURUDI NAZO KONGO..........MAANA WANA UHITAJI WA SILAHA KWELI KWELI KULIKO MAELEZO.
Kumbe ndio wanaenda kupigwa 🤣🤣Tatizo la wale jamaa zetu kumbe walitajiwa dola 150,000 cash kwa madini yote kwa ujumla....ila uhalisia baada ya vipimo ilikua dola 120,000 kwa wale madalali wakenya.....ila wao walikataa wakataka hiyo dola elfu 30 iliyoongezeka kwa wale madalali warundi wa Bujumbura down town.
Tukaona isiwe tabu........kwakua wao ni wenyeji wetu na wanaijua burundi kuliko sisi,wacha tukubaliane nao sababu wanatupa kamisheni yetu na ni watu tunao wategemea kwenye biashara.
Kumbe wanaenda kupigwa 🤣🤣🤣😂
Afu tatizo la wakongomani ni ubishi na ujuaji na wana tamaa ya hela katika utafutaji.....ndio maana wakati mwingi kwenye harakati zetu zautafutaji,ilikua rahisi kuwaingiza wakongomani chaka au kuwashawishi kufanya dili haramu wana tamaa.
Sasa baada ya wale matapeli wa kule Bujumbura down town kuongeza dau la dola elfu 30........jamaa zangu wa BUKENE wakapagawa...maana target yao ilikua ni kukusanya hela za kutosha warudi kivu kusini wanunue silaha na wajizaziti katika himaya zao dhidi ya makundi mengine ya waasi na wanajeshi wa FARDC.
Maana kila eneo linalogunduliwa machimbo ya madini....lazima muwe na silaha kali ili kuweza kulilinda.....dhidi ya makundi mengine ya waasi.
Ndio maana hata ile dola elfu 30 waliitaji sana waondoke nayo.
Kumbe walikua wanajiingiza katika mtego baada ya kuukataa ushauri wetu wa kudili na madalali wakenya tu kwa usalama wao na wetu.
Pale mjini miduha tulikua hatutoki nje ya ua wa ile nyumba tuliyofikia karibu na sokoni......kuhofia wanajeshi na polisi.....na mgambo pia.....sababu tuliingia Burundi kinyemela na hatukua na paspoti wala kitambulisho chochote kwa miezi mitatu tuliokaa pale.
Bas tukawaacha wenyeji wetu wale jamaa wakaenda Bujumbura kukamilisha dili lao.......sisi tukabaki pale miduha na wenyeji wengine waliokuepo......pamoja na wale wakenya madalali wa kununua madini na kuyavusha kimagendo mpaka Kampala.
ITAENDELEA.......!!!!!
 
INAENDELEA......!!!!
MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI:
Tulikua tumechoka kweli ila yule jamaa yetu alikua anatusisitiza mda woote tusisahau yale masharti ya zile dawa tulizozioga.
Lakini kiukweli nilikua mimi binafsi naona yale mambo ya madawa miyeyusho....ila wakongo na warundi wanaendekeza sana mambo ya ushirikina.
Ila huwezi amini hatukugeuka nyuma,hatukuoga,hatukutazama jua na wala hatukuamsha hisia zetu za kimwili toka tupakwe zile dawa.
ILA MIYEYUSHO ILIKUA NI KUDANGANYANA ETI ZILE DAWA ZINAZUIA RISASI🤣🤣🤣 NA WALE JAMAA ZETU WAKATUAMBIA KAMA HATUAMINI BASI WATUJARIBU KWA KUTUPIGA RISASI VIFUANI🤣🤣🤣MIMI NA NDAGARA TUKAKATAA WAZIWAZI,JAMAA ZETU WAKAWA WANATUCHEKA🤣🤣🤣 BATANZANIA BAOGA*****
Tatizo lilikua ule upande wa mpaka kulikua na majeshi ya DRC na majeshi ya Burundi kwa pamoja yanawasaka waasi wa pande zote mbili waliojificha mpakani.
Kwahiyo ili uweze kuvuka upande wa pili wa burundi lazima uwe makini.Na pia hali tata zaidi ilizidishwa na waasi wa kirundi ambao walikua wanapora na wakati mwingine kuua yoyote wanaekutana nae.
Na wakikujua kua una madini,ndio kabisa unakua mali yao.
Sasa tukawa tunaenda pori kwa pori ili kukwepa wanajeshi wa pande zote mbili na kukwepa waasi pia.
Tulikua tukifikiria kua tumebeba utajiri ila one mistake tutakosa kila kitu mpaka percent zetu kama tukifikisha mzigo salama mjini miduha.
Wale waongozaji wetu wakatushauri kua ni vyema tukatembea usiku kwa usiku....hivyo tutulie tusubiri jua litue.
Ikumbukwe tupo vichakani na hakuna kelele wala kukohoa kohoa ovyo.
Tumechoka kweli na hatuna mda wa kupumzika wa kutosha toka tuianze safari yetu ya kurudi burundi.
Ila wale jamaa zetu nikaona wanaitana pembeni na kuanza kuongea kwa kilugha.....walipomaliza wakatufuata na kutuambia kua usiku huo tutavuka na kuingia burundi mida ya saa nane usiku...,na ilikua tupo kilimani na burundi unaiona kwa mbali kunawaka taa moja moja
Unajua uchumi wa kongo ni wa kusuasua hasa katika mambo ya huduma za kijamii kama maji,afya na upatikanaji wa umeme wa uhakika nchi nzima.....usisahau miundombinu mibovu kabisa ya barabarani.
Rwanda na Burundi ni nchi ndogo,hivyo kidogo zina afadhali hasa katika masuala ya miundombinu na huduma za kijamii kulinganisha na kongo.....Zaire ya zamani.
KUHUSU TAA KUWAKA USIKU NIWACHEKESHE KITU.UKIWA ZIWA KIVU USIKU UTAONA TAA ZA UPANDE WA RWANDA ZINAWAKA ILA UPANDE WA KONGO HAKUNA KITU 🤣🤣😂😂 INA MAANA RWANDA KUNA UMEME WA UHAKIKA KULIKO DRC,BASI WANYARWANDA WAGA WANAWATAMBIA SANA WAKONGOMANI KUHUSU HILO****
Basi na sisi tukawa tunaona taa moja moja upande wa burundi,ila kongo giza tororo.
Tumekaa pale msituni huku tukivua nguo zetu na kuangalia madini yetu kama yapo salama na baada ya kuona kila kitu kipo salama.....nikamuuliza braza Ndagara. kua hv thamani ya huu unga wote wa dhahabu na haya mawe ya ruby ni sh ngapi......tukifanyia udalali......akanijibu kua kwa haraka haraka haiwezi kua chini ya dola 75 elfu na hapo hakuna kodi iliyokatwa........ila akasema inaweza kua juu ya hapo kwa kutegemeana na uhitaji katika masoko ya magendo nchini burundi na rwanda na uganda.
Na braza Ndagara akaanza tamaa akawa ananiambia kama vp tukifika miduha tuwazunguke hawa BANA BUKENE 🤣🤣🤣🤣
Alikua anadai kua haina haja ya sisi kurudi tena kongo na kurisk maisha yetu,wakati hali ya usalama kule kongo ni ya kutia maji maji.
Mm nikamuambia ndugu yangu kua
"""WEWE TUMETOKA WOTE KKOO NA UNAJUA CODE ZETU ZA KITAA KUHUSU USALITI.USIJE UKANIPONZA SABABU HUKU BURUNDI NI KWENU AFU MIMI NIINGIE KWENYE MATATA NA HAWA WENYEJI WANGU,KUNA LEO NA KESHO NA MIMI LAZIMA NITARUDI KONGO KUCHUKUA MAWE""""
Nikamwambia kua tusijifanye wajanja kwa wadau wa BUKENE watatuua.......cha msingi tuwin faith yao afu tuanze kufanya nao biashara ya madini.......kwanza mitaji yetu midogo na isitoshe tumekopa hela......tusijifanye wajuaji na tumeingia kule kwa njia za panya na mfukoni tuna miliono 6 cash...,TUTATAABIKA HUKU.
Sisi watu wa kuwapiga tukishavuka mpaka kuingia burundi ni wale wakenya madalali.....ambao hawavuki kuingia kongo.
Bas ilipofika usiku wa saa saba tukiwa tayari tumeshafunga funga mzigo yetu ili tuvuke mpaka.......mara kwa mbali tunasikia milio ya risasi paah paah mara pruuh puuh.
Jamaa zetu wakatuambia hao ni wanajeshi wa Burundi wanapiga risasi kuwatisha waasi waliojificha misituni na pia kuonyesha presence yao mpakani.
Sasa tukiwa tunavuka upande wa pili wa mpaka lazima tuwe makini na lazima tukumbuke masharti ya zile dawa ili tuvuke salama.
TUNAVUKA
Bas usiku wa saa nane hao tunafanikiwa kuvuka salama na kuingia Burundi........na hapo hakuna kupumzika ni chaka kwa chaka mpaka asubuhi tunatokea mjini Miduha tukiwa tumechoka balaaa.
Wenyeji wetu tuliowaacha wakaja kutupokea na kutupeleka kwenye nyumba moja mitaa ya sokoni kwenda kupumzika.
Kwanini walitupeleka sokoni.......walitupeleka sokoni sababu ni nadra sana wanajeshi kuja kupekua nyumba ambazo zipo pembezoni mwa soko.
Tulipumzika mpaka saa nne.....au sita hv sikumbuki afu tukaanza kucheki mzigo yetu na kuwapa story wale wenyeji wetu.Nilipowaambia nilijifanya KIZIWI WALICHEKA BALAA 🤣🤣🤣🤣 na full kunisifia.
Tulipoanza kutoa vile vifurushi vya madini ndio kabisa wakapagawa.
Wale jamaa zetu wakaleta mizani waakanza kupima kila kifurushi.
Lile dumu likachanwa na ule unga ukawekwa kwenye mfuko wa nyloni afu nao ukapimwa.
Nikawauliza jamaa zangu....vp kuhusu hela mtakazopata baada ya kuuza......wakasema watanunua silaha.
😂🤣🤣🤣
Ila wakasema sisi ndio tutakua madalali wao kwa kipindi chote ambacho tutakua tunakuja Burundi,sababu hawawaaminj tena wanyarwanda na waganda.
Wakadai madalali wakenya wana bei nzuri katika kulangua madini..!.......kuliko madalali wa kikongo au kiganda au kinyarwanda.
Nikawauliza kwa jinsi walivyopima wanadhani mzigo mzima watauza kwa bei ya magendo sh ngapi????
Wakanijibu dola 120,000 kama mambo yakienda vizuri.
Na wakasema kua percent yetu ni dola 26,000 sababu tumeenda kule kambini kwao na tutakua madalali wa kamisheni tu.....na kazi yetu kwao ni kuchukua madini tu na kuwatafutia wateja na madalali wa uhakika.
Mm nikawa nawaza.......sijatoa hata mia zaidi ya kucheki mazingira na ninapata dola 26000 pasu kwa pasu na mwanangu Ndagara.
Kumbe bhana kisicho ridhiki hakiliki......nitaelezea dhahama zilizotukuta mjini Miduha nchini Burundi.
Mipango sio matumizi maana pamoja na kubeba madini yenye thamani ila tuliambulia patupu sababu ya ubishi wa wale jamaa zetu.......ambao ulisababishwa na tamaa zao za kutaka dau kubwa kutoka kwa madalali wengine....tofauti na wale wakenya ambao walikua wanatusubiri wakusanye mzigo wa kutosha.
Kuna jamaa aliwadanganya kua kuna madalali wengine kutoka Bujumbura wananunua mzigo kwa bei nzuri sana.....tofauti na wale wakenya.
Na jamaa zetu wakaingia tamaa,wakatuambia tuachane na wale wakenya,na tukadili na wale watu wa kutoka Bujumbura.
Tukawaambia kwakua sisi ndio tulibeba mzigo na makubaliano yetu ilikua percent flani haizidi 20% basi watupatie hela na watuuzie baadhi ya madini kwa kutumia faranga za burundi.
Wakatusisitiza kwa kusema kua....sisi ni ndugu zao wala tusiwe na shaka.....watatupa percent zetu na watatuletea mzigo mingi tu ya kununua.......sababu wametupeleka kwao kongo na tumejionea kabisa kua wao wana uhakika wa kuleta mzigo wa madini.........TUWAAMNI TU WAWAUZIE WATU WA BUJUMBURA HUU MZIGO ILI WANUNUE SILAHA ZA KURUDI NAZO KONGO..........MAANA WANA UHITAJI WA SILAHA KWELI KWELI KULIKO MAELEZO.
Kumbe ndio wanaenda kupigwa 🤣🤣Tatizo la wale jamaa zetu kumbe walitajiwa dola 150,000 cash kwa madini yote kwa ujumla....ila uhalisia baada ya vipimo ilikua dola 120,000 kwa wale madalali wakenya.....ila wao walikataa wakataka hiyo dola elfu 30 iliyoongezeka kwa wale madalali warundi wa Bujumbura down town.
Tukaona isiwe tabu........kwakua wao ni wenyeji wetu na wanaijua burundi kuliko sisi,wacha tukubaliane nao sababu wanatupa kamisheni yetu na ni watu tunao wategemea kwenye biashara.
Kumbe wanaenda kupigwa 🤣🤣🤣😂
Afu tatizo la wakongomani ni ubishi na ujuaji na wana tamaa ya hela katika utafutaji.....ndio maana wakati mwingi kwenye harakati zetu zautafutaji,ilikua rahisi kuwaingiza wakongomani chaka au kuwashawishi kufanya dili haramu wana tamaa.
Sasa baada ya wale matapeli wa kule Bujumbura down town kuongeza dau la dola elfu 30........jamaa zangu wa BUKENE wakapagawa...maana target yao ilikua ni kukusanya hela za kutosha warudi kivu kusini wanunue silaha na wajizaziti katika himaya zao dhidi ya makundi mengine ya waasi na wanajeshi wa FARDC.
Maana kila eneo linalogunduliwa machimbo ya madini....lazima muwe na silaha kali ili kuweza kulilinda.....dhidi ya makundi mengine ya waasi.
Ndio maana hata ile dola elfu 30 waliitaji sana waondoke nayo.
Kumbe walikua wanajiingiza katika mtego baada ya kuukataa ushauri wetu wa kudili na madalali wakenya tu kwa usalama wao na wetu.
Pale mjini miduha tulikua hatutoki nje ya ua wa ile nyumba tuliyofikia karibu na sokoni......kuhofia wanajeshi na polisi.....na mgambo pia.....sababu tuliingia Burundi kinyemela na hatukua na paspoti wala kitambulisho chochote kwa miezi mitatu tuliokaa pale.
Bas tukawaacha wenyeji wetu wale jamaa wakaenda Bujumbura kukamilisha dili lao.......sisi tukabaki pale miduha na wenyeji wengine waliokuepo......pamoja na wale wakenya madalali wa kununua madini na kuyavusha kimagendo mpaka Kampala.
ITAENDELEA.......!!!!!
Kwenye utamu unakatishwa!?
 
INAENDELEA......!!!!
MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI:
Tulikua tumechoka kweli ila yule jamaa yetu alikua anatusisitiza mda woote tusisahau yale masharti ya zile dawa tulizozioga.
Lakini kiukweli nilikua mimi binafsi naona yale mambo ya madawa miyeyusho....ila wakongo na warundi wanaendekeza sana mambo ya ushirikina.
Ila huwezi amini hatukugeuka nyuma,hatukuoga,hatukutazama jua na wala hatukuamsha hisia zetu za kimwili toka tupakwe zile dawa.
ILA MIYEYUSHO ILIKUA NI KUDANGANYANA ETI ZILE DAWA ZINAZUIA RISASI🤣🤣🤣 NA WALE JAMAA ZETU WAKATUAMBIA KAMA HATUAMINI BASI WATUJARIBU KWA KUTUPIGA RISASI VIFUANI🤣🤣🤣MIMI NA NDAGARA TUKAKATAA WAZIWAZI,JAMAA ZETU WAKAWA WANATUCHEKA🤣🤣🤣 BATANZANIA BAOGA*****
Tatizo lilikua ule upande wa mpaka kulikua na majeshi ya DRC na majeshi ya Burundi kwa pamoja yanawasaka waasi wa pande zote mbili waliojificha mpakani.
Kwahiyo ili uweze kuvuka upande wa pili wa burundi lazima uwe makini.Na pia hali tata zaidi ilizidishwa na waasi wa kirundi ambao walikua wanapora na wakati mwingine kuua yoyote wanaekutana nae.
Na wakikujua kua una madini,ndio kabisa unakua mali yao.
Sasa tukawa tunaenda pori kwa pori ili kukwepa wanajeshi wa pande zote mbili na kukwepa waasi pia.
Tulikua tukifikiria kua tumebeba utajiri ila one mistake tutakosa kila kitu mpaka percent zetu kama tukifikisha mzigo salama mjini miduha.
Wale waongozaji wetu wakatushauri kua ni vyema tukatembea usiku kwa usiku....hivyo tutulie tusubiri jua litue.
Ikumbukwe tupo vichakani na hakuna kelele wala kukohoa kohoa ovyo.
Tumechoka kweli na hatuna mda wa kupumzika wa kutosha toka tuianze safari yetu ya kurudi burundi.
Ila wale jamaa zetu nikaona wanaitana pembeni na kuanza kuongea kwa kilugha.....walipomaliza wakatufuata na kutuambia kua usiku huo tutavuka na kuingia burundi mida ya saa nane usiku...,na ilikua tupo kilimani na burundi unaiona kwa mbali kunawaka taa moja moja
Unajua uchumi wa kongo ni wa kusuasua hasa katika mambo ya huduma za kijamii kama maji,afya na upatikanaji wa umeme wa uhakika nchi nzima.....usisahau miundombinu mibovu kabisa ya barabarani.
Rwanda na Burundi ni nchi ndogo,hivyo kidogo zina afadhali hasa katika masuala ya miundombinu na huduma za kijamii kulinganisha na kongo.....Zaire ya zamani.
KUHUSU TAA KUWAKA USIKU NIWACHEKESHE KITU.UKIWA ZIWA KIVU USIKU UTAONA TAA ZA UPANDE WA RWANDA ZINAWAKA ILA UPANDE WA KONGO HAKUNA KITU 🤣🤣😂😂 INA MAANA RWANDA KUNA UMEME WA UHAKIKA KULIKO DRC,BASI WANYARWANDA WAGA WANAWATAMBIA SANA WAKONGOMANI KUHUSU HILO****
Basi na sisi tukawa tunaona taa moja moja upande wa burundi,ila kongo giza tororo.
Tumekaa pale msituni huku tukivua nguo zetu na kuangalia madini yetu kama yapo salama na baada ya kuona kila kitu kipo salama.....nikamuuliza braza Ndagara. kua hv thamani ya huu unga wote wa dhahabu na haya mawe ya ruby ni sh ngapi......tukifanyia udalali......akanijibu kua kwa haraka haraka haiwezi kua chini ya dola 75 elfu na hapo hakuna kodi iliyokatwa........ila akasema inaweza kua juu ya hapo kwa kutegemeana na uhitaji katika masoko ya magendo nchini burundi na rwanda na uganda.
Na braza Ndagara akaanza tamaa akawa ananiambia kama vp tukifika miduha tuwazunguke hawa BANA BUKENE 🤣🤣🤣🤣
Alikua anadai kua haina haja ya sisi kurudi tena kongo na kurisk maisha yetu,wakati hali ya usalama kule kongo ni ya kutia maji maji.
Mm nikamuambia ndugu yangu kua
"""WEWE TUMETOKA WOTE KKOO NA UNAJUA CODE ZETU ZA KITAA KUHUSU USALITI.USIJE UKANIPONZA SABABU HUKU BURUNDI NI KWENU AFU MIMI NIINGIE KWENYE MATATA NA HAWA WENYEJI WANGU,KUNA LEO NA KESHO NA MIMI LAZIMA NITARUDI KONGO KUCHUKUA MAWE""""
Nikamwambia kua tusijifanye wajanja kwa wadau wa BUKENE watatuua.......cha msingi tuwin faith yao afu tuanze kufanya nao biashara ya madini.......kwanza mitaji yetu midogo na isitoshe tumekopa hela......tusijifanye wajuaji na tumeingia kule kwa njia za panya na mfukoni tuna miliono 6 cash...,TUTATAABIKA HUKU.
Sisi watu wa kuwapiga tukishavuka mpaka kuingia burundi ni wale wakenya madalali.....ambao hawavuki kuingia kongo.
Bas ilipofika usiku wa saa saba tukiwa tayari tumeshafunga funga mzigo yetu ili tuvuke mpaka.......mara kwa mbali tunasikia milio ya risasi paah paah mara pruuh puuh.
Jamaa zetu wakatuambia hao ni wanajeshi wa Burundi wanapiga risasi kuwatisha waasi waliojificha misituni na pia kuonyesha presence yao mpakani.
Sasa tukiwa tunavuka upande wa pili wa mpaka lazima tuwe makini na lazima tukumbuke masharti ya zile dawa ili tuvuke salama.
TUNAVUKA
Bas usiku wa saa nane hao tunafanikiwa kuvuka salama na kuingia Burundi........na hapo hakuna kupumzika ni chaka kwa chaka mpaka asubuhi tunatokea mjini Miduha tukiwa tumechoka balaaa.
Wenyeji wetu tuliowaacha wakaja kutupokea na kutupeleka kwenye nyumba moja mitaa ya sokoni kwenda kupumzika.
Kwanini walitupeleka sokoni.......walitupeleka sokoni sababu ni nadra sana wanajeshi kuja kupekua nyumba ambazo zipo pembezoni mwa soko.
Tulipumzika mpaka saa nne.....au sita hv sikumbuki afu tukaanza kucheki mzigo yetu na kuwapa story wale wenyeji wetu.Nilipowaambia nilijifanya KIZIWI WALICHEKA BALAA 🤣🤣🤣🤣 na full kunisifia.
Tulipoanza kutoa vile vifurushi vya madini ndio kabisa wakapagawa.
Wale jamaa zetu wakaleta mizani waakanza kupima kila kifurushi.
Lile dumu likachanwa na ule unga ukawekwa kwenye mfuko wa nyloni afu nao ukapimwa.
Nikawauliza jamaa zangu....vp kuhusu hela mtakazopata baada ya kuuza......wakasema watanunua silaha.
😂🤣🤣🤣
Ila wakasema sisi ndio tutakua madalali wao kwa kipindi chote ambacho tutakua tunakuja Burundi,sababu hawawaaminj tena wanyarwanda na waganda.
Wakadai madalali wakenya wana bei nzuri katika kulangua madini..!.......kuliko madalali wa kikongo au kiganda au kinyarwanda.
Nikawauliza kwa jinsi walivyopima wanadhani mzigo mzima watauza kwa bei ya magendo sh ngapi????
Wakanijibu dola 120,000 kama mambo yakienda vizuri.
Na wakasema kua percent yetu ni dola 26,000 sababu tumeenda kule kambini kwao na tutakua madalali wa kamisheni tu.....na kazi yetu kwao ni kuchukua madini tu na kuwatafutia wateja na madalali wa uhakika.
Mm nikawa nawaza.......sijatoa hata mia zaidi ya kucheki mazingira na ninapata dola 26000 pasu kwa pasu na mwanangu Ndagara.
Kumbe bhana kisicho ridhiki hakiliki......nitaelezea dhahama zilizotukuta mjini Miduha nchini Burundi.
Mipango sio matumizi maana pamoja na kubeba madini yenye thamani ila tuliambulia patupu sababu ya ubishi wa wale jamaa zetu.......ambao ulisababishwa na tamaa zao za kutaka dau kubwa kutoka kwa madalali wengine....tofauti na wale wakenya ambao walikua wanatusubiri wakusanye mzigo wa kutosha.
Kuna jamaa aliwadanganya kua kuna madalali wengine kutoka Bujumbura wananunua mzigo kwa bei nzuri sana.....tofauti na wale wakenya.
Na jamaa zetu wakaingia tamaa,wakatuambia tuachane na wale wakenya,na tukadili na wale watu wa kutoka Bujumbura.
Tukawaambia kwakua sisi ndio tulibeba mzigo na makubaliano yetu ilikua percent flani haizidi 20% basi watupatie hela na watuuzie baadhi ya madini kwa kutumia faranga za burundi.
Wakatusisitiza kwa kusema kua....sisi ni ndugu zao wala tusiwe na shaka.....watatupa percent zetu na watatuletea mzigo mingi tu ya kununua.......sababu wametupeleka kwao kongo na tumejionea kabisa kua wao wana uhakika wa kuleta mzigo wa madini.........TUWAAMNI TU WAWAUZIE WATU WA BUJUMBURA HUU MZIGO ILI WANUNUE SILAHA ZA KURUDI NAZO KONGO..........MAANA WANA UHITAJI WA SILAHA KWELI KWELI KULIKO MAELEZO.
Kumbe ndio wanaenda kupigwa 🤣🤣Tatizo la wale jamaa zetu kumbe walitajiwa dola 150,000 cash kwa madini yote kwa ujumla....ila uhalisia baada ya vipimo ilikua dola 120,000 kwa wale madalali wakenya.....ila wao walikataa wakataka hiyo dola elfu 30 iliyoongezeka kwa wale madalali warundi wa Bujumbura down town.
Tukaona isiwe tabu........kwakua wao ni wenyeji wetu na wanaijua burundi kuliko sisi,wacha tukubaliane nao sababu wanatupa kamisheni yetu na ni watu tunao wategemea kwenye biashara.
Kumbe wanaenda kupigwa 🤣🤣🤣😂
Afu tatizo la wakongomani ni ubishi na ujuaji na wana tamaa ya hela katika utafutaji.....ndio maana wakati mwingi kwenye harakati zetu zautafutaji,ilikua rahisi kuwaingiza wakongomani chaka au kuwashawishi kufanya dili haramu wana tamaa.
Sasa baada ya wale matapeli wa kule Bujumbura down town kuongeza dau la dola elfu 30........jamaa zangu wa BUKENE wakapagawa...maana target yao ilikua ni kukusanya hela za kutosha warudi kivu kusini wanunue silaha na wajizaziti katika himaya zao dhidi ya makundi mengine ya waasi na wanajeshi wa FARDC.
Maana kila eneo linalogunduliwa machimbo ya madini....lazima muwe na silaha kali ili kuweza kulilinda.....dhidi ya makundi mengine ya waasi.
Ndio maana hata ile dola elfu 30 waliitaji sana waondoke nayo.
Kumbe walikua wanajiingiza katika mtego baada ya kuukataa ushauri wetu wa kudili na madalali wakenya tu kwa usalama wao na wetu.
Pale mjini miduha tulikua hatutoki nje ya ua wa ile nyumba tuliyofikia karibu na sokoni......kuhofia wanajeshi na polisi.....na mgambo pia.....sababu tuliingia Burundi kinyemela na hatukua na paspoti wala kitambulisho chochote kwa miezi mitatu tuliokaa pale.
Bas tukawaacha wenyeji wetu wale jamaa wakaenda Bujumbura kukamilisha dili lao.......sisi tukabaki pale miduha na wenyeji wengine waliokuepo......pamoja na wale wakenya madalali wa kununua madini na kuyavusha kimagendo mpaka Kampala.
ITAENDELEA.......!!!!!
Dah si mchezo..nipo hapa
 
:EXTRA EPISODE:
HARAKATI ZA ULANGUZI WA MADINI KISANGANI NA BASOKO...!!!!
Mwaka 1997 mpaka mwishoni mwa mwaka 2003 kulikua na ulanguzi mkubwa mno wa dhahabu katika DRC......makundi mengi ya waasi kuanzia ndani ya DRC mpaka nje ya DRC yalikua yanajichukulia madini jinsi yanavyotaka......nawakongomani wengi na wanyarwanda wengi na waganda wengi na warundi wengi walinufaika sana mwaka huo.
Nitaadithia tukio moja kuhusu hayo mambo ya kulangua madini mjini Kisangani.
Maisha bhana watu tunatafuta popote pale....na kwa njia ngumu ngumu kweli.
Braza MUBA MUBANDA aliambiwa kua hapo Kisangani,wanajeshi wa uganda na waasi wanauza madini kirahisi rahisi na kwa bei chee...!!!
Mwaka 2000-2003 nilikua kijana barubaru na kipindi hicho vita vya DRC vilikua vimepamba moto ile mbaya.
Braza akaniambia dogo sikia....pale Kisangani ni city center hakuna vita ila black market ipo.....ukiwa na mzigo wa kutosha utawauzia kwa dola...WALEBANON,WAKENYA NA WATANZANIA,WANYARWANDA,WARUNDI,WASOMALI,WAKONGOMANI NA WAANGOLA.....kipindi hicho wachina wachache DRC..!!!
Issue ikawa kufikaje........nitafupisha story......ni kweli kwa njia ambazo siwezi kuziweka adharani hapa kwa sababu za kiusalama na kulinda code za watu waliotuwezesha enzi hizo....tulifika kisangani.....na nilichotaka kuadithia ni hiki hapa...!!!
Tulifika kisangani tarehe 4 June 2000......wakati huo bado mji unashikiliwa na waganda na wanyarwanda,walioendelea kupambana kwa kuviziana hapo Kisangani mpaka mwaka 2003 baadae huko kama sikosei.Sisi tulikimbia kuokoa maisha yetu na ngoja niadithie kilichotukuta wakati huo mimi na braza yangu MUBA MUBANDA......achaneni na story za vijiweni au story za kwenye majarida..yote hayo yanaelezea nusu nusu......story inaanzia tarehe 4 june 2000 usiku wa saa tano tano hv kwa saa za DRC....Hapo tupo kwenye mtaa tuliofikia wa barabara inayoitwa avenue kinshasa kwa kumbukumbu zangu nyumba namba 102 ila ilibomolewa na maroketi usiku huo huo na walikufa waru wanane mule ndani....mengine naweka code.
Usiku ule tukiwa na mwenyeji wetu """""KWANZA ANATUSHANGAA YEYE ANADILI NA ALMASI AFU SISI TUNAMLETEA ISSUE ZA DHAHABU.....SASA AKAWA ANASEMA KUA PALE KISANGANI KUA ALMASI NI NYINGI KULIKO DHAHABU KWENYE BLACK MARKET"""""ANATUSANUA KWA MAPANA
Wakati tunaongea tukaanza mara kusikia piuuh puuuh.....mara sauti za maguruneti.......mara risasi.......mara watu wanaanza kukimbia hovyo kwa nje......jamaa akasema tutoke nje bita ishaanza tena.........hakuna usalama wa kukakaa pale.
Sasa kipindi kile Kisangani umeme ni tabu na kama haupo kabisa,kwahiyo mtaani ni giza tu.
Sio sisi au wafanyakazi wa UN wote kila mmoja anakimbia kutafuta sehemu salama.
Kumbe wanajeshi wa UPDF na RDF na washirika wao wanarushiana MASASI na MIZINGA kugombea njia ya kwenda airport....sikuwahi kufika huko.
Sasa base zao zipo mjini katikati ya raia.....hivyo wakawa wanarushiana risasi mtaani.....chocho kwa chocho.....na mbaya zaidi wanarushiana maroketi na maguruneti.....na wale wanajeshi wa UPDF waliokua nje ya mji wakawa wanarusha mzinga,ndani ya mji...hasa upande huu tuliokuwepo.
Mara Puh
Mara Pah....afu giza
Jamaa akasema tutoke nje ya nyumba.......barabarani raia kibao na wamevurugwa hawajui wakimbilie upande upi???
Tumetoka ndani ya ile nyumba ya mwenyeji wetu...haikupita hata saa...guruneti likaipiga na kuibomoa na ndani walikuemo watu wa familia nyingine.
Nje giza na hatujui pa kwenda mji mzima umechafuka,wanasema wanyarwanda na waganda wanapigana kugombea kudhibiti masoko ya black market na kukusanya ushuru.
Sasa ikatokea gari dogo.....jamaa akatuombea lift.....ili watutoe nje ya mji ili ikiwezekana tukatulie huko BASOKO kwanza.....maana huko kulikua na majeshi ya serikali kidogo kuna amani at least!!
Sasa dereva wa kile kigari nae kapagawa ajue aende njia ipi,na ni usiku akiwasha taa tu anakua tagert ya wale wanajeshi kule juu kilimani.
Ebwana vita isikie tu........wale asikari walivyokua wanarushiana mizinga....mpaka mji woote unawaka taa mwaaaaah kama radi za mvua.
Hapo changanya na mlio ya risasi na makelele ya raia wanaokimbia huku na kule kuepukwa kujeruhiwa.
Mm machale yakanicheza kichwani japo nilikua dogo........ile njia ya kutokea nje ya mji ndipo huko kulipokuwa na wanajeshi wanaopigana karibu na daraja la kutokea nje ya mji wa Kisangani.
Sasa tukaamua tuliunge na lile kundi la raia kuelekea ofisi ya UN tukae sawa mpaka asubuhi...!!!
...........KULIPOKUCHA...............
Ndipo nikapata wasaa mzuri wa kuangalia mji wa Kisangani......maana nilifika usiku pale mjini.
Asubuhi naona vikosi vya wanyarwanda vinapita mtaani......mara wanakimbia huku mara wanakimbia kule.......mara wanawabeba majeruhi wao kutoka kule nje ya mji.......huku wengine na magari yao wanakimbilia nje ya mji kupigana.
Hatujakaa sawa tunaanza kusikia tena mzinga na risasi kuja uelekeo wetu........na wale wanyarwanda wanakimbia kurudi huku nyuma walipotoka mwanzo.Na raia pale UN residence wakaanza kutimua mbio.....Na mji wa Kisangani umezungukwa na misitu.
Na huko msituni usalama sifuri......sasa mji wote kuanzia pale tulipokuwepo mpaka kule airport kulikua na mapigano ya kuviziana kati ya wakongomani wakisaidiwa na waganda na banyamulenge wakisaidiwa na wanyarwanda.
Kila mtaa unasikia puuuh puuuh,mara wanajeshi wanakimbia huku na kule......sema pale makazi ya UN wanapakwepa ila mji mzima mpaka saa tisa mchana risasi na mizinga vilikua vinalia tu.
Ghafla kukawa kimya......na hapo ndipo yule mwenyeji akaja na kusema haraka sana tuondoke.......maana mapigano yamesitishwa tuondoke haraka kuelekea BASOKO kule yalipokuwepo majeshi ya serikali na waangola...!!
Lakini sasa kutoka pale makazi ya UN mpaka kule stendi.......kote kumeharibiwa kuanzia nyumba mpaka barabara.......afu kote kumetapakaa maiti za raia na wanajeshi afu kuna harufu ya vitu vilivyounguzwa na mizinga.
Mpaka kufika stendi nako......kote kumeharibika na hakuna watu wala magari......na yaliyopo yameharibika mno....!!
Kwanza hata ukiwa na gari zuri nilikua nasikia waasi wananyanganya..
Braza Mubanda akaanza kujilaumu kwa kusema.......dogo kweli tuna gundu...........tumefika tu na hawa wajinga wanapigana....na hata biashara za ulanguzi hatujaanza kuziona.
Hatujakaa sawa mara tukasikia mlio ya risasi imeanza tena.......tukadema usitutanie.........na sisi tukaliunga mkono moja kwa moja kule mstuni walipokimbilia raia wengine nje ya mji.
Kumbe kule porini ndio kuna walanguzi kibao wa dhahabu na almasi afu kwa bei chee sababu watu wana shida wanataka dola.
Ukiwa na dola 1000 kipindi hicho unakusanya gramu za kutosha
Ina maana kwa mtaji wa dola 10000 basi ww ni tajiri wa madini.
Lakini sasa hiyo hela wasikujue kama unayo watakuua.
Hata ukiwa na dola 100 watu walikua wanaweza kukuua kipindi kile.
Mle porini au mstuni....ndio kina vibanda vibanda vya watu wanaokimbia kimbia kukepwa mapigano.Na walanguzi wengi wa madini ndio wapo mule......hali ikitulia watu wanarudi mjini.
Tulikaa mule msituni nje ya mji kwa siku tano......hakuna kuoga wala kujisaidia haja kubwa......Hizo mood utazitoa wapi???Ila kwa upande wa ulanguzi...,.niliona brother Mubanda na yule mkongo wakipiga hela sana.
Maisha hayakua mazuri nilihuzunishwa kuona watoto wadogo wakifa,maiti za watu,maiti za wanajeshi zilizoungua kwa risasi*******RISASI ZINAUNGUZA HASA ZIKITOKA KWENYE SUB MACHINE GUN KWA MPIGO KUMLENGA MTU NI KAMA UNAKUA UMEUNGUZA NYAMA KWENYE SUFURIA AU KIKAANGIO KIMAKUSUDI*******na nilihuzunika kuona nyumba za raia zikiharibiwa kimakusudi na wanajeshi wa pande zote mbili.
Niliona mengi ila baada ya siku tano tulifanikiwa kurudi tena mjini Kisangani......na kukuta mji hautamaniki.....na tukaanza kushirikiana na raia wa kawaida kutoa maiti barabarani na kuzizika.....ila za wanajeshi wanazichukua wafanyakazi wa UN waliosimamia cease fire kati ya hayo makundi ya waasi.Na kila kona ya mji tulikua tunakutana tu na waasi wa banyamulenge......wenyewe kama sikosei walikua wanajiita RDC ila kwa muonekano wanaonekana watusi tu kama wale wa vilima vya Mulenge...sasa unashindwa kuwaelewa yupi ni raia wa DRC na yupi ni raia wa Rwanda........na unakausha tu sababu sisi ni wafanya biashara na sio wanasiasa....LAKINI PASSPORT ZETU ZA MAGUMASHI ZINASOMA NCHI TOFAUTI NA TULIYOTOKEA.........ILA GAMBA LAZIMA LIWE LA MOJA YA NCHI ZA JUMUIYA YA COMMONWEALTH.
Vita ni vibaya sana na wakongomani wameteseka sana na wanyarwanda wameteseka sana linapokuja suala la vita....!!Na usisahau waganda nao waasi wa LRA wamewatesa sana.
Hiyo tarehe 10 na kuendelea almost wiki nzima.... kila sehemu pale Kisangani unakutana na uharibifu au watu wanaolia njaa au maiti......either za wanajeshi au raia au waasi.
Na bado mji ule ulikua chini ya udhibiti wa waasi wa kinyamulenge.
Na hata wakati hata tupo kule msituni tulikua tunasikia tu mlio ya risasi na mzinga...!!!
Lakini cha ajabu mapigano yakisimama,watu wanaendelea na maisha kama kawaida....hivyo hivyo kibishi.
NIKAJIKUTA NAJISHANGAA TU MIMI MWENYEWE.....MWAKA 1997 NIMESHUHUDIA VITA....MWAKA 1998 NIMESHUHUDIA VITA.....MWAKA 1999 NIMESHUHUDIA VITA......MWAKA 2000 NASHUHUDIA VITA*
Ni lini DRC kutakua na amani,ili watu waishi na kufanya biashara na kupata maendeleo......mbona tunaonufaika ni watu wa nje na sio wakongomani wazawa.........LEO NI MIAKA 24 NA BADO DRC HAKUNA AMANI YA KUAMINIKA NA UTULIVU.
Kwa kifupi mwaka 2000 biashara ya ulanguzi wa dhahabu na almasi watu walinufaika nayo hasa mjini KISANGANI....tukiwemo sisi,hasa kule mjini BASOKO tulipokimbilia KULINOGA SANA.Ambapo napo baada ya muda kulivamiwa na banyamulenge na tukakimbia baada ya kushuhudia vita vikali kati ya majeshi ya FARDC wakishirikiana na MPLA na ZDF na FDLR dhidi ya RDF na RCD na UPC na MLC.......moja ya matukio mabaya zaidi kwa binadamu kushuhudia.
Tuliamua kuondoka baada ya kuridhika na kile kidogo tulichopata ndani ya ile miezi mitatu...maana hali ya usalama iliendelea kuzorota mpaka 2003 mwishoni
Mengine nitasimulia siku nyingine na mengine nimeweka code hayana umuhimu sana.Kwa leo hii extra episode niishie hapa.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""'''''''''
TUTAENDELEA NA STORY YETU......NILIPOKUA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI NA DHAHABU ZETU ZA MAGENDO KIBINDONI.......!!!!
Dah jirani mie. Nimepambana ila wewe ni mpambanaji
 
Back
Top Bottom