Mabucha tofauti......

we tuombe radhi..Lil blue pills ni kwa wazee tu..Not young and restless
Ahhhh ndo wale wale...wazeee...vijana siku hizi hamtofautiani.Tena bora wazee wenye kisingizio cha kuzeeka.
 
Magu kama hujanielewa ...sijasema nyama za wanyama wote zinafanana ila kama mnyama ni yule yule hamna jipya.Wanyama wa porini baadhi wanajulikana kwa utamu waa sio uongo.

hivi bucha za samaki zinaitwaje kweli?
 
ahhhh ndo wale wale...wazeee...vijana siku hizi hamtofautiani.tena bora wazee wenye kisingizio cha kuzeeka.

tatizo na nyinyi siku hizi appetite yenu imeongezeka
ipo above standard...
Hamlizungumzi hilo
 
Mhh... lakini kuna kaukweli flani..
 
tatizo na nyinyi siku hizi appetite yenu imeongezekaipo above standard...Hamlizungumzi hilo
Yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.Mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.
 
Yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.Mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.

Tunayakubali sana mapungufu yetu ila tatizo nyie hamuishi kuturushia madongo na kama kuna mapungufu kwa nini tusiyaongee badala yake unaenda kutafuta bucha mpya na mpishi mpya
 
Tunayakubali sana mapungufu yetu ila tatizo nyie hamuishi kuturushia madongo na kama kuna mapungufu kwa nini tusiyaongee badala yake unaenda kutafuta bucha mpya na mpishi mpya
Hahhhha...kwasababu mmetufundisha na kutuzoesha kwamba hiyo ndo solution pekee...bila kusahau kwamba hampendi kukosolewa wala kurekebishwa na kuelekezwa.
 
yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.

wewe kwa ubishi...
 
Hahhhha...kwasababu mmetufundisha na kutuzoesha kwamba hiyo ndo solution pekee...bila kusahau kwamba hampendi kukosolewa wala kurekebishwa na kuelekezwa.

Huwa hamttupi nafasi ya kujitetea wala kujieleza always mnachukua maamuzi yenu wenyewe na mnapoamua mnakuwa na kashfa juu kuwa bucha gani bana hii nyama kila siku imekonda haina ladha. Kw anini usingeuliza ni kwa nini nyama haina ladha ukasikia na mimi utetezi wangu
 
Mbona na sisi ndivyo tunavyojisikiaga hivyo hivyo?!Basi tuanzeni kutendeana haki....
 
Mbona na sisi ndivyo tunavyojisikiaga hivyo hivyo?!Basi tuanzeni kutendeana haki....

kwani mnashindwa nini kusema kuwa hii nyama ya leo sio tamu au mapishi ya leo hakuna kitu au hukuweka viungo vya kutosha mpaka tuanze kukashifiana hujui kupika wala hujui mapishi au ladha ya nyama mbaya au imekonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…