Mabus Ya CCM yawa Kivutio Barabarani. David Silinde atabasamu njia nzima na kujutia kupoteza muda wake CHADEMA

Wewe huna tofauti na gigy money
 
Ko hizo basi nimaendeleo kwa taifa?
 
Huyo Silinde si ndio ile ID yake inafanya uchawa humu kwa kusaidiana na wewe.

Watu wa akili hizo mtasumbua wasiojitambua, yaani watu hawana maji vijijini nyie mnachukua pesa za walipa kodi kwenda kununua mabus.
 
Huyo Silinde si ndio ile ID yake inafanya uchawa humu kwa kusaidiana na wewe.

Watu wa akili hizo mtasumbua wasiojitambua, yaani watu hawana maji vijijini nyie mnachukua pesa za walipa kodi kwenda kununua mabus.
Maji yapo kila mahali serikali imepeleka na inaendelea kupeleka kwa kusambaza mabomba kila Sehemu kwa kadri mahitaji yanavyoongezeka
 
Wee jamaa wewe!

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…