Mabus Ya CCM yawa Kivutio Barabarani. David Silinde atabasamu njia nzima na kujutia kupoteza muda wake CHADEMA

Mabus Ya CCM yawa Kivutio Barabarani. David Silinde atabasamu njia nzima na kujutia kupoteza muda wake CHADEMA

Pesa ya chama haijawahi kuwa Kodi Yako na chama hakipangiwi matumizi.
Chama kina vyanzo vipi vya mapato kununua hayo mabus wewe kunguni wa mama Abdul?
Nyie wajinga wa huko chama Cha matapeli si.huwa mnakodi chopa?
Mjinga ni aina yako wewe Lumumba buku 7 usiyejua vipaumbele vya nchi na chama kukomba pesa za walipa kodi!
 
Chama kina vyanzo vipi vya mapato kununua hayo mabus wewe kunguni wa mama Abdul?

Mjinga ni aina yako wewe Lumumba buku 7 usiyejua vipaumbele vya nchi na chama kukomba pesa za walipa kodi!
Unajua Ruzuku ya CCM ni shilingi ngapi kwa Mwezi? Unafahamu CCM Ina vitega uchumi vingapi na miradi mingapi hapa Nchini?
 
Mwenzako labda anafurahia kuna kitu amekikalia kinamburudisha hata wewe unaweza kwenda kukikalia uburudishwe na kububujikwa na tabasamu pia natamani kutega mabomu kwenye hayo mabasi yote
 
Chama kina vyanzo vipi vya mapato kununua hayo mabus wewe kunguni wa mama Abdul?

Mjinga ni aina yako wewe Lumumba buku 7 usiyejua vipaumbele vya nchi na chama kukomba pesa za walipa kodi!
Mumejaza furushi la uozo kichwani kwako.

CCM Ina vyanzo vifuatavyo
-Ada za wanachama
-Rushku ya serikali
-Majengo ya biashara ya kupangisha
-Viwanja vya Michezo
-Magorofa ya nyumba za Makazi
-Shule
-Kumbi za mikutano
-Vyombo vya habari
 
Mumejaza furushi la uozo kichwani kwako.

CCM Ina vyanzo vifuatavyo
-Ada za wanachama
Ni kiasi gani?
-Rushku ya serikali
Rushku ni nini?
-Majengo ya biashara ya kupangisha
Yamejengwa na pesa zipi na yapo mangapi?
-Viwanja vya Michezo
Hivi vilijengwa kwa pesa za walipa kodi 1970's na kuendelea pengine hukuwa umezaliwa tukuhadithie
-Magorofa ya nyumba za Makazi
Yamejengwa kutokana na mapato kutoka wapi na yako mangapi?
Zipo ngapi na zimejengwa kwa mapato kutoka wapi?
-Kumbi za mikutano
Ziko ngapi na zimejengwa na mapato kutoka wapi?
-Vyombo vya habari
Magazeti, Radio, n.k vimerithiwa toka chama kimoja TANU hivyo tulipokuwa vijana ukizaliwa basi unakuwa ni mwanaTANU na unapofikisha umri wz kushiriki siasa ungepata kadi ya uanachama wa TANU huko na shughuli nyingine za chama pamoja na kodi za wananchi ndio zilianzisha hivyo vyombo kabla ya CCM kujimilikisha.
 
Ni kiasi gani?

Rushku ni nini?

Yamejengwa na pesa zipi na yapo mangapi?

Hivi vilijengwa kwa pesa za walipa kodi 1970's na kuendelea pengine hukuwa umezaliwa tukuhadithie

Yamejengwa kutokana na mapato kutoka wapi na yako mangapi?

Zipo ngapi na zimejengwa kwa mapato kutoka wapi?

Ziko ngapi na zimejengwa na mapato kutoka wapi?

Magazeti, Radio, n.k vimerithiwa toka chama kimoja TANU hivyo tulipokuwa vijana ukizaliwa basi unakuwa ni mwanaTANU na unapofikisha umri wz kushiriki siasa ungepata kadi ya uanachama wa TANU huko na shughuli nyingine za chama pamoja na kodi za wananchi ndio zilianzisha hivyo vyombo kabla ya CCM kujimilikisha.
😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DE8I4pCNYZ0/?igsh=MWpueXc5NzE3Nmhheg==

My Take
Sina nafasi ya kubeba ujinga wako,nimetoa Elimu na vyanzo kama huelewi nenda Kwa kibaraka wako akakielimishe
 
Ingepatikana namna hayo magari yote yakapiga mzinga hao kumbi kumbi wote tungeenda kuwamwagia mamba pale mto wami.
 
Nani wa kumtoa Sasa pale Tunduma? Yule mjinga asiye na shule mda wote amefura kama kameza chura au? 😁😁

Momba alimuachia dada Condester.
Alimuachia au aliona hawamtaki? subiri uone October sio hapo tu, Tunduma hapo amshukuru Magufuli?
 
Mumejaza furushi la uozo kichwani kwako.

CCM Ina vyanzo vifuatavyo
-Ada za wanachama
-Rushku ya serikali
-Majengo ya biashara ya kupangisha
-Viwanja vya Michezo
-Magorofa ya nyumba za Makazi
-Shule
-Kumbi za mikutano
-Vyombo vya habari
Huyo hata ukimueleza vipi hawezi kukuelewa maana akili yake ni ndogo kama punje ya ulezi
 
Naona mnaumia sana mnapoona Mheshimiwa akiendelea kufanya vizuri kabisa akiwa ndani ya CCM chama kubwa na kiongozi Barani Afrika
Huku Mpigamiti ,Ngongoya Mpoku, Murusagamba, Kiraracha na Ihembe,hatuna dawa, maji na watoto wetu wamerundikana madarasani!
 
Back
Top Bottom