Mabus Ya CCM yawa Kivutio Barabarani. David Silinde atabasamu njia nzima na kujutia kupoteza muda wake CHADEMA

Mabus Ya CCM yawa Kivutio Barabarani. David Silinde atabasamu njia nzima na kujutia kupoteza muda wake CHADEMA

Huyo hata ukimueleza vipi hawezi kukuelewa maana akili yake ni ndogo kama punje ya ulezi
Wewe kunguni usiyejitambua unapelekwa kama bendera hebu msaidie mwenzio kujibu maswali hayo.

Na kwa akili hizo ndio maana hata Mbowe mnayempigia upatu kakimbia mdahalo.
 
Wewe kunguni usiyejitambua unapelekwa kama bendera hebu msaidie mwenzio kujibu maswali hayo.

Na kwa akili hizo ndio maana hata Mbowe mnayempigia upatu kakimbia mdahalo.
Ni kumshushia heshima Mwamba kushiriki mdahalo na watu aina ya lissu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Pesa za DP World hizo .... ingawa watadai ni ruzuku.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona hujabubujikwa na machozi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona wewe hujapanda, au ulikuwa unaendesha? 😀
 
Aya mabasi uchaguzi ukiisha ,mkayaona ccm ,Niiteni mbwa, ayo soon baada ya uchaguzi ayo makaratasi yatabanduliwa, na kuingizwa kwenye makampuni ya mabasi ,au mtashangaa inakuja kampuni mpya ya usafirishaji ,
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Alishakukusimulia aliokotwa wapi na Mbowe ? Kabudi alishasimulia sasa huyu kijana nae asimulie aliokotwa wapi itapendeza zaidi ?
 
Aya mabasi uchaguzi ukiisha ,mkayaona ccm ,Niiteni mbwa, ayo soon baada ya uchaguzi ayo makaratasi yatabanduliwa, na kuingizwa kwenye makampuni ya mabasi ,au mtashangaa inakuja kampuni mpya ya usafirishaji ,
Haina shida itakuwa ni Sehemu ya uwekezaji na miradi ya chama.
 
Serikali za afrika zinashida sana.wananunua mabasi ambayo yatatumia siku chache tu na kutelekezwa Hadi yaoze.Hapo ni kuchezea Kodi zetu.kulikuwa kunahaja gani Sasa ya kujenga sgr Hadi Dodoma?
 
Serikali za afrika zinashida sana.wananunua mabasi ambayo yatatumia siku chache tu na kutelekezwa Hadi yaoze.Hapo ni kuchezea Kodi zetu.kulikuwa kunahaja gani Sasa ya kujenga sgr Hadi Dodoma?
CCM inatumia pesa zake . CCM inaweza kununua hata helkopta ya kuwabeba wajumbe kutoka kila mkoa.
 
CCM inatumia pesa zake . CCM inaweza kununua hata helkopta ya kuwabeba wajumbe kutoka kila mkoa.
Tuletee picha basi kutoka huko Dodoma kwenye mkutano Ili na sisi tububujike machozi ya Furaha....🤣🤣🤣
 
Tuletee picha basi kutoka huko Dodoma kwenye mkutano Ili na sisi tububujike machozi ya Furaha....🤣🤣🤣
IMG-20250118-WA0001.jpg
IMG-20250114-WA0016.jpg
IMG-20250114-WA0014.jpg
 
Siku moja moja uwe unaanzisha na Uzi wa kumsifia na mama yako mzazi.

Yaani mama yako abebe mimba miezi 9 aende leba na ndoo ndogo ya plastiki wewe mwanae kila siku kutwa kucha kumsifia mama wa wengine na watu wengine.
Jitahidi kumsifia hata kidogo mama yako mzazi utapata baraka na uteuzi utaupata.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata yy anajua kama sio Chadema kumuibua asingefika hapo mpka akanunuliwa na kupata pesa ndefu sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukuu wa wilaya naskia unanukia Kwa huyu kada mtiifu wa Chama Cha mapinduz ,, Ndugu Lucas mwashabwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.

Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.

Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.

Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.

Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View: https://www.instagram.com/reel/DE9ZecFCxKZ/?igsh=MW1reGdibHlleDZ4ag==
 
Watanzania waliowengi sana milo mitatu kwa siku ni shida
 
Back
Top Bottom