Na wewe ukitaka kung'ara unaweza tu .kikubwa acha uvivu na kushinda ufipa ukipiga umbeya na Majungu tu kutwa nzima.
..ninao uwezo wa kuishi kwa njia za halali.
..siwezi kamwe kushiriki dhuluma na hila za Ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ukitaka kung'ara unaweza tu .kikubwa acha uvivu na kushinda ufipa ukipiga umbeya na Majungu tu kutwa nzima.
Si alikuwa anatimiza majukumu yake ndugu yangu.au ulitaka asitekeleze majukumu yake ya kufanya ukaguzi kwa sababu tu umemzidi Umri. Au umri ndio ulitaka iwe sababu ya kufumbia kila kitu kilicho kinyume na maelekezo na utaratibu mzima? Katika uongozi hakuna hizo habari za umri katika utekelezaji wa majukumu.With due respect binafsi simpendi Mh. David Silinde. Akiwa Naibu Waziri enzi za Mwamba Magufuli aliwahi kuja ofisi ninayofanyia kazi hapa Jijini Mwanza kwa ziara ya ukaguzi. Alikuwa very bold, very mbinafsi na very anti social. Pamoja na kwamba ni very junior kwangu kiumri na kwenye CCM maana mimi ni wa siku nyingi chamani, nilikuwa nampenda sana, lakini tangu siku ile hata akifa leo nitakunywa Konyagi bila kutoa chozi!
Hunaga akili kabisa dogo.Ninataka nikupe maisha naona unateseka sana kuwasifia sifia watu halafu wanakuona kama kinyesi tu njoo upumzike unateseka sana dada.
Sizani kama una huo uwezo zaidi ya kushinda ukipiga Majungu na umbeya tu..ninao uwezo wa kuishi kwa njia za halali.
..siwezi kamwe kushiriki dhuluma na hila za Ccm.
Njoo dada wahuni wanakufuja tu hata hawafikirii kesho yako,wahuni siyo watu. KaribuHunaga akili kabisa dogo.
Maji yapo kila mahali serikali imepeleka na inaendelea kupeleka kwa kusambaza mabomba kila Sehemu kwa kadri mahitaji yanavyoongezeka
Nani wa kumtoa Sasa pale Tunduma? Yule mjinga asiye na shule mda wote amefura kama kameza chura au? 😁😁Huyo harudi tena, kwao Momba walimkataaa na hawamtaki akakimbilia kugombea Tunduma napo amshukuru Magufuli
Hujanielewa. Very sad!Si alikuwa anatimiza majukumu yake ndugu yangu.au ulitaka asitekeleze majukumu yake ya kufanya ukaguzi kwa sababu tu umemzidi Umri. Au umri ndio ulitaka iwe sababu ya kufumbia kila kitu kilicho kinyume na maelekezo na utaratibu mzima? Katika uongozi hakuna hizo habari za umri katika utekelezaji wa majukumu.
Punguza ujinga,ukitaka kununua chupi ya mkeo Huwa mnaweka kikao Cha familia?Unaweza jiuliza kikao cha kupitisha budget ya kununua haya mabasi kilikaliwa na kina nani? Hii nchi ina ufujaji mkubwa sana wa fedha za umma kwa ajili ya siasa wakati hospitali hazina hata vipimo muhimu
💉💉💉With due respect binafsi simpendi Mh. David Silinde. Akiwa Naibu Waziri enzi za Mwamba Magufuli aliwahi kuja ofisi ninayofanyia kazi hapa Jijini Mwanza kwa ziara ya ukaguzi. Alikuwa very bold, very mbinafsi na very anti social. Pamoja na kwamba ni very junior kwangu kiumri na kwenye CCM maana mimi ni wa siku nyingi chamani, nilikuwa nampenda sana, lakini tangu siku ile hata akifa leo nitakunywa Konyagi bila kutoa chozi!
Pesa ya chama haijawahi kuwa Kodi Yako na chama hakipangiwi matumizi.Huyo Silinde si ndio ile ID yake inafanya uchawa humu kwa kusaidiana na wewe.
Watu wa akili hizo mtasumbua wasiojitambua, yaani watu hawana maji vijijini nyie mnachukua pesa za walipa kodi kwenda kununua mabus.
Na Lissu akiwa Mwenyekiti watasafiri kwa punda tu huku chopa wakiziona tu kwa macho! 🤣🤣🤣🤣Nyie si Huwa mnakodi chopa Kwa mabilioni ,mlikatazwa kununua Mabasi? Saizi kinawauma si ndio? 😁😁
Nani ndugu yako hapa we chawa?Ndugu zangu Watanzania,
Wamshukiru Mbowe waliona hata helikopta Sasa wanataka kuingia wapiga Domo watupu 😂😂Na Lissu akiwa Mwenyekiti watasafiri kwa punda tu huku chopa wakiziona tu kwa macho! 🤣🤣🤣🤣
Mkuu, huyo Ndugu kama hangeingia Chadema, nakwapia hangepata nafasi hiyo. Aidha tambua kuwa hadi MAFANIKIO jua kuwa umepita katika njia mbalimbali.Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza kusema kuwa Nchi nzima ni kijani kwa sasa,kila eneo ni kijani na njano tu.kila ukifungua vyombo vya habari unaona kijani na njano ndio vimetawala na kutamalaki,ukiingia mitandaoni ni kijani na njano ndio vimeshika kasi na ukipita mitaani ni mijadala ya CCM ndio imeteke na kutawala maongezi ya wananchi wa rika na makundi mbalimbali.
Ukisimama na kuingia barabarani ni kijani ndio imepamba barabarani kwa magari mazuri na tulivu sana ya CCM. ambayo mtu ukiwa ndani ya magari hayo ni kama umepanda AirForce One ndege inayotumiwa na Rais wa Marekani.
Mheshimiwa David Silinde Mbunge wa Tunduma ameonekana kuwa mwenye tabasamu na furaha kubwa sana katika uso na paji la uso wake .pale alipokuwa ameingia na kukalia siti za gari hizo zenye ubora wa hali ya juu sana.
Akiwa na wajumbe wenzake kutoka mkoani Songwe imeonyesha ni kama moyoni alikuwa anajutia ni kwanini alipoteza Muda wake kukaa CHADEMA.Maana tangia ameingia CCM amebadilika sana na kuonekana sasa ni kiongozi.tofauti na alivyo kuwa uhamishoni kule CHADEMA.
Kwa hakika CCM ni chama kiongozi Barani Afrika, CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu, CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM na kamwe huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili na Itaendelea kuongoza Taifa hili mpaka Mwisho wa Dunia.View attachment 3204727
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ahahahahaha! Weee waache tu! Mwana kautaka!Wamshukiru Mbowe waliona hata helikopta Sasa wanataka kuingia wapiga Domo watupu 😂😂
Tunduma kamwe haiwezi kuongozwa na darasa la Nne.Mwakajoka sijui kuna vitu anatumia maana mimi huwa simuelewi yule jamaa maana utafikiri amejaa msongo wa mawazo muda wote na mihasira tu utafikiri mgonjwaNani wa kumtoa Sasa pale Tunduma? Yule mjinga asiye na shule mda wote amefura kama kameza chura au? 😁😁
Momba alimuachia dada Condester.
Mungu akikupatia kibali na kukuinua kiuongozi unaweza kuwa kiongozi na kuonekana bila kujalisha eneo ulilopo.Mkuu, huyo Ndugu kama hangeingia Chadema, nakwapia hangepata nafasi hiyo. Aidha tambua kuwa hadi MAFANIKIO jua kuwa umepita katika njia mbalimbali.