Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Watapata maji hata kwa kuombewaAlikuwa Halima Mdee now we have Gwajima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapata maji hata kwa kuombewaAlikuwa Halima Mdee now we have Gwajima
Sahihi kabisaLabda iongozwe na Bagonza, Mwamakula au Ponda hawa wengine ni wajasiriamali wa dini na siyo viongozi wa dini
Ok asante kwa ufafanuziKila eneo lina baraka ya asili, hamna laana ya kitu kwa asili
Lwajabe Mungu ampe pumziko la haki..Kama nakuelewa hivi ulichokusudia ila acha nivunge tu.
Pumzika salama Lwabaje
Pole Dr fulani
Kabisa maana looh😭😭😭Lwajabe Mungu ampe pumziko la haki..
Imeshawahi kuripotiwa kwenye mamlaka husika? na je wanasemaje..?Mkoa wa Dsm mfano Mabwepande kuna sehemu bomba zimepita miaka miwili sasa maji hayajaruhusiwa, huku sio kupoteza tu mapato kwa msambazaji ambaye ni Serikali lakini pia haki ya kupata maji kwa mwananchi imedhulumiwa.
Nadhani Mabwepande kuna laana ya asili
🤣Nadhani Mabwepande kuna laana ya asili
Pamoja kamandaSahihi kabisa
Alijengewa kibanda kule?
We have no mercy na huyo mpuuzi wenu aliyesababisha vifo vingi vya wagonjwa hosiptalini. akaifilie mbali huko.Kama nakuelewa hivi ulichokusudia ila acha nivunge tu.
Pumzika salama Lwabaje
Pole Dr fulani
Tangu uhuru moyo wa nchi(Dsm yote) haijafikiwa na majiNi aibu Dawasa/Manispaa ya kinondoni maeneo yake kukosa maji tangu Uhuru hasa Madale,Mbopo na Mabwepande kwa ujumla wameweka watu wa kutandaza mabomba lakini naona spidi ni ndogo sana hii itafika hadi 2023 wananchi hawana maji.!