macerebrity wanaoshi kwa mama/wazazi

macerebrity wanaoshi kwa mama/wazazi

Ngalikihinja

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2009
Posts
33,643
Reaction score
36,090
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama? TID, unaishi hananasifu kwa mama hivi kweli unachangia chakula na mama? Yaani mama akufungulie mlango ukitoka kwenye show? Msechu unaishi kwa mama mdogo? Mnanishangaza maceleb wetu...
 
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama? TID, unaishi hananasifu kwa mama hivi kweli unachangia chakula na mama? Yaani mama akufungulie mlango ukitoka kwenye show? Msechu unaishi kwa mama mdogo? Mnanishangaza maceleb wetu...

Sasa mkuu ulitaka wakaishi kwa nani? Shetani?
 
Kwani kuishi nyumbani ndo nn? Mbona chid anaishi ilala kwa mama\bibi nae mtoto wa mama??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama? TID, unaishi hananasifu kwa mama hivi kweli unachangia chakula na mama? Yaani mama akufungulie mlango ukitoka kwenye show? Msechu unaishi kwa mama mdogo? Mnanishangaza maceleb wetu...
Lady gaga ,kanye west ( before professor mama yake hajafa) .je labda wao ndio wanatunza wazazi wao
 
mna uhakika gani kama wanachangia ugali na mama zao??????

What if wao ndo wanawahudu.ia wazazi wao?????

Kwanza hela ya kupanga si heri anunue kiwanja????
 
hata ray na ofisi kaweka home, ila yeye amekarabati nyuma pale sinza white inn na ile bar na gest ni yao. Nimeambiwa sijafika huko kitambo.
 
p funk majani mama yake kamkataza kuhama, anamng'ang'ania waishi wote... sasa afanyeje?
 
Siamini mtazamo huu! Uwiii!

ndo uuamini sasa......

Mambo ya ndani ya familia hakuna ajuae isipokuwa alovaa hicho kiatu...........

Kwanza hawa wasanii wana kipato gani?
Hizo milioni 5-6 za kuoanga nyumba mbagala si bora wakanunue miguu 20 kwa 20 vikindu wapachuke tofali waishi humo?????
Ukizingatia usupastaz bongi ni wa msimu? Muda wako ukipita tu umeumia....

La sivyo kesho na keshokutwa wakija kuomba msaada kwenye tv msiwanyanyapae...
 
Kama hawajaoa au kuolewa kwa nini wasiishi na wazazi wao na muda gani atapata baraka za wazee na family bond.

Miaka yote hajspata hadi sasa? Tid haji jela kapelekwa anataka bsraka gani tena?
 
Hakuna ubaya hata chembe wa mtu kuishi na mama yake.

Wengine mama zao wagonjwa, wa akili au kiwili wili hawawezi kukaa mbali nao ili kuwahudumia

Wengine hawamiliki kipato cha kuhudumia nyumba mbili-yake na ya mama yake-huku akijipanga kimaisha kama kujenga au kuwekeza kwenye miradi mengine

MIpango ni kuchagua, binafsi sijaona ubaya wowote
 
Hakuna ubaya hata chembe wa mtu kuishi na mama yake.

Wengine mama zao wagonjwa, wa akili au kiwili wili hawawezi kukaa mbali nao ili kuwahudumia

Wengine hawamiliki kipato cha kuhudumia nyumba mbili-yake na ya mama yake-huku akijipanga kimaisha kama kujenga au kuwekeza kwenye miradi mengine

MIpango ni kuchagua, binafsi sijaona ubaya wowote
Hivi, unafahamu tofauti ya kuishi na mama na kuishi kwa mama? Mnaosema pengine mama zao wana vifafa ni namna ya kujitetea. Kama ni kweli wana vifafa hiyo ni kesi tofauti. Kama mama yako unaishi naye kwako hiyo ni sahihi.... Maana umemtoa huko ambako angekuwa anaishi na unaishi naye wewe. Sasa wewe unaishi kwake na si ajabu anakununulia hadi pafyumu na mavazi ya kufanyia show/maigizo halafu useme ni sawa.... NO SITAKUBALIANA NA HILO...
 
Back
Top Bottom