Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dhidi ya Singida Big Stars

Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dhidi ya Singida Big Stars

Kwaiyo timu yako kwa sasa ishakuwa na ubora sio,, Azam uliifunga kwa magoli ya aina Gani,,kaifunge Tena sasa hivi tuone kama unao ubavu,,
Halafu ile simba iliyoifunga azam ilikuwa bado haijajipata kama simba hii. Azam hawajawahi kutusumbua sisi ni hapa kati kati tu tulikuwa hatuna timu nzuri wakatupumzikia
 
Halafu ile simba iliyoifunga azam ilikuwa bado haijajipata kama simba hii. Azam hawajawahi kutusumbua sisi ni hapa kati kati tu tulikuwa hatuna timu nzuri wakatupumzikia
Kwani Azam na yeye si alikuwa na kocha mpya na ilikuwa ndio mechi yake ya kwanza, ukisema Simba ilikuwa aijajipata ni uongo mkubwa labda Azam ndio walikuwa awajajipata na kocha mpya!
 
Yanga alipocheza na Simba ilikuwaje round ya kwanza tupe matokeo, na Azam ulimfunga magoli ya aina Gani, kama unayo timu kamfunge Tena Azam round ya pili kama unao ubavu, kwa yanga ata siongei kwakuwa jibu unalo!
simba kamfunga azam yanga kafungwa na azam yanga na aende tena kumfunga azam ila simba kumfunga azam ni kama kulala tu!
 
Hamza ana msukumiza Metacha , Ngoma anafunga goli.
Makosa ya kibinadamu yanaendelea.
Somea urefa uchezeshe wewe.Kila baada ya mechi unalalama tu.Goli la Kibu ni goli halali pia hutaki nunua kamba kwa mangi ujitundike nitalipa.Hata kama una mimba macho hayaoni?
 
simba kamfunga azam yanga kafungwa na azam yanga na aende tena kumfunga azam ila simba kumfunga azam ni kama kulala tu!
Basi subilia mkutane Tena tuone kama utatoboa Mpira ni zaidi ya unachokiona wewe,,kiufupi Azam kaimarika kwa sasa tofauti na wakati unamfunga ukisaidiwa na refa!
 
Kwaiyo mechi ya mwisho ulifungwa 5-1? Timu iliyogongwa msimu huu si hii hii mpya au Kuna nyingine unayo mfukoni mwako? Timu yako bado sana kuufikia ubora wa yanga usijifiche kwenye kichaka cha kuongoza ligi kwa maana ata singida alishaongoza ligi na Azam na majibu utayapata kama unayo timu kweli ama laah baada ya kukutana na yanga na azam kwakuwa ubishi ni jadi yako na ni kawaida ya waha wa kigoma!
Azam nimeshampiga, utopolo walibebwa, najua hujui mpira ila unaweza kuangalia Kipenga cha Mwisho Azam Tv juu ya ile mechi ya dabi, faulo iliyozaa goli ni batili kwa sababu Musonda aliufuata mpira wa kimo cha mguu uliokuwa kwenye himaya ya Okejepha, kwa kuwa hujui mpira na sheria zake ndio unaweza kuwabishia watu kama Othman Kazi na wachambuzi wengine,Unacheza na Dodoma na kuagiza wachezaji wao wa kikosi cha kwanza watano wasicheze unawafunga magoli ya mchongo unafurahisha nafsi yako. Simba hadi sasa inaongoza kwa magoli, points, pasi na imefungwa magoli machache kuliko timu yoyote, ni chizi tu atabishana na huu ukweli.Kama unabisha njoo na takwimu kuonesha msimu huu utopolo ni bora kuliko Simba, ukinipinga kwa takwimu nawaomba mods wanipige ban ya mwezi
 
Azam nimeshampiga, utopolo walibebwa, najua hujui mpira ila unaweza kuangalia Kipenga cha Mwisho Azam Tv juu ya ile mechi ya dabi, faulo iliyozaa goli ni batili kwa sababu Musonda aliufuata mpira wa kimo cha mguu uliokuwa kwenye himaya ya Okejepha, kwa kuwa hujui mpira na sheria zake ndio unaweza kuwabishia watu kama Othman Kazi na wachambuzi wengine,Unacheza na Dodoma na kuagiza wachezaji wao wa kikosi cha kwanza watano wasicheze unawafunga magoli ya mchongo unafurahisha nafsi yako. Simba hadi sasa inaongoza kwa magoli, points, pasi na imefungwa magoli machache kuliko timu yoyote, ni chizi tu atabishana na huu ukweli.Kama unabisha njoo na takwimu kuonesha msimu huu utopolo ni bora kuliko Simba, ukinipinga kwa takwimu nawaomba mods wanipige ban ya mwezi
🚮🚮🚮 Ngoja niachane na wewe ubishi ni jadi yako na unaonekana umbumbumbu umekujaa,,nimeona IQ yako ni ndogo ulivyosema yanga waliagiza wachezaji 5 wasicheze, nilidhani nabishana na mtu mwenye akili timamu kumbe ni wale wale wakina kisugu!
 
1. Leo tumeshuhudia mechi nyingine tafu kwa Simba, ukubwa wa Simba umeamua mechi.

2. Singida waliingiia na maneno ya nje ya uwanja kuwa marefa wako upande wa Simba, hii iliwatoa mchezoni mapema.

3. Huenda Jean Charles Ahoua ameanza kuizoea ligi, anacheza kikubwa mno ( nilikua nikiuponda uchezaji wake wa nyuma).

4. Kibu Denis ni msaada mkubwa mno kwa Simba, anashambulia na kukaba.

5. Kumtoa Mohamed Hussein kuliifanya Simba icheze defensive game badala ya offensive, Fadlu asingeepuka lawama kama Singida wangepata goli maana ile sub iliwakaribisha Singida langoni kwa Simba.

6. Metacha Mnata ni moja kati ya magolikipa bora wazawa, sielewi kwanini Yanga walimuacha.

7. Mechi ya leo imedefine Simba inataka nini msimu huu, kuna uwezekano Simba ikatwaa ubingwa wa NBC.

Simba nguvu moja.
Yote uliyoandika hapo hayana maana yoyote isipokuwa hilo namba 6 ndilo la kweli kabisa. Mwaka juzi Metacha aliiokoa Yanga kule Lubumbashi dhidi ya TP Mazembe. Nadhani (sina uhakika) kuwa alikuwa amechukuliwa kwa mkopo, na muda wa mkopo wake ulipokwisha ikabidi arudi Singida. Ila kweli Metacha Mnata na Aishi Manula ni magolokipa wazuri sana
 
🚮🚮🚮 Ngoja niachane na wewe ubishi ni jadi yako na unaonekana umbumbumbu umekujaa,,nimeona IQ yako ni ndogo ulivyosema yanga waliagiza wachezaji 5 wasicheze, nilidhani nabishana na mtu mwenye akili timamu kumbe ni wale wale wakina kisugu!
Umeshindwa kuja na takwimu,hata hivyo nakusamehe bado ni mtoto, joined 2024,bado hujui hata takwimu ni nini,ungekuwa mkongwe ungeelewa kuwa wachezaji watano wa kikosi cha kwanza cha Dodoma walikuwa wazima tu akiwemo kipa, kuwaacha ni dalili ya maagizo hasa kwa vile mlezi wao ndiye mlezi pia wa Yanga. Kipa aliyetoa assisst kwa Mzize amejitetea kuwa hakuwa na match fitness kwa vile hajacheza zaidi ya mechi 13 zilizopita,ungekuwa na akili japo kidogo ungetambua mazingira ya mipango. Iwapo Yanga waliwakosa Baca,Boca na Yao walichezea 3-1 kwa Tabora, vipi Dodoma wamewaacha kwa makusudi nyota wao watano ambao si majeruhi ulitegemea walete upinzani wowote kwa utopolo? halafu mmewafung magoli ya mchongo kama ile penati batili na goli la offdide la Dube pia ile assisst ta kipa asiye na game fitness halafu mnafurahia timu yenu imecheza vizuri. Msikilize kipa wa Dodoma hapa akijitetea
 

Attachments

  • Ahsante sana Bwana Kawambwa_ kama ulikua akilini mwangu kwenda kumuhoji huyu nyanda wa ball ae...mp4
    3.2 MB
Kocha wa Simba ajue hii ni ligi, bingwa anaweza kupatikana kwa wingi wa magoli au tofauti ya magoli..
Aache kuridhika akipata goli moja.
 
Back
Top Bottom