kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
1. Inawezekana kabisa Yanga imejipata, wachezaji wanacheza kwa nguvu na kujituma kama ilivyokua mwanzo, gari limewaka.
2. Kibwana Shomari ameendelea kuproove kwanini mashabiki walipiga kelele apewe nafasi ya kucheza. Aziz k amerudi.
3. Clement mzize ni winga hatari sana kwa sasa, ana kasi, nguvu na uwezo wa kufunga ni kipaji tu ndio amekosa ila vingine vyote anavyo.
4. Dodoma jiji wameiga kila kitu kutoka kwa Kagera walipocheza na Simba, huwezi kupishana na wachezaji wenye quality halafu wasikuadhibu.
5. Naiona Yanga ikitinga robo fainali club bingwa kama itapata ushindi dhidi ya Tp mazembe tar 4.
6. Makosa madogo ya refarii kuhusu penati hayaondoi ukweli kwamba Yanga wamecheza vizuri.
Hongereni watani
Karibuni kwenye ubaya ubwela
2. Kibwana Shomari ameendelea kuproove kwanini mashabiki walipiga kelele apewe nafasi ya kucheza. Aziz k amerudi.
3. Clement mzize ni winga hatari sana kwa sasa, ana kasi, nguvu na uwezo wa kufunga ni kipaji tu ndio amekosa ila vingine vyote anavyo.
4. Dodoma jiji wameiga kila kitu kutoka kwa Kagera walipocheza na Simba, huwezi kupishana na wachezaji wenye quality halafu wasikuadhibu.
5. Naiona Yanga ikitinga robo fainali club bingwa kama itapata ushindi dhidi ya Tp mazembe tar 4.
6. Makosa madogo ya refarii kuhusu penati hayaondoi ukweli kwamba Yanga wamecheza vizuri.
Hongereni watani
Karibuni kwenye ubaya ubwela