Machache yaliyoonekana Yanga ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Dodoma jiji

Machache yaliyoonekana Yanga ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Dodoma jiji

Kama yanga wataibuka na ushindi dhidi ya Tp mazembe watarudisha ali na morali iliyokua imepotea kwahiyo itakua rahisi kwa wao kuforce matokeo watakapokutana na MC Algers, hapo watafikisha point 7 kumbuka mechi zote zitachezwa Tanzania baada ya hapo watawafata Al Hilal ambao sina shaka watakua wamefuzu tayali kwa hiyo hakutakua na ugumu wa yanga kuforce matokeo.
Baada ya mechi ya Yanga vs Tp Mazembe inafuata mechi ya Al Hilal. Mc Alger ni mechi ya mwisho
 
Sasa hapo tukiwapa credit tunawapoteza wakutana na team isiyoendekeza makandokando hali inakua ni tete haya maigizo sio mazuri kama tunataka soka likue
Nimeona wakipongezana mwishoni

Ila tusiache kuwapa credit Yanga, wamelitumia vyema kila nafasi waliyoipata
 
1. Inawezekana kabisa Yanga imejipata, wachezaji wanacheza kwa nguvu na kujituma kama ilivyokua mwanzo, gari limewaka.

2. Kibwana Shomari ameendelea kuproove kwanini mashabiki walipiga kelele apewe nafasi ya kucheza. Aziz k amerudi.

3. Clement mzize ni winga hatari sana kwa sasa, ana kasi, nguvu na uwezo wa kufunga ni kipaji tu ndio amekosa ila vingine vyote anavyo.

4. Dodoma jiji wameiga kila kitu kutoka kwa Kagera walipocheza na Simba, huwezi kupishana na wachezaji wenye quality halafu wasikuadhibu.

5. Naiona Yanga ikitinga robo fainali club bingwa kama itapata ushindi dhidi ya Tp mazembe tar 4.

6. Makosa madogo ya refarii kuhusu penati hayaondoi ukweli kwamba Yanga wamecheza vizuri.

Hongereni watani

Karibuni kwenye ubaya ubwela
"3. Clement mzize ni winga hatari sana kwa sasa, ana kasi, nguvu na uwezo wa kufunga ni kipaji tu ndio amekosa ila vingine vyote anavyo."

KIPAJI GANI AMBACHO MZIZE KAKOSA??
 
Yanga havuki makundi klabu bingwa. Wale kunguru wa Lubumbashi wana mambio sana wanawakimbiza sana Wazee wetu mpaka Utepe wa miguuni unakata.
 
Kama yanga wataibuka na ushindi dhidi ya Tp mazembe watarudisha ali na morali iliyokua imepotea kwahiyo itakua rahisi kwa wao kuforce matokeo watakapokutana na MC Algers, hapo watafikisha point 7 kumbuka mechi zote zitachezwa Tanzania baada ya hapo watawafata Al Hilal ambao sina shaka watakua wamefuzu tayali kwa hiyo hakutakua na ugumu wa yanga kuforce matokeo.
Huyu jamaa na ndoto zake za alinacha ndo kama zile hesabu za kuinvest kwa kulima matikiti 🤣
 
Haya ni maigizo tu mkuu sema soka la bongo usichulkulie serious sana hawa Dodoma juzi wamecheza na simba wakapewa ahadi nzito ili waifunge simba bahati mbaya wakafungwa wakalia hadi wakatoa makamasi ila leo unaona kabsa ni maigizo mwanzo mwisho
Naam, ikishaanza hii milio najua timu imerejea kwenye ubora.

Hapo ukiongezea na Sindano, Gsm anaharibu ligi, uchawi ndio kabisa.
 
We kolo mleta mada niambie MAZEMBE NI timu ngumu au ishajifia tujue mapema.
 
Kitu nimependa ni Yanga kukaba kwa pamoja na kwa nguvu hadi wachukue mpira wao, hiyo ndo Yanga ninayoipenda
 
Back
Top Bottom