Machache yaliyoonekana Yanga ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Fountain Gate

Machache yaliyoonekana Yanga ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Fountain Gate

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
1. Yanga imecheza vizuri mno, hii ni salamu tosha kuelekea mechi yao na Tp mazembe.

2. Nadhani fountain gate ndio timu yenye safu mbovu kabisa ya ulinzi, wamechagua kupishana na Yanga wakaadhibiwa.

3. Pacome zouzou amestahili tuzo ya mchezaji bora wa mchezo, ule uwezo wake uliopotea mechi za nyuma umerudi kwa kasi.

4. Clement mzize, Kibwana shomari, Dickson job, Mudathir Yahya, na Ibrahim Bacca ni watanzania ambao tunatakiwa kujivunia kuwa nao katika soka kwa sasa.

5. Yanga inatakiwa kumlinda iwezavyo kiungo khalid Aucho ili asiumie tena, huyu ndie injini ya timu. Saed Ramovic anatakiwa kuogopwa mno, kamzidi hata Gamondi.

6. Kocha wa Fountain gate aiangalie upya safu yake ya ulinzi pamoja na nafasi ya kiungo mkabaji.

7. Kwa moto huu Mazembe anakufa nyingi taifa

Hongereni watani
 
Watakuwa na hofu, ya kupimwa kwa kushitukizwa. hivyo utashanga waliocheza leo. sio wale watakaocheza na Mazembe.
 
Nilivyoona tu Beki wa Fountain Gate anausindikiza mpira uingie golini mwao nikajua tu bahasha zinafanya kazi nje ya uwanja.

Tukutane huku Club Bingwa ili tuuone uhalisia wa timu zetu.
 
1. Yanga imecheza vizuri mno, hii ni salamu tosha kuelekea mechi yao na Tp mazembe.

2. Nadhani fountain gate ndio timu yenye safu mbovu kabisa ya ulinzi, wamechagua kupishana na Yanga wakaadhibiwa.

3. Pacome zouzou amestahili tuzo ya mchezaji bora wa mchezo, ule uwezo wake uliopotea mechi za nyuma umerudi kwa kasi.

4. Clement mzize, Kibwana shomari, Dickson job, Mudathir Yahya, na Ibrahim Bacca ni watanzania ambao tunatakiwa kujivunia kuwa nao katika soka kwa sasa.

5. Yanga inatakiwa kumlinda iwezavyo kiungo khalid Aucho ili asiumie tena, huyu ndie injini ya timu. Saed Ramovic anatakiwa kuogopwa mno, kamzidi hata Gamondi.

6. Kocha wa Fountain gate aiangalie upya safu yake ya ulinzi pamoja na nafasi ya kiungo mkabaji.

7. Kwa moto huu Mazembe anakufa nyingi taifa

Hongereni watani
Kocha yupi unamtaja? Kama wa fountain gate keshatimuliwa tangu jana na benchi lake lote.
 
1. Yanga imecheza vizuri mno, hii ni salamu tosha kuelekea mechi yao na Tp mazembe.

2. Nadhani fountain gate ndio timu yenye safu mbovu kabisa ya ulinzi, wamechagua kupishana na Yanga wakaadhibiwa.

3. Pacome zouzou amestahili tuzo ya mchezaji bora wa mchezo, ule uwezo wake uliopotea mechi za nyuma umerudi kwa kasi.

4. Clement mzize, Kibwana shomari, Dickson job, Mudathir Yahya, na Ibrahim Bacca ni watanzania ambao tunatakiwa kujivunia kuwa nao katika soka kwa sasa.

5. Yanga inatakiwa kumlinda iwezavyo kiungo khalid Aucho ili asiumie tena, huyu ndie injini ya timu. Saed Ramovic anatakiwa kuogopwa mno, kamzidi hata Gamondi.

6. Kocha wa Fountain gate aiangalie upya safu yake ya ulinzi pamoja na nafasi ya kiungo mkabaji.

7. Kwa moto huu Mazembe anakufa nyingi taifa

Hongereni watani
Nakubaliana na wewe kila kitu
 
Nilivyoona tu Beki wa Fountain Gate anausindikiza mpira uingie golini mwao nikajua tu bahasha zinafanya kazi nje ya uwanja.

Tukutane huku Club Bingwa ili tuuone uhalisia wa timu zetu.
Bahasha Zina nguvu sana kama Mo na mangungu wamekuwa wakipewa na kutandikwa mechi 4 mfululizo fountain gate ni nani azikatae!
 
Yanga kuelekea game yao na TP Mazembe,Fountain hakijakua kipimo kizuri kwao,wasije jisahau kuwa wapo vzr.
 
Back
Top Bottom