Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua ujui!!Kwani Shujaa Magufuli hakutufikisha Uchumi wa Kati?
Asali siyo Kimpumu!Utajua ujui!!
Unajua Uhuru wa Tanganyika ulivyopatikana?Acha utani,ujue hii kitu ni serious,inauma sana. Sasa inabidi tufanye mambo tofauti. Tuige Kenya.
Nawashangaa san wazee kama nyie 🤣🤣mnapiga porojo humu lkn nyie wazalendo uchwara mlipiga kelele san mara rostam lifisadi cjui nn lkn nyie mliojinasibu wazalendo uchwara akawa jamaa yenu. Pesa hii!!!Asali siyo Kimpumu!
Lowassa akagombea Urais wa JMT kwa tiketi ya ChademaNawashangaa san wazee kama nyie 🤣🤣mnapiga porojo humu lkn nyie wazalendo uchwara mlipiga kelele san mara rostam lifisadi cjui nn lkn nyie mliojinasibu wazalendo uchwara akawa jamaa yenu. Pesa hii!!!
Kwamba hakustahili au hakua raia halali? Wengine walikua wanalazimishwa kwa nguv na mateso ili waunge mkono juhudi!!!Lowassa akagombea Urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema
Upinzani wa nchi hii ni uchwara!
Mkenya hayupo hapo aisee.Jamani kama ni kulia leo nimelia, enough is enough, yaani miaka 60 plus ya uhuru bado tupo kwenye ‘Least developed countries?’ Jamani watanzania tuamke, wenzetu Kenya hawapo kwenye hii list
View attachment 2537853
View attachment 2537856
View attachment 2537857
Una shangaa nini wakati hatuna akili hata punje, ukichanganya na hii ngozi nyeusi ndio balaa tupu.