Machi 5-9 ni Qatar LDC's summit, Mkutano wa nchi 46 maskini Tanzania ikiwemo

Machi 5-9 ni Qatar LDC's summit, Mkutano wa nchi 46 maskini Tanzania ikiwemo

Wakenya wanaheshimiwa, mpaka balozi wa Marekani amesema hawezi kuingilia maoni ya wakenya kuhusu kupinga ushoga, na amesema msimamo wao hauwezi kuwazuia kupewa mikopo na misaada, lakini sisi tupo tupo tu, hatufungamani na upande wowote.

Bila CCM kuondoka madarakani, kamwe hatuwezi kuondoka kwenye hiyo list.

Huwezi kuwa CCM na ukawa na akili timamu:

FpojyuNWIAAJNp3.jpeg


Angalizo: hayo si maneno yangu.
 
Tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, Bandari, ziwa - victoria, Tanganyika, Nyasa,
Mipaka mikubwa karibu 6
Mbuga za wanyama, mikumi, serengeti, ruaha, Gombe,
Makaa ya mawe, gesi ya lindi na mtwara,
Rasilimali za chuma liganga huko
Ardhi yenye rutba nzuri ya kuzalisha kila kitu nchi nzima,
Mazao kama korosho, kahawa
Hayo ni Baadhi ya mambo ambayo serikali imeshindwa kusimamia na tukatoka kwenye umaskini
Tatizo ni ujinga mwiingi! Leo tukahamishiwa marekani na wamarekani wapewe Tz na Congo tuu baada yamuda tutawalilia njaa mbaya
 
Tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, Bandari, ziwa - victoria, Tanganyika, Nyasa,
Mipaka mikubwa karibu 6
Mbuga za wanyama, mikumi, serengeti, ruaha, Gombe,
Makaa ya mawe, gesi ya lindi na mtwara,
Rasilimali za chuma liganga huko
Ardhi yenye rutba nzuri ya kuzalisha kila kitu nchi nzima,
Mazao kama korosho, kahawa
Hayo ni Baadhi ya mambo ambayo serikali imeshindwa kusimamia na tukatoka kwenye umaskini
Waliopewa dhamana ya kuongoza wameshindwa majukumu yao..
 
"...... Hapa hatuna akili kabisa...." - naibu wazio wa afya, Dr Godwin Mollel
 
Tanzania kuwepo hapo, Ccm ndio wakulaumiwa

JokaKuu Kalamu brazaj
Unajuwa mkuu 'Proved', mtu usipokuwa mwangalifu unaweza kubeba bonge la gonjwa toka kwenye hii mitandao.

Ndani yake kuna ujinga mwingi ukiwa mwingine ni upumbavu kabisa.

Ngoja nijibu kirahisi tu kwa mstari mmoja:

Kenya hapo anaizidi nini Tanzania kwa kutokuwepo kwenye hiyo orodha?

Ila nikubaliane na mleta mada kwamba CCM ndiyo inayotusababishia fedheha hii katika miaka yote hii. Tanzania haistahiri hata kidogo kuwemo kwenye orodha hiyo.
 
Kwani Shujaa Magufuli hakutufikisha Uchumi wa Kati?
Alitufikisha huko, baada ya yeye kufariki yakaja makafir yanayokula bila kunawa na kuturudisha huko tena. Sasa hivi tumekwama huko maana maana ufisadi umerudi kwa kasi kuibwa kiasi hela karibu zote za miradi zinaenda kwenye matumbo ya ya watu. Nninayakumbuka maneno ya ya Nyerere akilinganisha ufisadi wa Asia na Afrika. Nyerere alisema hivi: Asia contractor anahonga kupata mradi wa kujenga barabara, akishaupata anajenga barabara. Afrika contractor anahonga kupata mradi wa kujenga barabara, akishaupata anahonga tena na kupata pesa ya mradi bila kujenga barabara. Tumerudi enzi za awamu ya nne ambapo miradi mingi haikumalizika au ilimalizika chini ya kiwango, maana kila mtu alikuwa busy kwenye kuiba. Awamu ya sita imekuja na kubariki ufisadi na angalizo kali. Kila mtumishi ameonywa kula kwa kufuatana na urefu wa kamba yake. Maana yake kama wewe kila mtumishi ufisadi wake ulingane na cheo chake. Mkuu wa wilaya ajue kamba yake ni fupi kuliko ya mkuu wa mkoa na mawaziri kamba zao ni fupi kuliko za waziri mkuu viyo hivyo waziri mkuu/makamu wa raisi na raisi. Ole wako ujaribu kula zaidi ya uefu wa kamba yako.

Miradi iliyokuwa iishe siku nyingi, sasa hivi imeombewa na kukopewa pesa zaidi na wakuu wako busy kwenye kugawana. Alafu mnategemea tutoke kwenye kundi la nchi maskini.
 
Msichukie hivyo rangi ya ngozi yenu
Kwa sababu imejaa ujinga ina fika kipindi maumivu yake haya zuiliki inabidi maumivu yako uyatoe tu hata kama yana kera.

Sisi watu weusi kuna shida kubwa ipo ndani yetu mbaya zaidi hatutaki kuchimba kihistoria sababu ni nini sisi kuwa wapumbavu hivi hapa duniani kushinda race za kizungu na mashariki mwa Asia ya mbali.

Kwa nini sisi tu ?
 
Nashangaa pale mwana CCM anaposhangaa kwamba tupo kwenye list ya LDCs badala ya kujishangaa yeye kuendelea kuisupport CCM. Haya ni lini tangu tupate uhuru tuliwahi kutoka nje ya group la LDCs. Tatizo tulipenda kusikiliza propaganda na si ukweli
 
Nashangaa pale mwana CCM anaposhangaa kwamba tupo kwenye list ya LDCs badala ya kujishangaa yeye kuendelea kuisupport CCM. Haya ni lini tangu tupate uhuru tuliwahi kutoka nje ya group la LDCs. Tatizo tulipenda kusikiliza propaganda na si ukweli
Wewe,mimi sina chama.
 
Back
Top Bottom