Machi 5-9 ni Qatar LDC's summit, Mkutano wa nchi 46 maskini Tanzania ikiwemo

Machi 5-9 ni Qatar LDC's summit, Mkutano wa nchi 46 maskini Tanzania ikiwemo

Awamu ya kulamba asali hii baba,ukimnyanyua mwenzako,nawe utanyanyuka 😅😅😅😅haya tunyanyuane sasa😅🏃
Furaha yao nikuendesha maV8 ya million 500.

Kama chakula tu, kina tupiga chenga huo uchumi ndio tutauweza?🤦

Acha tuendelee kukamuliwa maziwa tu, kwa maana viongozi wetu hawajitambui.

So sad kwa kweli🙍
 
Wabangladesh, wafilipino na wanepal ndio competitors wetu wa kazi na vibarua huku nje.
 
Nilichokiona hapo.

1.Hakuna Nchi ya Mzungu hata moja kwenye hiyo list.
 
2 Nchi nyingi kwenye hiyo orodha wanapambana na vita, majanga ya asili. Sisi Tanzania hapa hatuna Vita, wala Majanga ya Asili, tatizo ni CCM.
Hili ndilo Janga letu.
 
Unaposema watanzania tuamke una maana gani.?
 
Acha utani,ujue hii kitu ni serious,inauma sana. Sasa inabidi tufanye mambo tofauti. Tuige Kenya.

Kenya wenyewe wamefilisika, makampuni makubwa mengi yame fungwa
Tafuta hii habari
Na yote hii sababu ya mikopo!
Ehh Rabuka sikia kilio chetu walahi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Acha utani,ujue hii kitu ni serious,inauma sana. Sasa inabidi tufanye mambo tofauti. Tuige Kenya.
Kenya walijitambua mapema wakaitupa KANU kwenye kapu la sahau.
Sisi tunademka na mkongwe wetu.
 
Tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, Bandari, ziwa - victoria, Tanganyika, Nyasa,
Mipaka mikubwa karibu 6
Mbuga za wanyama, mikumi, serengeti, ruaha, Gombe,
Makaa ya mawe, gesi ya lindi na mtwara,
Rasilimali za chuma liganga huko
Ardhi yenye rutba nzuri ya kuzalisha kila kitu nchi nzima,
Mazao kama korosho, kahawa
Hayo ni Baadhi ya mambo ambayo serikali imeshindwa kusimamia na tukatoka kwenye umaskini
 
Jamani kama ni kulia leo nimelia, enough is enough, yaani miaka 60 plus ya uhuru bado tupo kwenye ‘Least developed countries?’ Jamani watanzania tuamke, wenzetu Kenya hawapo kwenye hii list

View attachment 2537853
View attachment 2537856
View attachment 2537857

Kwa hali hii:

Screenshot_20230224-190858.jpg


Utegemee nini?

Mbaya zaidi tuna mijinga mingi mno isiyojitambua.

Cc: Proved
 
Back
Top Bottom