dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
safi sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ulikuwa uongo, propaganda za ccm kama kawaidaKwani Shujaa Magufuli hakutufikisha Uchumi wa Kati?
Furaha yao nikuendesha maV8 ya million 500.
Kama chakula tu, kina tupiga chenga huo uchumi ndio tutauweza?🤦
Acha tuendelee kukamuliwa maziwa tu, kwa maana viongozi wetu hawajitambui.
So sad kwa kweli🙍
Kuporomoka/ kushuka ni KITU kidogo SANA juha weweKwani Shujaa Magufuli hakutufikisha Uchumi wa Kati?
📌📌📌Bila CCM kuondoka madarakani, kamwe hatuwezi kuondoka kwenye hiyo list
Acha utani,ujue hii kitu ni serious,inauma sana. Sasa inabidi tufanye mambo tofauti. Tuige Kenya.
Kenya walijitambua mapema wakaitupa KANU kwenye kapu la sahau.Acha utani,ujue hii kitu ni serious,inauma sana. Sasa inabidi tufanye mambo tofauti. Tuige Kenya.
Tanzania kuwepo hapo, Ccm ndio wakulaumiwaJamani kama ni kulia leo nimelia, enough is enough, yaani miaka 60 plus ya uhuru bado tupo kwenye ‘Least developed countries?’ Jamani watanzania tuamke, wenzetu Kenya hawapo kwenye hii list
View attachment 2537853
View attachment 2537856
View attachment 2537857
Tuikatae Ccm kwa kutuweka kwenye hiyo nafasi ya LDC.Unaposema watanzania tuamke una maana gani.?
Halafu aingie nani?Bila CCM kuondoka madarakani, kamwe hatuwezi kuondoka kwenye hiyo list.
Jamani kama ni kulia leo nimelia, enough is enough, yaani miaka 60 plus ya uhuru bado tupo kwenye ‘Least developed countries?’ Jamani watanzania tuamke, wenzetu Kenya hawapo kwenye hii list
View attachment 2537853
View attachment 2537856
View attachment 2537857