IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Kwa sasa pesax nimefikia kiwango cha elfu 54000 ukikopa na kulipa fresh tu tatzo liba alafu ndani ya wiki uwe umelipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HII L PESA INAKATAA WAITING MIAKA YOTE
DuKwa sasa pesax nimefikia kiwango cha elfu 54000 ukikopa na kulipa fresh tu tatzo liba
View attachment 2539833
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hii nayo niyakitapeli
Hii ipo sawana
L PESA
KOPESHA POA na
MKOPO EXTRA
Imagine hata email na password ni Moja
Na hizi za chini yàke
Kuanzia MKOPO APP Hadi nufaika loan ni kitu kimoja Uhuni wa ajabu kabisa View attachment 2521410
Riba yao ni % kwa mwezi?Pesax watatuuwa na riba wakuu
Wiki mzeeRiba yao ni % kwa mwezi?
Ila safari hii napambana nao walinitumia message wameniongezea muda kutoka siku 8 mpaka 30 nimechukua mkopo Jana 54000 bado siku zile zile 8 message nnayo sasa wakianza nipigia simu naawaambia mesag ipo mlisema ntalipa baada ya siku 30 na mmenitumia wenyeweRiba yao ni % kwa mwezi?
wana utapeli hao,waliniambia wameongeza mkopo mpaka laki kumbe uongo, afu kila wakati wananipa 64 na nawalipa 85Kwa sasa pesax nimefikia kiwango cha elfu 54000 ukikopa na kulipa fresh tu tatzo liba alafu ndani ya wiki uwe umelipa
View attachment 2539833
Hii ulinfanyaje kupata mkopo me mpaka Leo not uprovedPesa x tatizo lake mkopo ni wa muda mfupi mnooo ila wanatoa pesa kwa haraka.Hii ya marejesho kwa siku nane inaweza ikawapotezea wateja wao waaminifu kwa maana mteja anaweza asiwe napesa ya marejesho kwa siku hizo nane ila anayonia ya kulipa huko mbeleni lakini watu wa pesa x recovery and risk wakamuona ni scam.View attachment 2581904
KabisaBongo mitandao Mingi utapeli tu
Mkuu nimejisajili inagomea sehemu moja inaniambia hati niliyoingiza siyo sahihi, nifanyeje?Pesa x tatizo lake mkopo ni wa muda mfupi mnooo ila wanatoa pesa kwa haraka.Hii ya marejesho kwa siku nane inaweza ikawapotezea wateja wao waaminifu kwa maana mteja anaweza asiwe napesa ya marejesho kwa siku hizo nane ila anayonia ya kulipa huko mbeleni lakini watu wa pesa x recovery and risk wakamuona ni scam.View attachment 2581904
Una shida ya pesa ndio maana unataka uwakope then wanakuambia uweke pesa ili ukopeNani amewahi kutumia mkopo extra ?
Wanatak niweke Ksh 128 ndio nipate mkopo, je nitapata kiasi gani ?