Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MatapeliWenye uzoefu na mkopo xtra kuna kitu kweli huku maana naona pending bila kikomo alafu kwa mara ya kwanza wana offer mikopo mkubwa kwanzia laki tano lakini kwenye kutoa ndio mzozo
Nisaidie hata 50 tajiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaan hamna siku nimecheka kama leo ,sasa mkuu hizo Apps zote za mikopo daah
MmewafilisiTala ndio ilikua mpango mzima [emoji2]
Umefurah nini sasa!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaan hamna siku nimecheka kama leo ,sasa mkuu hizo Apps zote za mikopo daah
Utapoteza mudaWenye uzoefu na mkopo xtra kuna kitu kweli huku maana naona pending bila kikomo alafu kwa mara ya kwanza wana offer mikopo mkubwa kwanzia laki tano lakini kwenye kutoa ndio mzozo
Alafu ndani ya siku 8 Tu uwe umelipa mkop angalau ingekua mwezi hawa jamaa nuxPesax watatuuwa na riba wakuu
Ya uwongo kila uki log in unaanza upya kujaza details na ukirush pesa imekwenda hapowakuu kuna hii nikopeshe ni uhakika au matapeli maana nimejaza infor wanataka nilipie elfu nne kwanza sijui processing fee nipeni uhakika wakuu maana kuna harufu ya kupigwa View attachment 2529765
🤣Murika mwizi, hakuna kitu kama hicho yani unataka kukopa harafu uwape alfu nne achana nao😁wakuu kuna hii nikopeshe ni uhakika au matapeli maana nimejaza infor wanataka nilipie elfu nne kwanza sijui processing fee nipeni uhakika wakuu maana kuna harufu ya kupigwa View attachment 2529765
Maisha mkuu maisha, hiyo naenda kuwanunulia watoto chakula, ama nguo za sagula sagula inatosha,Humu wengi ni maskini yaani mtu serious kabisa anakopa 18000?
Ninachoshangaa humu ndani kila mtu amesoma sana,kila mtu ana gari,kila mtu ana connection za hatari,kila mtu tajiri ila chakushangaza ndio wanaoongoza kukopa mikopo ya TALA na kukimbia bila kulipaMaisha mkuu maisha, hiyo naenda kuwanunulia watoto chakula, ama nguo za sagula sagula inatosha,
Povu la Nini mkuuWAPUMBAVU wanalazimisha VODA na TIGO tuuuu kumbe ndio maana wamechelewesha watu sana
Nisaidie 50,000 ndugu mtoto anaumwaHumu wengi ni maskini yaani mtu serious kabisa anakopa 18000?
Matapeli hawa achana naowakuu kuna hii nikopeshe ni uhakika au matapeli maana nimejaza infor wanataka nilipie elfu nne kwanza sijui processing fee nipeni uhakika wakuu maana kuna harufu ya kupigwa View attachment 2529765