Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
HII L PESA INAKATAA WAITING MIAKA YOTE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HII L PESA INAKATAA WAITING MIAKA YOTE
Apo inabidi usubri ndio ivyo ivyo kama kila ushatuma wait ata Mim ilikua ivyo mpaka Nika izila baadae nikakuta wamenipa go ahead ya kukopaWanakataaaa et not approved Kila muda
KumbeApo inabidi usubri ndio ivyo ivyo kama kila ushatuma wait ata Mim ilikua ivyo mpaka Nika izila baadae nikakuta wamenipa go ahead ya kukopa
Kuna hawa wa. .nge application kama 7 zote zinafanana ila jina tofauti na una log in Kwa email Yako wanakuwa wanafanana Kila kituApo inabidi usubri ndio ivyo ivyo kama kila ushatuma wait ata Mim ilikua ivyo mpaka Nika izila baadae nikakuta wamenipa go ahead ya kukopa
Una link nimetafuta hoihoiNa sasa kuna pesa x Ila mkopo wao Moto 20000 ndani ya wiki liba sasa mlima mhm
Ipo play store iyoUna link nimetafuta hoihoi
Utapata Mzee Ila mkopo wao ni wiki kwa wiki alafu riba kubwa hatariHili ndo chombo me npo pesax nasubir mpaka leo hawanipi fedha
Wakinipa alaf wakaniletea mauza uza na wapitisha uku na pesa Yao siwapiUtapata Mzee Ila mkopo wao ni wiki kwa wiki alafu riba kubwa hatari
Wanasumbua ukichukua Leo ikifika siku ya tano Tu wanaanza kupiga simu yani wanashangaza wakati siku ya kuwalipa aijafika mpaka keloWakinipa alaf wakaniletea mauza uza na wapitisha uku na pesa Yao siwapi
Wanasumbua ukichukua Leo ikifika siku ya tano Tu wanaanza kupiga simu yani wanashangaza wakati siku ya kuwalipa aijafika mpaka kelo
Hii nayo niyakitapeliIpo play store iyoView attachment 2520465
Mzee Ukiacha l pesa na pesa x izo zingine zote futa TuMikopo online ni HOAX imagine majina tofauti ila zinafanana Kila kitu USHENZI PLUS
Nimeamua nisizifite Ili nisije kuja kujikaanga ni download tena nakuanza kujaza details
Nimejiunga na L pesa leo na kujaza taarifa zote lakin bado naandikiwa hivi "Awaiting approval" ...wazoefu hali hii itaendelea mpaka lini?Mzee Ukiacha l pesa na pesa x izo zingine zote futa Tu
L pesa nadaiwa 24
Branch nadaiwa 24
Pesa x sidaiwi na mpaka sasa na uwezo wa kukopa hawa pesa x mkopo wao ni muda mfupi Sana siku 7 uwe umelipa alafu liba kubwa
L pesa na branch nadaiwa nilikaa muda mrefu siko tz nimerudi sijalipa bado
Hawa L pesa kwa sasa Wana kipengele cha upload mobile money statement ya mwezi mzima mihamala uliofanya kwa mtandao unao tumia iwe tigo au voda hiki kipengele kama auna mihamala ni kigumu
View attachment 2521480
Yah ndio inavokua subriNimejiunga na L pesa leo na kujaza taarifa zote lakin bado naandikiwa hivi "Awaiting approval" ...wazoefu hali hii itaendelea mpaka lini?View attachment 2521794
Ua inachukua mda gan bosYah ndio inavokua subri
Bora ww una Moja for approval wengine full waiting for you toka miaka mpaka wakafutaNimejiunga na L pesa leo na kujaza taarifa zote lakin bado naandikiwa hivi "Awaiting approval" ...wazoefu hali hii itaendelea mpaka lini?View attachment 2521794