Machinga Arusha mwisho leo Novemba 2, 2021

Machinga Arusha mwisho leo Novemba 2, 2021

Awali ya yote niusifu uongozi mzima wa Mkoa wa Arusha kwa hatua iliyochukua ya kuwatengenezea wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga maeneo maalum kwa ajili ya kufanya shughuli zao za utafutaji wa riziki.Kiukweli nimeona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa mabanda ya Wamachinga, yenye kiwango cha hali ya juu hali ambayo itawafanya wafanyabiashara hao waliokuwa wamezagaa kila kona ya jiji la Arusha kufanya shughuli zao kwa utulivu pasipo kusumbuliwa na mgambo wa jiji. Nina imani kubwa kuwa hadhi ya Geneva of Africa inarudi sasa muda si mrefu.

Mimi ni mzaliwa wa Arusha eneo la Mianzini ya juu, japo kwa sasa niko Kibaha kimajukumu, lakini huwa ninapenda kufuatilia kwa karibu matukio yote yanayojiri katika Mkoa wangu,mfano juzi nilisikia Mkoa wa Arusha uliongoza kwa ukusanyaji wa mapato ya Serikali kitaifa, hii inaonyesha ni jinsi gani Mkurugenzi wa jiji Bw John Pima anavyowajibika kwenye nafasi yake. Sasa mlioko Arusha tupeni mrejesho hali ilivyo katika mitaa ya jiji la Arusha.
Nawasilisha
 
Awali ya yote niusifu uongozi mzima wa Mkoa wa Arusha kwa hatua iliyochukua ya kuwatengenezea wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga maeneo maalum kwa ajili ya kufanya shughuli zao za utafutaji wa riziki.Kiukweli nimeona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa mabanda ya Wamachinga, yenye kiwango cha hali ya juu hali ambayo itawafanya wafanyabiashara hao waliokuwa wamezagaa kila kona ya jiji la Arusha kufanya shughuli zao kwa utulivu pasipo kusumbuliwa na mgambo wa jiji. Nina imani kubwa kuwa hadhi ya Geneva of Africa inarudi sasa muda si mrefu.

Mimi ni mzaliwa wa Arusha eneo la Mianzini ya juu, japo kwa sasa niko Kibaha kimajukumu, lakini huwa ninapenda kufuatilia kwa karibu matukio yote yanayojiri katika Mkoa wangu,mfano juzi nilisikia Mkoa wa Arusha uliongoza kwa ukusanyaji wa mapato ya Serikali kitaifa, hii inaonyesha ni jinsi gani Mkurugenzi wa jiji Bw John Pima anavyowajibika kwenye nafasi yake. Sasa mlioko Arusha tupeni mrejesho hali ilivyo katika mitaa ya jiji la Arusha.
Nawasilisha
Leo nilikuwa mjini. Kuanzia stand ndogo hadi Samunge na maeneo mengine katikati ya mji machinga walikuwa wanaondoa vibanda vyao.,hadi naondoka mjini mida ya jioni hii sehemu kubwa wamamchinga walikuwa wameshaondoka na barabarani zilikuwa nyeupe.
Kiufupi ni kuwa habari iliyokuwa inatawala mjini leo ni kuhusiana na zoezi lililokuwa linaendelea la Wamamchinga
 
Leo nilikuwa mjini. Kuanzia stand ndogo hadi Samunge na maeneo mengine katikati ya mji machinga walikuwa wanaondoa vibanda vyao.,hadi naondoka mjini mida ya jioni hii sehemu kubwa wamamchinga walikuwa wameshaondoka na barabarani zilikuwa nyeupe.
Kiufupi ni kuwa habari iliyokuwa inatawala mjini leo ni kuhusiana na zoezi lililokuwa linaendelea la Wamamchinga
Safi sana, bila shaka kufikia wiki ijayo mitaa yote itakuwa mieupeeee
 
Zoezi la kuondoa machinga nchi nzima ilikua fursa nzuri sana kwa watanzania kudai tume huru na katiba mpya.

Viongozi hasa wa upinzani waamke sasa.
Labda wamachinga wa Burundi
 
Hawa wamachinga waliharibu sana jiji la Arusha yaani sehemu ya kutembea kwa dakika tano unatumia dakika kumi ukikwepa na kuruka masufuria ya watu barabarani kama vile una-dribble mpira.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna baadhi ya maeneo Kuna haja ya kufanya survey za mara kwa mara..maana unashangaa vibanda vingine vimeondolewa but kimebaki kimoja au viwili...vinapobaki kunawafanya wengine waanze kurudi coz wanaona wenzako hawajaguswa...Kuna maeneo ya mbele ya hostel za Magufuli Kuna soko pale la ajabu ajabu but hakuna kibanda kilichoguswa..angalia round about ya mliman city from msenge Kuna kibanda pale Cha muuuza mitumba but hakimijaguswa.
 
Hawa wamachinga waliharibu sana jiji la Arusha yaani sehemu ya kutembea kwa dakika tano unatumia dakika kumi ukikwepa na kuruka masufuria ya watu barabarani kama vile una-dribble mpira.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hawa wamachinga waliharibu sana jiji la Arusha yaani sehemu ya kutembea kwa dakika tano unatumia dakika kumi ukikwepa na kuruka masufuria ya watu barabarani kama vile una-dribble mpira.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nilikuwa mjini. Kuanzia stand ndogo hadi Samunge na maeneo mengine katikati ya mji machinga walikuwa wanaondoa vibanda vyao.,hadi naondoka mjini mida ya jioni hii sehemu kubwa wamamchinga walikuwa wameshaondoka na barabarani zilikuwa nyeupe.
Kiufupi ni kuwa habari iliyokuwa inatawala mjini leo ni kuhusiana na zoezi lililokuwa linaendelea la Wamamchinga
Pale stand ndogo niliwahi kupigwa simu dah
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa kweli Arusha ilikuwa Kama dampo, eneo lililokuwa linanikera zaidi ni kuanzia round about ya hapo Florida kuelekea Mianzini, yaani Chingas walijenga mpaka vibanda huo upande wa pili wa barabara hapo Florida na kufanya mandhari ya jiji kupotea kabisa. Funga kazi sasa ni hapo ukivuka geti la kuingilia Chuo cha Ufundi Arusha Chingas walikuwa wamepanga mpaka masofa yaliyochoka, tv chakavu, desktop chakavu, mabati, masufuria, vitanda yaani vurugu tupu. Nina imani baada ya kutengewa maeneo yao wataondoka na bidhaa zao na kuacha mji ukiwa safi.
 
Kuna baadhi ya maeneo Kuna haja ya kufanya survey za mara kwa mara..maana unashangaa vibanda vingine vimeondolewa but kimebaki kimoja au viwili...vinapobaki kunawafanya wengine waanze kurudi coz wanaona wenzako hawajaguswa...Kuna maeneo ya mbele ya hostel za Magufuli Kuna soko pale la ajabu ajabu but hakuna kibanda kilichoguswa..angalia round about ya mliman city from msenge Kuna kibanda pale Cha muuuza mitumba but hakimijaguswa.
IMG_20211104_160131.jpg
IMG_20211104_160149.jpg
IMG_20211104_160201.jpg
 
Back
Top Bottom