Machinga: Jeshi kubwa lenye uwezo wa kuamua Mustakabali wetu kisiasa

Binafsi nimeichukua hoja yako kwa mtazamo chanya. Naona kabisa kiu uliyokuwa nayo.

Shukran kwa kutupa moyo na kutuongezea ujasiri.

Nakukaribisha na wewe pia ktk kuzibadi fikra hizi na kuwa vitendo.


Kwa uoni wangu sifa kuu wa wamachinga wataounga mkono mchakato huu ni moja.

Kuwa Mkweli na Muaminifu/Muadilifu.
 

Wanufaika wa waliyopo wakiona hoja ya mabadiliko wanakumbwa na hofu ya kufa mtu 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…