Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1678107359537.png

Mtu unajipitia zako mara umeshikwa bega, au unavutwa nguo, mkono au kiuno, dada hii inakutosha au hii itakupendeza kwani huwezi kuniambia nikasikia tukaelewana bila kunigusa?

Machinga wa Karikaoo, Karume, Mbezi ya Kimara jumlisha na wale wapiga debe ndo kuzidi kabisa, Mwenge yaani wanakera sana, mbaya zaidi wanaona sawa tu na ukiwaambia usiniguse wanakudharirisha utasikia usishikwe we nani mtu mwenyewe mbaya, au hujapendeza.

Mfano, kuna siku nilikuwa na rafiki yangu Karume tunanunua bidhaa zetu machinga mmoja akamshika rafiki yangu kwa kuchomeka kidole ndani ya belti la sketi yake eti anamuonesha urembo yafiki yangu alikasirika mpaka leo hana hamu ya kwenda Karume.

Wao wanaona kawaida kumgusa, kumkumbatia, wengine kumbusu mwanamke asiye mjua wala kuwa na mazoea naye huko babarani na watu wakaona ni kawaida hata kama mwanamke huyo hataonekana kuridhishwa na kitendo hicho.

Machinga wanaouza bidhaa mitaani huwashika wanawake ikiwa kama njia ya wao kuwatangazia bidhaa zao kitu kama hicho si sahihi kwa kuwa wanaweza kuwatangazia bidhaa bila kugusa miili yao, wengine huenda mbali zaidi pale inapotokea mwanamke akaonesha kuwa hakupenda kuguswa huanza kumdhalilisha kwa kusema unaringa kitu gani na wakati wewe ni mbaya tu, usigushwe wewe nani kwani nk.

Barabarani, kwenye vyombo vya usafiri na popote anapopita mwanamke anaweza kuvutwa nguo huo ni udhalilishaji wa makusudi kwa kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kumnusuru na kero hii.

Mwanamke amekuwa mhanga katika jambo hilo hali inayomyima kuwa huru kutembea maeneo mengine kwa kuwa wanaume hawaoni kuwa wana mipaka na mwili wa mwanamke wao huona kuwa mwili wa mwanamke wanaweza kuugusa wakati wowote na hakuna sheria yoyote watakayoadhibiwa nayo.

Wengine huwashika hadi sehemu nyeti za mwili na hakuna yeyote wa kumtetea mwanamke anayepatwa na adha ya ukatili kama huu hali ambayo inamwathiri kisaikolojia na kumfanya akose kujiamini kutembea akiwa huru.

Ifike hatua jamii ielewe kuwa kumgusa au kumshika mtu bila ridhaa yake ni kumvunjia heshima kwani kila mtu hupenda kuwa huru na kufanya kitu ambacho yeye binafsi karidhia.

Pamoja na kuwa kuna sheria ya kutokumgusa mwanamke na matendo kama hayo ni kosa kisheria na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 5 jela au faini ya sh. 300,000 lakini ukimshika zaidi maeneo nyeti kama kifuani ni kifungo cha miaka 15 je, sheria hii ni butu mbona ndio kwanza matendo yanaongezeka?

Nani anaitekeleza au juhudi gani zinafanyika katika kuwawajibisha watendaji ili waache au kuwaelimisha wajue kuwa wanatenda kosa kumshika mwanamke bila ridhaa yake?

Jamii ijue kuwa Kumshika, kumbusu, kumkumbatia au kumgusa mwanamke bila ridhaa yake ni udhalilishaji. Inabidi upigiwe kelele.
 
Hwuuh! Unashangaa hayo? Shangaa wapaka rangi kucha, utakuta mwanamke kamnyanyulia mguu mpaka rangi huku mkono mmoja kashikilia kanga kuziba pale kati, mara anaachia kanga paap! Kabati linakuwa wazi na vyombo vyote ndani vinaonekana!

Sasa hapa nani alaumiwe kama si kumrusha roho mpaka rangi? Shangaa nyingine kwenye kwenye usafiri wa kusimama ndani ya basi, unakuta mwanamke makalio yake yote kakugeuzia na yanagusa sehemu nyeti joto kama lote linatua mzigoni.

Jamaa mapigo ya moyo yanaanza kwenda kwa kasi, huo uchafu aliojichafua kwa kukandamizwa na makalio sio wa nchi hii! Kama unaona machinga wana tabia hiyo ni kuwaepuka tu
 
Hwuuh! Unashangaa hayo? Shangaa wapaka rangi kucha, utakuta mwanamke kamnyanyulia mguu mpaka rangi huku mkono mmoja kashikilia kanga kuziba pale kati, mara anaachia kanga paap! Kabati linakuwa wazi na vyombo vyote ndani vinaonekana!

Sasa hapa nani alaumiwe kama si kumrusha roho mpaka rangi? Shangaa nyingine kwenye kwenye usafiri wa kusimama ndani ya basi, unakuta mwanamke makalio yake yote kakugeuzia na yanagusa sehemu nyeti joto kama lote linatua mzigoni.

Jamaa mapigo ya moyo yanaanza kwenda kwa kasi, huo uchafu aliojichafua kwa kukandamizwa na makalio sio wa nchi hii! Kama unaona machinga wana tabia hiyo ni kuwaepuka tu
Mi kuna siku nilikuwa kwenye mwendokasi demu akaniwekea tako dah la moto hatari kidogo nidhalilike nimwage wazungu
 
Kuna pia vijana wa hovyo sana ikifika mida ya jioni unakuta wanakimbia utasema wanawahi sehem ila wakikutana na binti wanamshika makalio huku wakiendelea kukimbia hii nmeiona kama mara mbili mabinti wakidhalilishwa hii ni mbaya sana kwa watu wa dar.
 
Mtu unajipitia zako mara umeshikwa bega, au unavutwa nguo, mkono au kiuno, dada hii inakutosha au hii itakupendeza kwani huwezi kuniambia nikasikia tukaelewana bila kunigusa?

Machinga wa Karikaoo, Karume, Mbezi ya Kimara jumlisha na wale wapiga debe ndo kuzidi kabisa, Mwenge yaani wanakera sana, mbaya zaidi wanaona sawa tu na ukiwaambia usiniguse wanakudharirisha utasikia usishikwe we nani mtu mwenyewe mbaya, au hujapendeza.

Mfano, kuna siku nilikuwa na rafiki yangu Karume tunanunua bidhaa zetu machinga mmoja akamshika rafiki yangu kwa kuchomeka kidole ndani ya belti la sketi yake eti anamuonesha urembo yafiki yangu alikasirika mpaka leo hana hamu ya kwenda Karume.

Wao wanaona kawaida kumgusa, kumkumbatia, wengine kumbusu mwanamke asiye mjua wala kuwa na mazoea naye huko babarani na watu wakaona ni kawaida hata kama mwanamke huyo hataonekana kuridhishwa na kitendo hicho.

Machinga wanaouza bidhaa mitaani huwashika wanawake ikiwa kama njia ya wao kuwatangazia bidhaa zao kitu kama hicho si sahihi kwa kuwa wanaweza kuwatangazia bidhaa bila kugusa miili yao, wengine huenda mbali zaidi pale inapotokea mwanamke akaonesha kuwa hakupenda kuguswa huanza kumdhalilisha kwa kusema unaringa kitu gani na wakati wewe ni mbaya tu, usigushwe wewe nani kwani nk.

Barabarani, kwenye vyombo vya usafiri na popote anapopita mwanamke anaweza kuvutwa nguo huo ni udhalilishaji wa makusudi kwa kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kumnusuru na kero hii.

Mwanamke amekuwa mhanga katika jambo hilo hali inayomyima kuwa huru kutembea maeneo mengine kwa kuwa wanaume hawaoni kuwa wana mipaka na mwili wa mwanamke wao huona kuwa mwili wa mwanamke wanaweza kuugusa wakati wowote na hakuna sheria yoyote watakayoadhibiwa nayo.

Wengine huwashika hadi sehemu nyeti za mwili na hakuna yeyote wa kumtetea mwanamke anayepatwa na adha ya ukatili kama huu hali ambayo inamwathiri kisaikolojia na kumfanya akose kujiamini kutembea akiwa huru.

Ifike hatua jamii ielewe kuwa kumgusa au kumshika mtu bila ridhaa yake ni kumvunjia heshima kwani kila mtu hupenda kuwa huru na kufanya kitu ambacho yeye binafsi karidhia.

Pamoja na kuwa kuna sheria ya kutokumgusa mwanamke na matendo kama hayo ni kosa kisheria na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 5 jela au faini ya sh. 300,000 lakini ukimshika zaidi maeneo nyeti kama kifuani ni kifungo cha miaka 15 je, sheria hii ni butu mbona ndio kwanza matendo yanaongezeka?

Nani anaitekeleza au juhudi gani zinafanyika katika kuwawajibisha watendaji ili waache au kuwaelimisha wajue kuwa wanatenda kosa kumshika mwanamke bila ridhaa yake?

Jamii ijue kuwa Kumshika, kumbusu, kumkumbatia au kumgusa mwanamke bila ridhaa yake ni udhalilishaji. Inabidi upigiwe kelele.
Mimi huwa nawakung'uta na hamna kitu wananifanya aisee, kuna siku nimeshuka mwenge machinga mmoja akawa ananing'ang'aniza kununua nguo kwake nikamwambia sihitaji nguo akaanza kunishika,kila nikijaribu kumkwepa naona ananizonga, niliweka mkoba begani vizuri nikageuka kama naondoka nikampa teke la nyuma, hajakaa vizuri nikampa side kick, anataka kunyanyuka nikamshika shati nikamnyanyua nikamwambia sasa wewe ulikua unanishika simama hapa unishike vizuri, ikabidi wenzie wamuamulie, nikawaambia msipende kuzoea watu sisi wengine ni waalimu wa taekwondo

Watu walijaa nikasepa zangu wakabaki wanamcheka
 
Mimi huwa nawakung'uta na hamna kitu wananifanya aisee, kuna siku nimeshuka mwenge machinga mmoja akawa ananing'ang'aniza kununua nguo kwake nikamwambia sihitaji nguo akaanza kunishika,kila nikijaribu kumkwepa naona ananizonga, niliweka mkoba begani vizuri nikageuka kama naondoka nikampa teke la nyuma, hajakaa vizuri nikampa side kick, anataka kunyanyuka nikamshika shati nikamnyanyua nikamwambia sasa wewe ulikua unanishika simama hapa unishike vizuri, ikabidi wenzie wamuamulie, nikawaambia msipende kuzoea watu sisi wengine ni waalimu wa taekwondo

Watu walijaa nikasepa zangu wakabaki wanamcheka
Acha mambo ya kwenye muvi wew.....
 
Hwuuh! Unashangaa hayo? Shangaa wapaka rangi kucha, utakuta mwanamke kamnyanyulia mguu mpaka rangi huku mkono mmoja kashikilia kanga kuziba pale kati, mara anaachia kanga paap! Kabati linakuwa wazi na vyombo vyote ndani vinaonekana!

Sasa hapa nani alaumiwe kama si kumrusha roho mpaka rangi? Shangaa nyingine kwenye kwenye usafiri wa kusimama ndani ya basi, unakuta mwanamke makalio yake yote kakugeuzia na yanagusa sehemu nyeti joto kama lote linatua mzigoni.

Jamaa mapigo ya moyo yanaanza kwenda kwa kasi, huo uchafu aliojichafua kwa kukandamizwa na makalio sio wa nchi hii! Kama unaona machinga wana tabia hiyo ni kuwaepuka tu
Jamani hii wadada muiangalie nilipanda gari ya tegeta-kariakoo basi mdada na abaya lake kanisusia uno lote uwiii niliamisha mawazoooo weeee waaapiii jamani ingekuwa ni ile premature ejaculation basi ningemwaga maaana nilijikaza mpaka nikasema liwalo na liwe Mungu si Santos06 akashuka ndio afuweni hakuna vitendo vinaniuzi kama kushikwa hasa na wanawake maana wao pia wanatabia hii wajaui upo mood gani mwishowe umpige mtu ngumi
 
Back
Top Bottom