Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Nna miaka kama 10 sijaenda karume aisee sijawai kuona sehem yenye karaha kama ile yani mtu atakushika mkono hataki kukuachia tafrani tupu
Usiombe muwe wawili, mwenzio ameshasonga mbele amekaribia kupotelea huko kwa watu wewe bado upo umeng'ang'aniwa mkono unavutana na mtu usiyemjua.

Kulingana na vipato vyetu tunatamani sana kwenda karume, mwenge, congo-kariakoo kununua vitu kwa bei chee lakini hapana aiseee! Wacha tubanane huku kwenye maduka wanakotupiga. Kero tupu, mtu unavutana, unajibishana, unagombana hadi utoke umechoka hoiii!
 
Ni kero sana kwakweli.
Nachukizwa sana na hii tabia. Hata kama mtu nafahamiana naye mambo ya kuparamiana paramiana kwa kushikana sipendi.
 
Ila waTz sio waelewa kabisa, nimesoma comments mtu anajiona kabisa kuwa yuko entilted kukushika eti kwasababu ukienda sehemu za starehe huwa unakubali kushikwa 😅 Kitu kinachoitwa consent ninyi hamkijui wala kukielewa kabisa?

Siku mkitoka kwenda kutembea nchi za walioendelea mtaishia kupelekwa mahakamani, Maana mtajiona mna haki ya kumgongea jirani mlango, kukatiza kwenye makazi ya watu, Kumtongoza mtu tu ukimkuta yuko pekeyake amejikalia... Jifunzeni ustaarabu aisee!
 
Yani adi unajuta kwanini ulienda
 
Tatizo hamchukui hatua,sheria zpo ni kuripoti mtu akamatwe n then mahakaman kisha hukumbili iwe fundisho....lkn mkiacha hvyo mkaja kulalalmika uku hakuna cha maana ....business itaendelea as usual
waote hao wanapenda kutiwa vidole chunguza machinga na wapiga debe wanavio mzoea haraka mvaa kimini na kisuruali cha kubana
 
Mimi huwa najichomoa fasta kabla mtuehajanishika
Tena akijitoa ufahamu namm najitoa hivyohivyo bila kuzungumza chochote.
Huwa nakuwa mkali kwa ishara na natembea kwa mwendokasi.

Ila hii tabia inakera sana.
chunguza uvaaji wako wale awakoseagi
 
Mimi ninadhani hata kina dada nao mbadilike. Muwe wakali inaweza kupunguza tatizo. Wengi mkionesha waziwazi hasira zenu itapungua. Shida mpo weeengi,mnashikwa mnachekacheka tu. Ninadhani ni ule utamaduni wetu wa kutotaka kumuudhi aliye mbele yako kinafiki.

Halafu, mada hii ijadiliwe pamoja na unyambisi wanaotufanyia wadada kwenye misongomano. Mtu kiguo cha uchokozi,nyonyo njenje, pindo ya chupi hii hapa,hadi unaona wanamoishi ibilisi. Tako lainiii, linakugusagusa kwenye daladala. Halafu hawajikazi,gari ikiyumba huyo kajaa kifuani. Mwanaume unabaki kuingiza mkono ✋ mfukoni kuulaza mdude utulie usiibue kesi. Unafika home unaanzia bafuni.

Acheni hizo kina dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…