Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

thamani mnaishusha wenyewe, ikishushwa mnalalamika.... unalaumu kushikwa wakati huohuo unaenda kushikwa na mtu wa kucha anapanda nayo hadi kwenye upaja na husemi kitu.... Haya me nipo upande wa machinga na wapiga debe tuseme wao ndo haohao wapaka kucha rangi na ndo mshawazoesha tulieni mlambe dawa.

Wewe usiongee
Kuna watu hawavai hayo mavazi na ghasia wanazipata, wengi wao ni wakosa adabu tu. Huyo alovaa kimini kakuletea paja si utizame tu.

Mimi navaa shungi tena na gauni hilo lakin hawana adab wakitaka kukuuzia vitu vyao kwa lazima

Kuna siku mpaka nimelia hapo kariakoo yalipokua yanapaki gari za M/nyamala

Mtu ana kuharass alafu ukiwa mkali wanaanza kunyambua hadi unashangaa kisa sihitaji kununua

Yani nilikua down tu siku ile bahati yake.
 
Sipendi hii hali hata mimi mara ushikwe mkono mara bega...mara sjui nini...aseeeeeeeeee hii nchi ya ovyo sana
Nakerekaaaaaaaaaa nataman niwawashe kofii.
mwanamke kama ataki mwanaume hawezi mgusa bhana mnapeda sana kutiwa vidole
 
Wewe usiongee
Kuna watu hawavai hayo mavazi na ghasia wanazipata, wengi wao ni wakosa adabu tu. Huyo alovaa kimini kakuletea paja si utizame tu.

Mimi navaa shungi tena na gauni hilo lakin hawana adab wakitaka kukuuzia vitu vyao kwa lazima

Kuna siku mpaka nimelia hapo kariakoo yalipokua yanapaki gari za M/nyamala

Mtu ana kuharass alafu ukiwa mkali wanaanza kunyambua hadi unashangaa kisa sihitaji kununua

Yani nilikua down tu siku ile bahati yake.
90% wanashusha adabu, 10% haishtui... wengi wape, Mnajishushia wenyewe heshima.
 
Wewe usiongee
Kuna watu hawavai hayo mavazi na ghasia wanazipata, wengi wao ni wakosa adabu tu. Huyo alovaa kimini kakuletea paja si utizame tu.

Mimi navaa shungi tena na gauni hilo lakin hawana adab wakitaka kukuuzia vitu vyao kwa lazima

Kuna siku mpaka nimelia hapo kariakoo yalipokua yanapaki gari za M/nyamala

Mtu ana kuharass alafu ukiwa mkali wanaanza kunyambua hadi unashangaa kisa sihitaji kununua

Yani nilikua down tu siku ile bahati yake.
Ebu fikiria alafu mtu anakuja anakuambia tunataka wenyewe kudhalilishwa huwa nawashangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hwuuh! Unashangaa hayo? Shangaa wapaka rangi kucha, utakuta mwanamke kamnyanyulia mguu mpaka rangi huku mkono mmoja kashikilia kanga kuziba pale kati, mara anaachia kanga paap! Kabati linakuwa wazi na vyombo vyote ndani vinaonekana!

Sasa hapa nani alaumiwe kama si kumrusha roho mpaka rangi? Shangaa nyingine kwenye kwenye usafiri wa kusimama ndani ya basi, unakuta mwanamke makalio yake yote kakugeuzia na yanagusa sehemu nyeti joto kama lote linatua mzigoni.

Jamaa mapigo ya moyo yanaanza kwenda kwa kasi, huo uchafu aliojichafua kwa kukandamizwa na makalio sio wa nchi hii! Kama unaona machinga wana tabia hiyo ni kuwaepuka tu
baadhi ya wanawake wanapenda sana kutiwa dole na wapiga debe na chinga na konda hapa wanajitia kulaumu pele mwenge kwa wapaka rangi unakuta jimama zima miaka 25 sura kama ya babake nguu umechanika magaga heti kaacha wazi mipaja mwiesi kijana kakija miaka 15 kana msugua miguu uku kakimtia kidole baadhi ya wanawake mnalaana
 
Machinga wa Karikaoo, Karume, Mbezi ya Kimara jumlisha na wale wapiga debe ndo kuzidi kabisa, Mwenge yaani wanakera sana, mbaya zaidi wanaona sawa tu na ukiwaambia usiniguse wanakudharirisha utasikia usishikwe we nani mtu mwenyewe mbaya, au hujapendeza.
Yesu alisema pendaneni
 
Basi basi warembo, tutaacha kuwashika, ila mkiitwa kwa kuuliza muwe mnakataa kwa ishara basi sio kula buyu, ni katika harakati za kutafuta riziki tu
 
Basi basi warembo, tutaacha kuwashika, ila mkiitwa kwa kuuliza muwe mnakataa kwa ishara basi sio kula buyu, ni katika harakati za kutafuta riziki tu
mwanamke alie jiweka kiheshima machinga hawezi kumsogelea au wapiga debe zaidi watamkarisha kwa heshi kubwa machinga wanawatia vidole wenawake watembea nusu uchi wavaa vimini mwanake alie vaa nguo zake safi na koba wake kwapani chinga hata wapiga debe hawamsumbui
 
Tatizo hamchukui hatua,sheria zpo ni kuripoti mtu akamatwe n then mahakaman kisha hukumbili iwe fundisho....lkn mkiacha hvyo mkaja kulalalmika uku hakuna cha maana ....business itaendelea as usual
 
We ndo kama mm,sipapend pale kuna karaha tupu,mara ya mwsho kukanya nahisi hata miaka 10 imefka kwa jinsi nnavopachukia.
Last nlishkwa nyonyo ndo ilkua mara ya mwsho me kukanyaga soko lile.
Ila bana kuna watoto wazuri wameumbwa unajikuta umemshika automatic tu.
 
kuna demu kwenye daladala aligusisha paja lake muda mrefu kwenye eneo langu nyeti likapata joto, kilichotokea ni pre wazungu kuharibu boxer mpaka suruali ya kitambaa ikanasa ubichi na kuchora duara nikawa natembea kwa aibu huku nikufunika funika mchoro huo wa duara kuwahi home kubadilisha suruali.

Si unajua wazungu hata wakikauka huchora ramani
Ila anaemtafuna anafaidi ni wa moto sijawahi ona demu wa hivyo huenda alikuwa jini yaani kulikuwa kitendo cha sekunde kama 20 ila ilisimama ghafla kwa joto
 
Mtu unajipitia zako mara umeshikwa bega, au unavutwa nguo, mkono au kiuno, dada hii inakutosha au hii itakupendeza kwani huwezi kuniambia nikasikia tukaelewana bila kunigusa?

Machinga wa Karikaoo, Karume, Mbezi ya Kimara jumlisha na wale wapiga debe ndo kuzidi kabisa, Mwenge yaani wanakera sana, mbaya zaidi wanaona sawa tu na ukiwaambia usiniguse wanakudharirisha utasikia usishikwe we nani mtu mwenyewe mbaya, au hujapendeza.

Mfano, kuna siku nilikuwa na rafiki yangu Karume tunanunua bidhaa zetu machinga mmoja akamshika rafiki yangu kwa kuchomeka kidole ndani ya belti la sketi yake eti anamuonesha urembo yafiki yangu alikasirika mpaka leo hana hamu ya kwenda Karume.

Wao wanaona kawaida kumgusa, kumkumbatia, wengine kumbusu mwanamke asiye mjua wala kuwa na mazoea naye huko babarani na watu wakaona ni kawaida hata kama mwanamke huyo hataonekana kuridhishwa na kitendo hicho.

Machinga wanaouza bidhaa mitaani huwashika wanawake ikiwa kama njia ya wao kuwatangazia bidhaa zao kitu kama hicho si sahihi kwa kuwa wanaweza kuwatangazia bidhaa bila kugusa miili yao, wengine huenda mbali zaidi pale inapotokea mwanamke akaonesha kuwa hakupenda kuguswa huanza kumdhalilisha kwa kusema unaringa kitu gani na wakati wewe ni mbaya tu, usigushwe wewe nani kwani nk.

Barabarani, kwenye vyombo vya usafiri na popote anapopita mwanamke anaweza kuvutwa nguo huo ni udhalilishaji wa makusudi kwa kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kumnusuru na kero hii.

Mwanamke amekuwa mhanga katika jambo hilo hali inayomyima kuwa huru kutembea maeneo mengine kwa kuwa wanaume hawaoni kuwa wana mipaka na mwili wa mwanamke wao huona kuwa mwili wa mwanamke wanaweza kuugusa wakati wowote na hakuna sheria yoyote watakayoadhibiwa nayo.

Wengine huwashika hadi sehemu nyeti za mwili na hakuna yeyote wa kumtetea mwanamke anayepatwa na adha ya ukatili kama huu hali ambayo inamwathiri kisaikolojia na kumfanya akose kujiamini kutembea akiwa huru.

Ifike hatua jamii ielewe kuwa kumgusa au kumshika mtu bila ridhaa yake ni kumvunjia heshima kwani kila mtu hupenda kuwa huru na kufanya kitu ambacho yeye binafsi karidhia.

Pamoja na kuwa kuna sheria ya kutokumgusa mwanamke na matendo kama hayo ni kosa kisheria na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 5 jela au faini ya sh. 300,000 lakini ukimshika zaidi maeneo nyeti kama kifuani ni kifungo cha miaka 15 je, sheria hii ni butu mbona ndio kwanza matendo yanaongezeka?

Nani anaitekeleza au juhudi gani zinafanyika katika kuwawajibisha watendaji ili waache au kuwaelimisha wajue kuwa wanatenda kosa kumshika mwanamke bila ridhaa yake?

Jamii ijue kuwa Kumshika, kumbusu, kumkumbatia au kumgusa mwanamke bila ridhaa yake ni udhalilishaji. Inabidi upigiwe kelele.
Mimi huwa najichomoa fasta kabla mtuehajanishika
Tena akijitoa ufahamu namm najitoa hivyohivyo bila kuzungumza chochote.
Huwa nakuwa mkali kwa ishara na natembea kwa mwendokasi.

Ila hii tabia inakera sana.
 
Nna miaka kama 10 sijaenda karume aisee sijawai kuona sehem yenye karaha kama ile yani mtu atakushika mkono hataki kukuachia tafrani tupu
Wanakera sana
Unamwambia mtu sina hela ila bado anakuganda mkono.
 
Kama umevaa kimahabamahaba utashikwa tu, machinga wana ukame wa muda mrefu na wake hawana, wanaponea kwa kuwashikashika japo kidogo wanaridhika na kutulia. Wanapenda sana pisi kali.
 
Back
Top Bottom