Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Kitu gan hicho
Nilienda kucheza mpira na sketi bila kuvalia track ndani Nikapewa salamu kuwa nawatega nivae tu manguo yangu ya kilasiku 😂😂😂 Tena Kwa kuchambwa kwani kilasiku unavaa track ndefu Leo utuvalie kiskert dada 😂😂😂na hapo nilivalia nguo ndani na soks ndefu lakin wanaume 😀 nilijuta
Half american
Tareek
 
thamani mnaishusha wenyewe, ikishushwa mnalalamika.... unalaumu kushikwa wakati huohuo unaenda kushikwa na mtu wa kucha anapanda nayo hadi kwenye upaja na husemi kitu.... Haya me nipo upande wa machinga na wapiga debe tuseme wao ndo haohao wapaka kucha rangi na ndo mshawazoesha tulieni mlambe dawa.
 
Back
Top Bottom