Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Hwuuh! Unashangaa hayo? Shangaa wapaka rangi kucha, utakuta mwanamke kamnyanyulia mguu mpaka rangi huku mkono mmoja kashikilia kanga kuziba pale kati, mara anaachia kanga paap! Kabati linakuwa wazi na vyombo vyote ndani vinaonekana!

Sasa hapa nani alaumiwe kama si kumrusha roho mpaka rangi? Shangaa nyingine kwenye kwenye usafiri wa kusimama ndani ya basi, unakuta mwanamke makalio yake yote kakugeuzia na yanagusa sehemu nyeti joto kama lote linatua mzigoni.

Jamaa mapigo ya moyo yanaanza kwenda kwa kasi, huo uchafu aliojichafua kwa kukandamizwa na makalio sio wa nchi hii! Kama unaona machinga wana tabia hiyo ni kuwaepuka tu


Walaumiwe “watu” na sio jinsia zao.

Kama ambavyo kuna wanaume wasio wastaarabu na wasiojiheshimu, wapo wanawake pia wenye hizo hulka mbovu.

Suala la maadili kwa mazingira tuliyopo leo ni pana sana kiasi kwamba ni dhahiri hata wenye mamlaka na wajibu wa kuyasemea na kuyakemea hawajui wapi pa kuanzia na kibaya zaidi asilimia kubwa kati Yao ni washiriki wazuri pia wa uvunjifu wa hayo maadili yenyewe.


Makadirio ya Nguvu ya Uumbaji yataamua.

It’s a twisted & sad dilemma!
 
Nilienda kucheza mpira na sketi bila kuvalia track ndani Nikapewa salamu kuwa nawatega nivae tu manguo yangu ya kilasiku 😂😂😂 Tena Kwa kuchambwa kwani kilasiku unavaa track ndefu Leo utuvalie kiskert dada 😂😂😂na hapo nilivalia nguo ndani na soks ndefu lakin wanaume 😀 nilijuta
Half american
Tareek
😁 ikawaje sasa
 
Kusuguliwa kucha hapana, naona kinyaa, yaani mtu mikono yake inasugua kucha za kila mtu halafu na mimi nimuwekee miguu yangu kana kwamba mie kilema, hapana huwa nanunua vifaa vyangu najisafisha mwenyewe na kujipaka rangi

Wale vijana sijui hata hygine yao ipoje, huwa hawavai hata gloves, na hawachukui pre cautions wanapodeal na wateja, imagine yeye anaosha miguu ya machangudoa, mashangingi na aina mbalimbali za watu kwa kutumia kibeseni hichohicho, mikono hiyohiyo ambayo hata hatumii gloves, na vifaa hivyohivyo, halafu na wewe unaenda unaweka miguu yako hapo
unaonekana hip hop kweli
 
Nenda na mwanaume, hawatathubutu kukushika, utaskia shemeji hii inakutosha kwa mbali sana na kwa adabu.
Huo ujinga maana unaenda kumtia aibu tu,ukivaa Kwa heshima hakuna lolote litatokea,akivaa hovyo hata uwe naye,miluzi na maneno ya kejeri ni aibu tu Kwa mwanaume
 
Wanawake wengi hawajielewi.
Mtu anavaa nguo inabana kichizi afu fupi anategemea nini?
Chupi hawavai siku hizi

Matako makubwa anayatetemesha makusudi afu ategemee kusamehewa kushikwa.

Wanawake wanajirahisisha wenyewe kuanzia kwenye kucha
Na akivaa hivyo wahuni wanamdanganya umependeza, kumbe wanamchora tu na kesho anazidisha kuvaa ovyo zaidi, yaani akiwa anasifiwa sifiwa kinafiki anadhani ni kweli........
 
Usikae kinyonge wapige vibao,
Mimi Wamachinga wa Kariakoo wananielewa vema nawabutua vibao au mateke na ukishamkong'ota mmoja wenzie wanakushangilia utasikia "sawa, sawa dada kazoea huyoooo"

Pia ukiwa sehemu kama hizo usitembee kwa madaha, usijivute vute na kubinua kiuno, kua mkakamavu, macho yawe mbele au kwenye bidhaa unazotaka kununua,

Angalia na mavazi ya kuvaa ukiwa unaenda sehemu kama hizo, umevaa kimini au kitight na kitop kazi utakua nayo, vaa suruali, tshirt na raba, au gauni au baibui kidogo inapunguza na hata ukimbutua huyo mshenzi anayejitoa ufahamu unakua na confidence zote.
 
thamani mnaishusha wenyewe, ikishushwa mnalalamika.... unalaumu kushikwa wakati huohuo unaenda kushikwa na mtu wa kucha anapanda nayo hadi kwenye upaja na husemi kitu.... Haya me nipo upande wa machinga na wapiga debe tuseme wao ndo haohao wapaka kucha rangi na ndo mshawazoesha tulieni mlambe dawa.
Kuna wanawake hatuvai hovyo bado tunashikwa shikwa thaman yetu tunaishusha vipi?
Kwenye kucha ni wanawake wote wanaenda huko? Na hata wanaoenda huko kuna wanawake wanajiheshimu haruhusu kushikwa huko mapajani unaposema. Acheni kuwatetea vijana wa hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akitokea mmoja akabutuliwa ya kichwa au mguuni ndo wataacha hiyo tabia chafu, inakera sana nchi imejaa wavuta bangi
 
Kuna wanawake hatuvai hovyo bado tunashikwa shikwa thaman yetu tunaishusha vipi?
Kwenye kucha ni wanawake wote wanaenda huko? Na hata wanaoenda huko kuna wanawake wanajiheshimu haruhusu kushikwa huko mapajani unaposema. Acheni kuwatetea vijana wa hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake 90% wanajishushia heshima, hizo 10% za nini... Wengi wape.
 
Back
Top Bottom