johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu mwenyekiti wa Wamachinga nchini mh Lusinde amesema Rais Samia ameagiza wamachinga wapangwe vizuri katika maeneo waliyopo na siyo kuhamishwa kama inavyotafsiriwa na watendaji wa chini.
Source: ITV Malumbano ya Hoja
Source: ITV Malumbano ya Hoja