Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani tayari wameaanza kushikishwa adabu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi. Namba inasomwa kweli kweli

2723050_IMG_20210324_212248.jpg
 
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanya biashara wadogo katika stend ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani teyari wameaanza kushikishwa adamu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi...namba inasomwa kweli kweli
Hapa Chadema watashangilia sana kwamba wamemkomoa Magufuli, watoto wake wamelala njaa
 
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanya biashara wadogo katika stend ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani teyari wameaanza kushikishwa adamu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi...namba inasomwa kweli kweli
Kwahiyo unafurahia siyo!
 
Habari ndiyo hiyo.

IMG_20210324_212248.jpg


Wanaosema ooh sijui nani, hiki kituo ni cha kimataifa au wanaleta vurugu na kushusha hadhi, sasa hali ndiyo hiyo.

Mjipange.
 
Kuna maeneo naona bomoa bomoa imeanza ghafla.
 
Safi hii, mavinda yame tapakaa kila kona miji imekuwa hakuna utaratibu watu wanapanga bidhaa mpaka barabarani
 
Waambie wafute si ndio umeona ni baba zako
Ii nyuzi ni ya uchochezi ..mm nimetoka magufuli bus terminal leo sijaona kashilashi yoyote pale kati ya mgambo na wajasiria mali .....
 
Duhh! Lakini mh. Jpm aliwaruhusu
Ila alisema uwekwe utaratibu tatizo machinga wanataka wajiachie tu kama sokoni. Haiwezekani ufukuze wapiga debe uache machinga wakati wote wanyonge....ilikua ni suala la muda tu lazima wangeondolewa
 
Back
Top Bottom