Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Kwakweli huu ni mtihani, ukipita Mbagala rangi tatu watu wameweka mbao juu ya mitaro ya maji machafu wanapika vitumbua kiasi kwamba watu wa usafi wanashindwa kusafisha ile mitaro matokeo yake mitaro yote imejaa maji machafu.

Pia hapo hapo Rangi tatu fremu za kuzunguka stendi ya magari ya Rufiji na kusini zote zimefungwa imagine frem zaidi ya 150 kwakuwa wamachinga wamepanga bidhaa mbele ya frem zao na wengine wamejenga vibanda kabisa.

Pia imefika kipindi watu wanapanga bidhaa kwenye tuta la kati la barabara kiasi kwamba hakuna ustaarabu this thing must stop.
 
Magufuli alikua mjanja alijua akisema kila kitu cha wanyonge atawin na kweli aliwin. Kwa sababu hao ndio wapiga kura yani hawajali kukaa masaa 8 kusubiri foleni kumpigia mtu wao, na ndio hao wamejitokeza maelfu kumlilia na kukimbia kilometers kibao kwenye kumuaga. So alijua akiwa na hawa wasio jua ku-argue atatoboa.
Kwani alikuwa akiamini kwenye sanduku la kura?
 
Magufuli alikua mjanja alijua akisema kila kitu cha wanyonge atawin na kweli aliwin. Kwa sababu hao ndio wapiga kura yani hawajali kukaa masaa 8 kusubiri foleni kumpigia mtu wao, na ndio hao wamejitokeza maelfu kumlilia na kukimbia kilometers kibao kwenye kumuaga. So alijua akiwa na hawa wasio jua ku-argue atatoboa.
Hao ndio walengwa siku zote ila walipuuuzwa
 
Mbezi mbona padogo. Wajiondoe wenyewe kabla ya kuzika
 
Wakimaliza Mbezi waje na huku Posta, wawaondoe na hivi vibanda vyao
 
Magufuli alikuwa mjanja, alijua akisema kila kitu cha wanyonge atawin na kweli aliwin. Kwa sababu hao ndio wapiga kura yani hawajali kukaa masaa 8 kusubiri foleni kumpigia mtu wao na ndio hao wamejitokeza maelfu kumlilia na kukimbia kilometers kibao kwenye kumuaga. So alijua akiwa na hawa wasiojua ku-argue atatoboa.

Umemaliza
 
Nadhani soon wanyonge waruhusiwe kufanya biashara Airport kumuenzi Hayati!.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo watakua kweli wamewasaidi kimaendeleo,usisahau na kule ndani ya ikulu napo wapewe nafasi ya kuuza mbogamboga,matunda,mabegi etc[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani tayari wameaanza kushikishwa adabu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi. Namba inasomwa kweli kweli

CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka huu wa 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka huu wa 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
Mkuu mbona kama unasoma dua la kuku?

Huo mwisho wa sisiemu ni lini?

Au uliandika mwaka jana kabla ya uchaguzi kisha ukasahau kupost?
 
Duhh! Lakini mh. Jpm aliwaruhusu
Hawaruhusu yeye alikuwa na hati miliki ya Nchi huyo msukuma mwenzenu, watu wavunje sheria kisa waliruhusiwa kinyume Cha utaratibu,

Machinga sio wakuwaendekeza
 
Back
Top Bottom