Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Machinga waanza kuisoma namba stendi ya Magufuli Mbezi Mwisho

Tulisema! Hii nchi inatakiwa kuwa na Sera endelevu hatuwezi kutegemea mawazo ya mtu mmoja tu maana na yeye ni binadamu kuna leo na kesho tukasemwa sana kuwa hatuwapendi wanyonge! Haya sasa!!!
 
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanya biashara wadogo katika stend ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani teyari wameaanza kushikishwa adamu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi...namba inasomwa kweli kweli
Lakini huu upuuzi wa kuruhusu machinga kila sehemu hadi wameziba barabara ufike mwisho kabisa. Nchi haiwezi kuendelea kwa upuuzi huo. Kilometre moja ya lami ni billion 2. Inatumika kuuza bidhaa za machinga. Watumie hata robo ya hela hiyo kuwajengea sehemu zao.
 
Safi sasa turudi kwenye utaratibu huwezi kuchunga mbuzi mjini. Kila sehemu Ina shughuli zake, kuna watu wamepanga kwenye zile frame pale stendi wanalipa kodi kubwa sana halafu kuna machinga yeye ana kitambulisho cha elfu ishirini tu anauza kila kitu mkononi kwa bei isiyo na kodi, fulana inauzwa 10,000 yeye anauza 6000 halafu mnategemea biashara itakua na ingali anayeuza kwa bei inayoinclude pango na kodi ya serikali plus gharama za kuajiri anadharaulika na analimbikiziwq mzigo wa gharama? Unaanzaje kumpaisha machinga unaachana na mfanyabiashara mwenye kulipa Kodi na majukumu kibao. Hatuendi namna hiyo hao watafutiwe maeneo yao mjini kuna utaratibu sio unazagaa tu kama mbuzi
 
Magufuli alikuwa mjanja, alijua akisema kila kitu cha wanyonge atawin na kweli aliwin. Kwa sababu hao ndio wapiga kura yani hawajali kukaa masaa 8 kusubiri foleni kumpigia mtu wao na ndio hao wamejitokeza maelfu kumlilia na kukimbia kilometers kibao kwenye kumuaga. So alijua akiwa na hawa wasiojua ku-argue atatoboa.
 
Ni aibu kwa jinsi wanavyovamia kila mahala yaani kimsingi hakuna utaratibu kabisa ni zaidi ya manzese huo umataifa wa mbezi luis haupo tena ni kituko kabisa
Nilipita soko flani nikakuta wafanyabishara wengi wakiwa kinamama wamepanga nyanya, mbogamboga, ndizi nk chini, nilikuwa na jamaa yangu.

Nikamwambia jamaa niliyekuwa naye, "soon hawa wataondoka hapa wapende wasipende" kumbe mmojawapo wa wale wamama akasikia, akaanza kunirushia lugha mbaya.
 
Huyo mama atake asitake lazima aisome namba
Nilipita soko flani nikakuta wafanyabishara wengi wakiwa kinamama wamepanga nyanya, mbogamboga, ndizi nk chini, nilikuwa na jamaa yangu.

Nikamwambia jamaa niliyekuwa naye, "soon hawa wataondoka hapa wapende wasipende" kumbe mmojawapo wa wale wamama akasikia, akaanza kunirushia lugha mbaya.
 
Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani tayari wameaanza kushikishwa adabu na mgambo wa jiji

Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi. Namba inasomwa kweli kweli


All - Rounder nilipoandika Uzi hapa hapa JF kuhusu kutofurahishwa na Kitendo Hayati Rais Dkt. Magufuli Kukurupuka kuwaruhusu Wamachinga kuingia kufanya Biashara ndani ya Stendi hiyo nzuri, bora na ya Kisasa wengi wenu hamkunielewa.

Na hapa ( hapo ) bado kila zama na Kitabu chake acheni Wanyooshwe kwani Hayati alizidi Kuwadekeza na kuwapa Kiburi mbele ya Utaratibu na mambo ya Kikanuni ya Kimamlaka nchini. Walishajiona wao ni wa Muhimu kuliko Watanzania wengine wote.
 
Hiyo ni stand sio soko, yaani hii awamu ya washamba imeharibu wamachinga wanajiona wana haki hata kupanga bidhaa mbele ya ofisi yako...sasa waambie watoe uone moto wao
Wengine wanakuja na bidhaa pick up nzima. Mmachinga gani huyo?
 
Wawekwwe complex yao pembeni wafanye biashara habari ya umechoka na safari unashindwa hata kukatiza vizuri na begi lako kisa msongamano sio poa. Mbona airport mambo shwari
Umenena vema. Kuna haja ya kutenga maeneo rafiki kwa ajili yao. Nchi nyingine wamefanikiwa. Tunaweza pia
 
Magufuli alikua mjanja alijua akisema kila kitu cha wanyonge atawin na kweli aliwin. Kwa sababu hao ndio wapiga kura yani hawajali kukaa masaa 8 kusubiri foleni kumpigia mtu wao, na ndio hao wamejitokeza maelfu kumlilia na kukimbia kilometers kibao kwenye kumuaga. So alijua akiwa na hawa wasio jua ku-argue atatoboa.
La kuwaachia wamachinga wachafue miji JPM aliteleza kweli
 
Back
Top Bottom