Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Kiongozi wetu wanyonge kaondoka..sijui kama huyo mzanzibar anajua hata shida zetu yani.
Mkuu mimi nimeona hiyo habari ITV saa mbili usiku kwahiyo ni ukweli mtupu kama hauamini isubiri saa tano usiku huwa wanarudia habari ya saa mbili kwa wale waliopitwa.Ii nyuzi ni ya uchochezi ..mm nimetoka magufuli bus terminal leo sijaona kashilashi yoyote pale kati ya mgambo na wajasiria mali .....
Hapa Chadema watashangilia sana kwamba wamemkomoa Magufuli, watoto wake wamelala njaaIkiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanya biashara wadogo katika stend ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani teyari wameaanza kushikishwa adamu na mgambo wa jiji
Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi...namba inasomwa kweli kweli
Kwahiyo unafurahia siyo!Ikiwa bado tu hayati Magufuli hajazikwa, Machinga na wafanya biashara wadogo katika stend ya Magufulu kwa mabasi yaendayo mikoani teyari wameaanza kushikishwa adamu na mgambo wa jiji
Kiufupi hawatakiwi kufanya biashara zao ndani na nje ya stendi...namba inasomwa kweli kweli
Ii nyuzi ni ya uchochezi ..mm nimetoka magufuli bus terminal leo sijaona kashilashi yoyote pale kati ya mgambo na wajasiria mali .....
Ila alisema uwekwe utaratibu tatizo machinga wanataka wajiachie tu kama sokoni. Haiwezekani ufukuze wapiga debe uache machinga wakati wote wanyonge....ilikua ni suala la muda tu lazima wangeondolewaDuhh! Lakini mh. Jpm aliwaruhusu