Wewe wahi soko la karibu upate sehemu ya kufanya biashara acha bla bla huu utawala wa sasa hautaki mambo ya kuwagawa wananchi kwa kisingizio cha unyongeWewe huna tofauti na mama anayemtesa mtoto wa mke mwenzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wahi soko la karibu upate sehemu ya kufanya biashara acha bla bla huu utawala wa sasa hautaki mambo ya kuwagawa wananchi kwa kisingizio cha unyongeWewe huna tofauti na mama anayemtesa mtoto wa mke mwenzie
Kama kuna watu wataiadhibu CCM kwa suala hili la wamachinga, basi na mimi nitaipigia kura CCM kwa mara ya kwanza hapa dunianiNaona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Ni lini ccm iliwahi kutegemea kura za wamachinga kutangazwa washindi?Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Ni mpumbavu peke yake ndio anaweza kujisikia fahari kuitwa mnyonge.Wewe wahi soko la karibu upate sehemu ya kufanya biashara acha bla bla huu utawala wa sasa hautaki mambo ya kuwagawa wananchi kwa kisingizio cha unyonge
Kama kuna kitu cha maana utawala wa awamu ya sita wanafanya ni hili la wamachinga.Wale ndugu zangu wa pale kariakoo kilio kitakuwa kikubwa mno.
Leo walikuwa wakipita wanawaandika majina.Na kuwaambia wajiandae kuelekea maeneo mapya watakayo pangiwa
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
ndio maana nikaziita kanuni, wao wanachotaka ni jibu tu , kwani nini maana ya kanuni, utegemee eti nitawanyima kura waogope ni kujidanganya tu, ndio maana kuwaambia mambo ya katiba mpya hamuelewani kabisa, kwani kutumia hizo kanuni itakuwa ngumu.WIZI WA KULA NA MATUMIZI YA VYOMBO VYA DOLA NAZO UNAITA FOMULA?
Shame on you!
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
Wamkumbuke tu lakini lazima utaratibu ufuatwe haiwezekani kila sehemu kuwe soko.Mtanikumbuka
Watapoozwa watasahauNaona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Sasa mkuu hasira zako unazileta kwangu tena?mimi nimeleta habari kama nilivyoshuhudia!!basi HAMUONDOLEWI na kila mmachinga mh.amesema atampa mtaji wa milioni 10;!!fulahi wewe, VIMBA, VIMBAAAA!!!Ng'ombe wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nani kakwambia me machinga?Sasa mkuu hasira zako unazileta kwangu tena?mimi nimeleta habari kama nilivyoshuhudia!!basi HAMUONDOLEWI na kila mmachinga mh.amesema atampa mtaji wa milioni 10;!!fulahi wewe, VIMBA, VIMBAAAA!!!
Nani amekwambia mimi ni ng'ombe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nani kakwambia me machinga?