Machinga waanza kumlilia Hayati Magufuli

Machinga waanza kumlilia Hayati Magufuli

Kosa langu ni kuchapia tu (keyboard mistake !) Nimesema machinga milioni tano tena makadirio ya juu kweli wanasumbua watanzania wasio machinga milioni 55, sio wafanya biashara.
Makadirio ya sasa ya watanzania wote ni milioni 60 ndugu, sensa iliopita tulikuwa milioni 55+.
Nimesema f#ck all crazy machinga sijasema f#ck all machinga.
Hivi machinga anaempiga mtu ngumi kisa hajanunua biashara yake ni mzima akili mkuu? twende taratibu sasa naona umehamaki, ntakupa mifano mingi tu ili ujue kuna machinga wehu.
Ni wapi machinga walimpiga mfanya biashara ngumi? Hapa ni kwamba serikali imekurupuka kuwahamisha pasipo kuwatengea maeneo maalamu ya kufanya biashara waanze kwanza kuwaandalia maeneo ya kufanya biashara kisha wawahamishe pasipo hii ya kuwahamisha pasipo kuwaandalia sehemu yao maalamu.

Tunachoiomba serikali ni kufanya maamuzi sahihi pasipo kuwaonea hawa vijana walioamua kujiajiri kupitia umachinhnga.
 
Ni wapi machinga walimpiga mfanya biashara ngumi? Hapa ni kwamba serikali imekurupuka kuwahamisha pasipo kuwatengea maeneo maalamu ya kufanya biashara waanze kwanza kuwaandalia maeneo ya kufanya biashara kisha wawahamishe pasipo hii ya kuwahamisha pasipo kuwaandalia sehemu yao maalamu.

Tunachoiomba serikali ni kufanya maamuzi sahihi pasipo kuwaonea hawa vijana walioamua kujiajiri kupitia umachinhnga.
Mkuu kichwa chako kiko sawa ?
Wapi nimeandika machinga walimpiga mfanyabiashara ngumi?
 
Mkuu kichwa chako kiko sawa ?
Wapi nimeandika machinga walimpiga mfanyabiashara ngumi?
Serikali imesikia kilio chetu wananchi tulionyang'anywa kwa nguvu haki ya kutumia barabara na wamachinga.
Haki ya machinga ni kutumia barabara kutembea na si kumwaga chini takataka zake.
Mkae mkijua kabisa wananchi walio wengi hatukubaliani na uvamizi wa machinga usiojali sheria.
Wewe unajijali binafsi hujali wengine, uhuru wako usiingilie uhuru wa mwenzio, machinga pimeni mizani msitumie hoja ya nguvu bali nguvu ya hoja.
 
Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
kama ushindi wa ccm unategemea kuwalinda watu wanavunja na taratibu ns kukera wengine basi usipatikane tu, ila kumbuka kuna sisi pia tunaokereka na wamachinga kivamia maeneo yasiyostahili tutakaoipigia kura ccm!!
 
Ni wapi machinga walimpiga mfanya biashara ngumi? Hapa ni kwamba serikali imekurupuka kuwahamisha pasipo kuwatengea maeneo maalamu ya kufanya biashara waanze kwanza kuwaandalia maeneo ya kufanya biashara kisha wawahamishe pasipo hii ya kuwahamisha pasipo kuwaandalia sehemu yao maalamu.

Tunachoiomba serikali ni kufanya maamuzi sahihi pasipo kuwaonea hawa vijana walioamua kujiajiri kupitia umachinhnga.

Hivi unadhani hawajatengewa maeneo..? fwatilia vyombo vya habari kabla ya kukurupuka. Kwanza ilitakiwa washtakiwe kwa kuvunja sheria wapigwe na faini kabisa. Huwezi ukafanya biashara barabarani eti tukuite mnyonge
 
C5C1A8E4-6C59-497A-A601-BB02AED6BC77.jpeg
Na kazi iendelee 🤣🤣🤣
 
Machinga wenzangu tujitahidi kuwahi maeneo tuliyopangiwa na sirikali.
 
maeneo ya Mwanza naona tayari washapungua barabarani.... wengine wametelekeza meza zao
Hawa wa Mwanza nawafahamu vizuri sana. Nilikuwa mmoja wa watu waliowashauri waipigie kura CCM 2020 kwa Rais na Mbunge Mabula (tena huyu labda aanze kuaga kabisa kama suala la machinga litaendeshwa hivi). Hivyo, kwenye kampeni za 2025 usishangae wanatelekeza mikutano ya kampeni kama walivyotelekeza meza zao leo. Na sijui kama Mh. Mabula atakuwa na ubavj wa kuwashawishi tena nikifikiria kazi kubwa tuliyoifanya ya kumrudisha 2020.
 
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
Jpm alikua na file mirembe
 
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
Wanamlilia mtu aliyewaruhusu kuvunja sheria??? Tena kwa kufanya biashara hata kwenye barabara za mwendo kasi???
Kama aliwapenda kwann hajawaruhusu wakatandike biashara kwenye kuta za Ikulu???
 
Wanamlilia mtu aliyewaruhusu kuvunja sheria??? Tena kwa kufanya biashara hata kwenye barabara za mwendo kasi???
Kama aliwapenda kwann hajawaruhusu wakatandike biashara kwenye kuta za Ikulu???
Aliwalea sana yaani wafanyabiashara wanaolipa kodi, walionekana yatima nchi hii!!tena mimi nashauri wale watakaokaidi kuhama, hili zoezi lisimamiwe na MP kabisa!!!kwani wakitumia siasa hili zoezi litashindikana hasa kwa dar, kwani wao ndio wanajiona manunda sana!!
 
Back
Top Bottom