Machinga waanza kumlilia Hayati Magufuli

Kwamba Mabula hajawatetea kwa wanavyoondolewa?
 

Waende wakamfufue bac. Waache kulialia
 
Kichaa mwingine huyu hapa, eti "kazi ngumu ya kumrudisha tena 2020". Hivi 2020 kulikuwa na uchaguzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wamachinga ni mpango wa CCM, hawana +ve impact kwenye uchumi wa nchi. wanatumiwa na waagizaji bidhaa kukwepa kodi, nguvu zao hazitumiki kuzalisha ili kuongeza uchumi ktk nchi. pia ni maficho ya vibaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…