Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tu ndio maana wanasema usimdhanie usiyemjuaHeee Kisa cha huo wehu uliokua unauona?
huu unafki umezoeleka sana labda kama uwe mgeni na waafrika ndo unaweza ukaona hiyo ni icon ya love
Ww dish lako limeyumba sana I see!
Hajawahi tokea rais aliyependwa kama Magu Tz isipokuwa JK Nyerere!
Shida huwa anahamasisha staight wakati wanaokubali tundu ni mashoga! Na idadi yao ni ya kumulika na tochi, unategemea nini hapo sasa!Pumbavu! Mandamano ya mbeligiji je? Walihamasishwa hawakuhamasishwa?!
Walitokea hawakutoka
acheni kuwatumia watoto kutafuta huruma, kwa hiyo hapo hiyo ndio indication kuonesha watu wameguswa?
Maneno ya mtu mwenye roho ya kutu hayo.acheni kuwatumia watoto kutafuta huruma, kwa hiyo hapo hiyo ndio indication kuonesha watu wameguswa?
🙏Leo nimekaa nimefikiria ubaya wa Magufuli ila sijaupata aiseee ila nilikuwa namchukia2
Mambo aliyoyafanya yanaonekana dhahiri machoni ila ubaya ambao tumekaririshwa na watu kiukweli sina ushahidi nao.
Nitoshe kusema Magufuli alifanya mema
Hata mimi uzuri wa magufuli siuoni nahisi nilikaririshwa tuLeo nimekaa nimefikiria ubaya wa Magufuli ila sijaupata aiseee ila nilikuwa namchukia2
Mambo aliyoyafanya yanaonekana dhahiri machoni ila ubaya ambao tumekaririshwa na watu kiukweli sina ushahidi nao.
Nitoshe kusema Magufuli alifanya mema
Na yale machozi n ya furaha au huzuni.?Wanaenda kuthibitisha kama Herode kafa kweli
Na wewe mjanja au mwenye akili unazidi kupaa!Sasa hata kama anapendwa yuko wapi? Nyie wajinga mbona mnazidi kujiaibisha kiasi hiki?
Fair and balanced. 👍Baada ya uchaguzi CDM walivyoitisha maandamano, rafiki yangu aliniambia hawa wanawajua waTz vizuri hawa? kama wanataka watu waandamane basi machinga wazuiwe au waondolewe kwenye maeneo wanakofanyia biashara hapo ndipo watu wataandamana, hivi hivi waTz wanatafuta mlo tu mambo yaliyo mengi hawaelewi yanawasaidiaje wao, hapo ndio wanasiasa wa chama dola wanapojizolea mashabiki zao.
Anyways to me, magufuli alikuwa na nia nzuri sana na nchi, his approach kuyafikia hayo mazuri ndio ilikuwa changamoto, plus ana issues in person ndio ikafanya things kuwa worse. hata hivyo amefanya pakubwa, apumzike kwa amani.
Anayewajua ni nani?HUWAJUI WATANZANIA WEWE.