Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

Magu anapendwa sana. Kuna tatizo moja kubwa sana la propaganda chafu ambazo zjnaendeshwa na kambi pinzani hasa kupitia mitandao ya kijamii. Lakini uhalisia kwa wananchi ni tofauti kabisa.

Tangu amefariki kambi pinzani wamefanya hate campaign kwa kasi kubwa zaidi. Na hata kudanganya dunia kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi mkuu. Angalia mtu kama Fatma Karume anachukua picha ya msafara sehemu ambayo hakuna makazi ya watu na kuzirusha eti watu wachache! na kuficha sehemu kubwa ambako kuna umati wa watu!

Yaani wanachuki iliyopitiliza na isiyo na sababu, kisha eti wanasema eti marehemu ndiyo alikuwa na chuki
Hakika kiongozi, hizo ndio siasa za chuki.
 
Umati usikusumbue, bali ni umati wa watu gani. Hoja ya vyama vingi umati ulikataa kwa 80%, lakini 20% wakashinda. Kwa watu wa akili za kawaida na za chini wana upeo mdogo ktk kufikiri na kuamua. Na usishangae pamoja na tahadhali ya ugonjwa wa mfumo wa kupumua, wanajazana, kurundikana na kukanyagana. Wengi Wana enda na watoto, mpaka wa migongoni.

Dharau nyingine bwana,haya wewe usiye na “akili za kawaida na za chini” huo upeo wako mkubwa umekufikisha wapi? Halafu nyinyi ndiyo mje kwa hawa hawa wenye akili za kawaida na za chini uwaombe ridhaa ya kushika madaraka ya Nchi hii.Mtasubiri sana.
 
Kwisha kabisa MATAGA, mlizoea kusambaza siasa za chuki kwa watawala ili muendelee kupewa buku 7 za lumumba.


Sasa huyu mama hana mpango wa kuwa na wafanya propaganda za majungu.
Yani mtu yoyote mwenye hoja tofauti na ww,unamuita MaTaga!!haha 😃😃
 
Bavicha ndio wanaomchukia magu kisa mboe hajawa mbunge
Screenshot_20210321-155126_1.jpg
 
Kwahiyo propaganda ya CHADEMA haifui dafu kwa ile ya CCM. Go back to the drawing table. Defeat propaganda with high quality propaganda. Your problem is you have an alcoholic for a leader. Yeye saa zote anawaza uLABU tu.
 
Gwajima si amfufue huyu, watu wanajazana kushangaa muovu na katali kama amekufa kweli, watu hawaamini kama kaenda msukuma mwenzio mwenye asili ya Burundi.

Mimi nimefurahi sana anaenda na mavi yake. Na Sisi tubaki na mavi yetu.
Utasema mengi sana ya kebehi lakini utakufa tu Magufuli hakuchaguliwa kuja kukulidhisha wewe
 
Mimi mwenyewe nilienda Uhuru jana kumuangalia ili nijiridhishe akifa anafananaje? Kwa kule kujimwambafai naachaje kwenda kumuona. Yani nilitaka tu nijue akifumba macho anakuwaje mwamba yule!
Baada ya hapo umepata nini cha kukufaidisha maisha yako yote?
 
Macho hayajadanganya.Ni kweli JPM alikuwa anapendwa hata tangu akiwa Waziri kwani alikuwa mtu wa matokeo hasa yanayoonekana.Kukariri kwake takwimu kulimfanya hata akiwa waziri wa ujenzi bajeti yake kupitwa bila mikwara yoyote.
Na ndio maana wengi tunabaki kujiuliza kwa kupendwa kule na huku kwa leo tunakokuona palikuwa na haja gani ya ,
  1. Kunyima uhuru wa vyama vingine vya siasa?
  2. Kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa
  3. Kuvuruga uchaguzi mkuu?
Jambo moja ni wazi na limepata uthibitisho katika kipindi hiki ni kuwa "Watanzania ni wanafiki wa kupindukia"Sorry to say that!!!
Watanzania siyo manafiki. Wewe siku zote ulidai kuwa yule msaliti na mlevi alipendwa kuliko Magu. Alcoholic wenu alidai Magu hakushinda, maana hapendwi. Sasa Watanzania wanawaonyesha mliyoyasema si kweli wao walimpenda Magu na kumchagua.
 
Back
Top Bottom