Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

NI MAAJABU Rais kufariki hivyo wakati mwingine sio MAPENZI kwake bali ni shauku ya kushuhudia mwili kwa macho
 
Unapohutubia angalia aina ya makofi unayopigiwa , kuna wanaopiga makofi ili kukupongeza lakini wengine wanakupigia ili umalize hotuba ujiondokee zako na wao wachukue hamsini zao , kule kwetu Kyela kuna mnyama anaitwa Kindingo , huyu alisumbua watu sana kwa kula mifugo yao , sasa siku aliponaswa wilaya nzima ya Kyela ilikusanyika Kajunjumele ,

........Itaendelea ....
Unnecessarily complicating things.
 
"Hawa watu wanaoenda kumpokea Tundu Lisu wameenda kumshangaa tu kura zote kwa JPM"

Mwisho wa kunukuu

Inawezekana pande mbili

Hizi mada tuache kwa heri.
 
Mi simpendi ila nimeenda kuaga na nusura nizimie
 
kwa namna lilivyowashuka,hamuoni namna yoyote ya kujifariji zaidi ya hii ya kujidanganga.

denial wont save your asses.
 
wachache wameguswa ila wengi ni ma snitch hata humu wamo hata wewe unaweza ukawa mmoja wao

Kuna watu wameonesha kuguswa kwa mambo yao binafsi ya ki financial kwenye maswala yake ya ulaji ambayo yanaonesha wazi kwamba endapo wangepata uhakika wa kuendelea kuwa favored na huu utawala wasingeweza kuona pengo la JPM

Imagine mtu anakuambia anahuzunika kifo cha jpm kwasababu alikuwa na uhuru kufungua kibanda kando ya ofisi ya takukuru. Mtu huyu anatuonesha kwamba hana utu wala upendo bali anajari maslahi yake ameonesha hana uhakika wa kuendelea kudumu kwenye hicho kibanda kwa utawala wasasa na ndio kitu kinachomfanya aone thamani ya jpm.

Kwa maana kuwa huyu mtu angehakikishiwa kuendelea kubaki kwenye hicho kibanda asingeweza kuumia swala la jpm kufa

Unatumia nguvu kubwa sana kujibu swali langu,Nimekuuliza Kwa Magufuli ni Unafiki ila walioenda kumpoke Lisu ni “upendo wa dhati” siyo? Haya jibu hapa tuendelee sasa na mengine
 
Hii imeonesh kuwa Tanzanian people ni rahisi kuwaraghai kisiasa na wakakubali bila kupinga.
Kwa hilo late jpm alikuwa master class na aliweza hasa wale wanajiita wanyonge.
 
Sasa hata kama anapendwa yuko wapi? Nyie wajinga mbona mnazidi kujiaibisha kiasi hiki?

Kujiaibisha kuhusu nn acha ufala na upimbi kufa haimaanishi km ww ni mbaya kwa Mola kumbuka mtume Mohammad,Yesu,nabii Ibrahimu wote walichukuliwa roho zao sas iweje uccoment upumbav wako
 
Kwakweli nikiri kwa kinywa changu JPM alikua kipenzi cha wengi na watanzanja tumeumia sana , its so sad for sure. Nipo nacheki kwenye TV yan wakazi wa Dodoma wameunga msafara bodaboda wamegoma kutoka kwenye msafara wameunga nao kabisa. Go go JPM tulikupenda ila Mungu kakupenda zaid, jina lake lihimidiwe. Amen.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Machoz ya furaha plus nchi iliendeshwa kidikteta lazima ulie hata kinafki tu la sivyo usipolia waweza kamatwa na masalia
Kama hichi ndicho ulichokiona kwenye machozi ya watanzania bc una matatizo ya akili
 
Naangalia hapa dodoma ni hatari na ukizingatia ni usiku.
Sijui Mwanza mtoto wa nyumbani akiwasili itakuwaje.
 
Kujiaibisha kuhusu nn acha ufala na upimbi kufa haimaanishi km ww ni mbaya kwa Mola kumbuka mtume Mohammad,Yesu,nabii Ibrahimu wote walichukuliwa roho zao sas iweje uccoment upumbav wako
Pumbavu ni wewe KIWEWE
 
Niseme tu pia kuwa sipendelei mwili wake kuzungushwa zungushwa sehemu tofauti nchini, lakini naelewa.

Ila, if Dar is anything to go by, this guy was loved!

Leo mabodaboda wameongoza msafara wake kwenda uwanja wa Uhuru, tena kwa amani kabisa.

Wala hawakubugudhiwa na Askari.
Hiyo ni mbinu ya kisiasa ya chama tawala.tumia fursa kwa wasiojua maana ya unachofikiri.
 
What a hype.

Radio zote, TV, magazeti, wasanii, nyimbo za bongo fleva. Nguvu ya dola.

Bado tu mliamini watu hawatakuja.

Why mnahangaika sana ku-prove wrong kwamba Magu alipendwa.

Jamani hakuna mtu anayechukiwa na dunia nzima. Hayupo.

Ila mnaforce hype utafikiri WCB au Clouds wanaingiza sokoni msanii mpya.

Relax.

Hii nguvu yote ni kwa-prove wrong watu wanaomiliki vi-account vya Twitter [emoji846][emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Unatumia nguvu kubwa sana kujibu swali langu,Nimekuuliza Kwa Magufuli ni Unafiki ila walioenda kumpoke Lisu ni “upendo wa dhati” siyo? Haya jibu hapa tuendelee sasa na mengine
Tatizo hoja iliyo simamishwa kwa tumiwa nguvu kubwa unataka kuifikiria kwa nguvu ndogo na ndio pengine huoni jibu
 
Dar watu hawana cha kufanya wako idle sana aliyeishi dar anajua watu wanashinda wamelala tu kwenye vimvuli vya miti kwa hiyo wakisikia ka kitu kokote kanakuhusu mikusanyiko ambayo haina malipo lazima waende kupoteza muda!
 
Izo link kazituma nyani ngabu apigwi bani ila ningezituma mm izo link ningepigwa bani moja matata sana.
 
Back
Top Bottom