Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Nna waswas waliokosa kumuaga Dar kesho sijui kama hawatokuja kumuaga kwa Zenji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wameongea kwa vitendo.Mkuu hili nililiona Live hapa Chang’ombe ,
Tukubali tu Tanzania kuna Dunia mbili Dunia ya mitandaoni na Dunia halisi nje ya mitandao
Ukisoma tu mitandao unaweza sema jamaa alikua anachukiwa sanaa
Ila ukirudi mitaani ambao ndio kwa wapiga kura halisi ni tofauti sana ,the guy is loved aisee
Wapinzani wana lakujifunza hapa ,
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, mkoa wa Dar es salaam inawakazi 4,364,541. Embu tuambizane watu waliojitekeza katika zoezi la kuaga wanafika takribani watu wangapi? Hawezi kuchukiwa na watu wote na pia hawezi kupendwa na watu wote. Ila kama lengo ni kulinganisha mapenzi kisa tu kufuata idadi ya walijitokeza basi malizieni takwimu kwa kupata idadi ya wasiyojitokeza ili ijulikane wengi ni wapi.Kwa ware ambao maisha yao hayakiguswa ambao ni wanachi wengi wa kawaida, walimpenda sana, lkn watumishi wa serikali, wafanyabiashara, na wLe waliotendwa ktk utawala weke wakiwemo wanasiasa hawakumkubali. Binafsi mimepima kwenye mikusanyiko, hali ni tofauti. Kon zipo nyingiwmno
Huwezi jua moyoni kwa mtu kupoje hata kama kaonesha kitendo au kauli fulani mbele ya camera. Wapo wenye uzuni moyoni na wapo walijitokeza kwa furaha nafsi mwao. Lakini msisahau jinsi watanzania walivyo wapenda ushabiki na umbeya. Ikitokea ajali tu mahali basi kila mtu ataacha kazi yake alikuwa anafanya ili mradi akashangae apate cha kusimulia.Mkuu hili nililiona Live hapa Chang’ombe ,
Tukubali tu Tanzania kuna Dunia mbili Dunia ya mitandaoni na Dunia halisi nje ya mitandao
Ukisoma tu mitandao unaweza sema jamaa alikua anachukiwa sanaa
Ila ukirudi mitaani ambao ndio kwa wapiga kura halisi ni tofauti sana ,the guy is loved aisee
Wapinzani wana lakujifunza hapa ,
Salamu zipi?Watanzania wametuma salamu tu...I hope zimewafikia
Sasa nyie mnatupa uthibitisho gn kwamba alichukiwa, hebu panga hoja yako ili tupate kuelewa kwamba alichukiwa Mana wewe hii ya watu kujaa kupita kiasi, watu kuzimia, kutandindika nguo na matawi ya miti huitaki ss tuambie wewe unatushawishi vp tupate kuamini kwamba alichukiwa?Huwezi jua moyoni kwa mtu kupoje hata kama kaonesha kitendo au kauli fulani mbele ya camera. Wapo wenye uzuni moyoni na wapo walijitokeza kwa furaha nafsi mwao. Lakini msisahau jinsi watanzania walivyo wapenda ushabiki na umbeya. Ikitokea ajali tu mahali basi kila mtu ataacha kazi yake alikuwa anafanya ili mradi akashangae apate cha kusimulia.
Kule morogoro ajali ya moto iliiyotokea kumetokea mkusanyiko mkubwa wa watu kutokana tu na tabia ya watanzania kupenda kushadadia mambo.
Bora useme wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wachache walikua wanajitahidi kuaminisha umma kwamba hapendwi anachukiwa, kumbe sivyo...
Hata mie ni hivyo hivyoooKifo cha Magufuli kimeniuma sana, sio kwamba nampenda, bali kwa sababu hajalala segerea na kujibu mashtaka ya kuua watu wasio na hatia.
Corona haikuachwa kutajwa. Ni aibu!Kifo cha Magufuli kilikuwa habari ya dunia.
Kwa mtu aliyekuwa hasafiri sana nje ya nchi, sikujua kama watu wa mataifa mengine walikuwa wanamfuatilia kiasi hicho.
Kifo chake kilikuwa headline news kwenye vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa!
Usigeneralize hivyo mana Mimi hajanivua nguoMagufuli ametuvua nguo aisee[emoji16][emoji16][emoji16]
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, haya twende unavyotaka wewe basi haya tufanye nyomi ile yote waliojitokeza wamejitokeza kwa mapenzi yao kwa Magufuli. Je hilo nyomi ni makisio ya watu wangapi ndani ya mkoa mzima? Wasioenda wanafikia asilimia ngapi? Unashindwa kufikiria kuwa hawezi kuchukiwa na kila mtu wapo watakaompenda lakini idadi zinaweza kupishana ama kulingalina. Au ulitegemea uone hakuna watu kabisa ndio utaona hapendwi? Kila kitu ni namba mkuu au unataka kuniambia idadi iliyojitojeza uwanja wa uhuru inafika nusu ya wakazi wote wa Dar es salaam?Sasa nyie mnatupa uthibitisho gn kwamba alichukiwa, hebu panga hoja yako ili tupate kuelewa kwamba alichukiwa Mana wewe hii ya watu kujaa kupita kiasi, watu kuzimia, kutandindika nguo na matawi ya miti huitaki ss tuambie wewe unatushawishi vp tupate kuamini kwamba alichukiwa?
Jamaa alikuwa anapendwa tuwe wakweli Tu kama watu wanapita mpka kwenye njia zisizo halali pale taifa ili kumuaga Tu Mheshimiwa basi wanaosema alikuwa anachukiwa Wana lao Jambo japo ni kweli huwezi pendwa na kila mtu