mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwa hii ligi mnayoendelea nayo mkibahatika kukutana mtakuwa marafiki wakubwa Sana. Mungu awaepushe msihasimiane tu.
Dah NG'OTIMBEBEDZU π π π π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii ligi mnayoendelea nayo mkibahatika kukutana mtakuwa marafiki wakubwa Sana. Mungu awaepushe msihasimiane tu.
Akikujibu nambie!Barakoa, kuepuka misongamano ni muhimu.
Waziri hata nyumbani hajafika, hakumbuki kuvaa barakoa na kaitisha misongamano usio na ulazima, wanaomzunguka licha ya kuwa na muathurika mbashara, bado wanaendekeza siasa. Waziri bado ni dhaifu, wanaweza kumuathiri, waziri hajapona kwa asilimia 100, anaweza kuwaathiri, tuzinduke kutoka katika lindi la ujinga!
Huyu Mama D ni zaidi ya rafiki kwangu, sema tu ndio hivyo, ana langi nzuli sana, akiwa anaendesha gali yake huwezi kuamini kuwa ndio huyo anaandika hivi. mama D usiwe hivyoKwa hii ligi mnayoendelea nayo mkibahatika kukutana mtakuwa marafiki wakubwa Sana. Mungu awaepushe msihasimiane tu.
Umeludi toka Moshi?Shiftππ€π
Nipo Rufiji buana sio moshiUmeludi toka Moshi?
MhNipo Rufiji buana sio moshi
Sijui hana familia..?? Yaan mzaz wangu nimkubalie ajianike hivyo anakohoa namna hiyo misuli ya uso imemsimama? Jaman mmemkosea sana huyu Baba
Haukuwa sahihi kwa hali aliyokuwa nayo si vyema kumleta pale na kuzungumzia afya yakeJe, kulikuwa na umuhimu wowote wa kujitokeza hadharani akiwa ktk hali ile? Au lilikuwa ni shinikizo, ili kumuonyesha mtu fulani, kuwa anachokisema sio sahihi?!!badala ya kuondoa maswali wameyaongeza mala mia!
Baba hajitambui huyu...mm nilivyo aisee...hanipangii mtu..uhai ni.kitu cha thaman sana kuliko cheoYaani mkuu roho iliuniuma mbaya nikaishia tu kusema **** you shida...kumbe sio Mimi tu?
JF kila mtu ni mtaalamuPumbavu kabisa.....nisiijue oxygen wakati ndo nacheza nayo kila siku.
Wewe ni hayawani kama mahayawani wengine
Je, kulikuwa na umuhimu wowote wa kujitokeza hadharani akiwa ktk hali ile? Au lilikuwa ni shinikizo, ili kumuonyesha mtu fulani, kuwa anachokisema sio sahihi?!!badala ya kuondoa maswali wameyaongeza mala mia!
Sitashangaa niisikia amerudi tena kwenye gesi!Aisee inasikitisha kwa ile hali yake hakupaswa hata kufanya press.
Hapana,Kweli aendelee kusema kua hamna Covid-19 nchini apo .Pia wanaovaa masks wakamatwe
[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka hiki kipengele.Mzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
nakujibu mmAkikujibu nambie!
Huh! Hakuna maambukizi pale sio? Mbona wale wengine walivaa? Hivi kwa akiri ya kawaida unaweza kusema maeneo yale hakuna maambukizi?nakujibu mm
Ile ni taasisi ya afya,kumbuka Ina madaktari bingwa,sio waganga wa kienyeji.kama walimhudumia mgonjwa mwenye maambukizi mpaka akapona ,na wao bila kuambukizwa pamoja na kumhudumia kwa ukaribu mgonjwa,na hawakuambukizwa.that means kwa pale wote waliokuwepo pale kwa preconference wako salama ,hawana maambukizi.na ndio maana wamejiridhisha kisayansi amepona aruhusiwe kurudi nyumbani.ulitaka pale wavae barakoa za nn?? na hapakuwa na mgonjwa pale.labda ungehoji Kama angekuwa out of referral hospt envr.
Anafanya kazi wapi?Binti yake wa kumlea ni daktari bingwa mzuri Sana wa Emergency Medicine.
Wamejiridhisha kuwa amepona ilhali bado ana cannula kiganjani? Sikulaumu hata, maana Tz siasa ndio maamuzi wa yote!nakujibu mm
Ile ni taasisi ya afya,kumbuka Ina madaktari bingwa,sio waganga wa kienyeji.kama walimhudumia mgonjwa mwenye maambukizi mpaka akapona ,na wao bila kuambukizwa pamoja na kumhudumia kwa ukaribu mgonjwa,na hawakuambukizwa.that means kwa pale wote waliokuwepo pale kwa preconference wako salama ,hawana maambukizi.na ndio maana wamejiridhisha kisayansi amepona aruhusiwe kurudi nyumbani.ulitaka pale wavae barakoa za nn?? na hapakuwa na mgonjwa pale.labda ungehoji Kama angekuwa out of referral hospt envr.