Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Watu wapo seriouslyWana jf mnapenda niondoke kila mada nayo comment Leo lazima mtu aje ku reply we si uliaga unaondoka.
Soon ntakuwa mute hapa jf ntawamic Sana members wa humu
Sawa kabisa kila mtu ana namna yake ya kuishi kwangu mimi nilikua nimepanga na niliruhusu wawe sehemu ya furaha yangu now naishi kwangu na bado nikiwa na hata sherehe ya mwanangu lazima niwaalike watoto wa mtaani kwangu waje wale wafurahi na wenzao. Kwahiyo sipingi kabisa mfumo wako wa maisha maana unajiepushia mambo mabaya kwa mtazamo wako ila kwangu mimi sijawahi kutana na baya lolote kwa kuwaruhusu watoto kuwa karibu yangu.Sipendi watoto wa watu waje nyumbani kwangu hata kuangalia TV Nimejenga nyumba kubwa sana huwa wanasem hawa wachaga wana misukuke. Mtoto akiumw tu wanaleta maneno Kifup sitak waje wakae huko kwao🙃
Jambo la kumshukuru Mungu👍Hata Yesu alisema waacheni watoto wadogo waje kwangu. Hata mimi napenda watoto na ningependa waje ila hapana Hata sikukuu huwa nawanunulia soda majiran na watoto zao kiroho safi. .Sawa kabisa kila mtu ana namna yake ya kuishi kwangu mimi nilikua nimepanga na niliruhusu wawe sehemu ya furaha yangu now naishi kwangu na bado nikiwa na hata sherehe ya mwanangu lazima niwaalike watoto wa mtaani kwangu waje wale wafurahi na wenzao. Kwahiyo sipingi kabisa mfumo wako wa maisha maana unajiepushia mambo mabaya kwa mtazamo wako ila kwangu mimi sijawahi kutana na baya lolote kwa kuwaruhusu watoto kuwa karibu yangu.
Alijua atabembelezwa abaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wapo seriously
[emoji23][emoji23]Wana jf mnapenda niondoke kila mada nayo comment Leo lazima mtu aje ku reply we si uliaga unaondoka.
Soon ntakuwa mute hapa jf ntawamic Sana members wa humu
Wamemkomalia asepe....Mkataba alishasaini mwisho Jana🤣🤣🤣🤸Alijua atabembelezwa abaki [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] watu hawataki abaki alishaaga aondoke nacheka sanaWamemkomalia asepe....Mkataba alishasaini mwisho Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732]
Habari muda huu Wana JF ,
Kuna kisa nilileta hapa kuwa mtoto wa Jirani yangu amezoea kuniita baba.
[emoji23] kipenzi ulitaka kubembelezwa ubaki na weweMwenyewe nishawahi aga,Cha ajabu hakuna aliyenijibu..... kwenye acc Ile ya Beesmom....basi ikabidi niendelee tu....Yaan ni empty no any reply[emoji849][emoji57][emoji855][emoji19]
Yaan acha tu😔[emoji23] kipenzi ulitaka kubembelezwa ubaki na wewe
Wachache sana watakuelewa ila Mimi mtoto wa Mkulima NimekuelewaSawa umetoa 30k 0 apate zawadi ya pasaka, ila nakuhimiza fanya hivo hivo kwa wazazi kama wapo, au ndugu yako yoyote mkuu mwenye uhitaji walau wafurahie pasaka
Kama una ndugu kijijini mpe priority aisee Kule maisha ni magumu! Aisee kipindi Cha mvua nilifanya kilimo nikawa nimeweka nyapara asimamie kazi zangu aisee Kule maisha ni magumu, ukipewa kazi ya buku Tano lazima jasho litoke mpaka kwenye Tako, nikajifunza kitu, huku mjini tunajifanya wa kishua kutoa favours kwa wadada izi 50 50 wakati Tuna ndugu wengi kijijini wanataabika
Naamini hukosi ndugu kijijini ambae ukimtumia 30k atapata furaha isiyo na kifani na milango ikafunguka!! Ni ushauri tu mkuu maana najua pesa ni za kwako usije nishukia kama mwewe
Uliweka bond nzuri na uyo mtoto ata kuja kukusahau, upendo unaishi.Kweli uliishi nao vyema.
Mm nakumbuka kuna jirani yangu nilikua namuita mama mkwe na mumewe baba mkwe Wana watoto watatu wa kike mmoja yupo std7 mwingine yupo std4 na wamwisho yupo std1 basi huyu wa mwisho nilihamia hapo kakiwa kadogo hakawezi kuongea kwahyo kalivyoanza kuongea nikakaambia mimi naitwa baby basi kakazoea jina hilo.
Tuliishi pale mpka kakaanza kusoma kipindi hiko nipo na genge basi asubuhi nakapa hela ya maandazi kanafurahi kweli kakitoka kanakuja gengeni nilipo tunakaa na kucheki cartoons mpka kanalala basi kakanizoea kweli mm nakaita mchumba kenyewe kananiita baby.
Siku nasema nahama alooo kwanza kalikua shule nikatoa vitu vyangu vyote nikawa nimebakiza kuja kukabidhi chumba basi nikaja jioni nikakutana na mwenye nyumba nikakabidhi na kuagana nae sasa mama yake akamwambia baby wako anaondoka dah nilikua na pikipiki kila nikiwasha ndio anaongza kulia ikabidi nikae mpka alale ndipo niondoke ila niliumia sana siku ile. Kuna siku nipo kwenye mizunguko yangu kkoo akaniona weeee aliita kwa nguvu babyyyy babyy mpka nikamsikia watu wanashangaa hawa vipi mtoto na mtu mzima 😂😂😂😂😂😂 alifurahi sana hana la kusema anacheka tu ila sio siri niliishi vyema sana na ile familia ilifika kipindi nikitaka kusafiri nawaachia chumba na mumewe ni boda namuachia pikipiki anapigia kazi. Mpka leo mchumba kakua nikimwambia ulikua unaniita baby anakataa namuonyesha videos na picha anacheka tu. Kuishi na watu vyema kunafungua baraka nyingi.
Sinaga mbinu za kitoto kama hizo am gentlemen heshima yangu iko juu kwa wake za watu.Hizo ni mbinu za kimedani, ulianza kupenda boga kisha ua likajielekeza kibla...😊