Macron aitaka Israel iache kuuwa vichanga.Raisi wa Iran ajisemea mwenyewe vitendo vinahitajika sio maneno matupu tena.

Macron aitaka Israel iache kuuwa vichanga.Raisi wa Iran ajisemea mwenyewe vitendo vinahitajika sio maneno matupu tena.

Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
Acha kelele wewe,ninyi mlivyokua mnawaua wayahudi amkazani yeye hatolipiza!?
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
msumbiji mnaua watoto kwa jina la allah
 
Macaroni analetaa mambo ya kisiasa kwenye mambo serious, kale kamtu hakaeleweki kabisa, kana yumba sana! Anadhani kwa kusema hivyo kutamchotea uungwaji mkono na waislam wa paris!
Haaa yaani mtz anaye pelekeshwa na CCM na njaa ndo anajifanya kuwa na akili kumzidi Macron.

Hiyo Ufaransa ni miongoni mwa mtoa misaada ya kiuchumi na kijeshi kwa Israel, na alikuwa ni muungaji mkono wa Israel mwanzo wa vita mpaka Waka piga marufuku maandamano ya pro Palestina.

Macron katumia sanaa kubwa katika maneno yake ambayo tafsiri yake ni kuwa Israel piganeni vita na sio kuuwa watoto na wanawake.
 
Haaa yaani mtz anaye pelekeshwa na CCM na njaa ndo anajifanya kuwa na akili kumzidi Macron.

Hiyo Ufaransa ni miongoni mwa mtoa misaada ya kiuchumi na kijeshi kwa Israel, na alikuwa ni muungaji mkono wa Israel mwanzo wa vita mpaka Waka piga marufuku maandamano ya pro Palestina.

Macron katumia sanaa kubwa katika maneno yake ambayo tafsiri yake ni kuwa Israel piganeni vita na sio kuuwa watoto na wanawake.
Anajua maumivu ya kupigwa na umuhimu wa kusubiri.Sio vizuri kulazimisha ushindi wakati mwengine.
Wao walipopata kipigo cha kufukuzwa kutoka Niger mwishowe waliamua yaishe tu wakaondoka.Sasa anashangaa huyu Netanyahu mbona ana kichaa hivi.Anajua mwisho atajiumiza nafsi yake.
 
Macaroni analetaa mambo ya kisiasa kwenye mambo serious, kale kamtu hakaeleweki kabisa, kana yumba sana! Anadhani kwa kusema hivyo kutamchotea uungwaji mkono na waislam wa paris!
Ndio maana Huwa wanakatandika vibao hadharani.
 
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno
Haaa yaani mtz anaye pelekeshwa na CCM na njaa ndo anajifanya kuwa na akili kumzidi Macron.

Hiyo Ufaransa ni miongoni mwa mtoa misaada ya kiuchumi na kijeshi kwa Israel, na alikuwa ni muungaji mkono wa Israel mwanzo wa vita mpaka Waka piga marufuku maandamano ya pro Palestina.

Macron katumia sanaa kubwa katika maneno yake ambayo tafsiri yake ni kuwa Israel piganeni vita na sio kuuwa watoto na wanawake.
Macron apambane na kunguni kwanza,ni kafiri huyo sio wa kumtilia maanani
 
Ajilipize kwa wanaume waliompiga sio watoto wachanga.
Mwanaume anajificha kwenye mahandaki? Mwanaume anavaa nikabu? Mwanaume akifuatwa anajicha kwa watoto na kina mama? Hizo ni sifa za mwanamke.
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.

Kwenye vita kuna collateral damage. Kuna vitu lazima viko on the way na lazima viharibike wkt wa kumchapa adui
Icluding watoto na wanawake maana hao wamechanganyikana na so called hamas militants.
Na hii ni vita zote imekuw hivi tofauti ni levels tu
 
Macron apambane na kunguni kwanza,ni kafiri huyo sio wa kumtilia maanani
Ww mbona huja pambana na umasikini wa nchi yako badala yake umeenda kujipa uyahudi weusi?
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
Hamas wamej8ficha kwenye incubator
 
Maneno tu ndiyo yataendelea. Hakuna kenge atathubutu kumvamia myahudi. Kipondo kwa hamas ni shamba darasa.
 
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno tena.
Hamas Mungu Anayaona[emoji56][emoji24][emoji24]
Screenshot_20231102_205208.jpg
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
Toka Lini mtoka azae pweza??
 
Back
Top Bottom